klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Kuna mdosho mwingine hapa kakuulizia...
Mzembe gani? ana chapa au ni mlalahoi tu anataka kupotezea muda maselebriti?
Kuna mdosho mwingine hapa kakuulizia...
Watatu, nasubiria liongezeke kidogo labda naweza mbahatisha King'asti.wewe mpaka mida hii una wangapi?
hahaaaa sijui Gee
mi mbado...nikiliona tu ndani ya msuli ntakimbiaje?
Sante kwa taarifa...........naamini Klorokwini hajaona hii posti, hebu kaidelete fasta kabla hajaisoma.Kamanda kule Mafia kwa kanali Ayubu Kimbau bado wabara kujazana. Jaribu huko halafu uje unambie.
Dah! acha tusubirie comment ya King'asti kabla hatujakupongezaWatatu, nasubiria liongezeke kidogo labda naweza mbahatisha King'asti.
Sante kwa taarifa...........naamini Klorokwini hajaona hii posti, hebu kaidelete fasta kabla hajaisoma.
Hahaha tunatafuta kuweweseka wiki nzima tufikiriwe tuna mapepo bure!
Mwambie afanye fasta bana, neskt wiki naenda kulitoa, inabidi tumalize shuhuli wiki hii hiiWee Shugacake umepotelea wapi sasa? Hebu wahi urudi hapa...nshakutafutia mtu.
Halaf Fellow Tablet unasalimiwa na wiselady, nimempiga ban kabisa kuongea na wewe dairektiSante kwa taarifa...........naamini Klorokwini hajaona hii posti, hebu kaidelete fasta kabla hajaisoma.
Nahisi kule kuna vifaa vikali zaidi, ngoja nimuwahi.Yeye ntampeleka Kilwa.
Ameshanijibu kwa PM. Ameniomba usiweke mambo hadharani kina Gaijin wasije wakampiga bao.Dah! acha tusubirie comment ya King'asti kabla hatujakupongeza
Mwambie afanye fasta bana, neskt wiki naenda kulitoa, inabidi tumalize shuhuli wiki hii hii
Nasikia mwenye Busha akijambishwa anaruka inakuwa kama mtu katiwa kidole matakoni.
heheeh uskute huyu ni memba wa JF halaf keshawahi kumtongoza Gaijin au Bht. Dah!
Ngoja nimalizane kwanza na BlakiWoman. Preta alining'angania sana..... Anayapenda sijapata kuona mfanowe.Halaf Fellow Tablet unasalimiwa na wiselady, nimempiga ban kabisa kuongea na wewe dairekti
Nahisi kule kuna vifaa vikali zaidi, ngoja nimuwahi.
Ameshanijibu kwa PM. Ameniomba usiweke mambo hadharani kina Gaijin wasije wakampiga bao.
Mwalimu wangu, hizo nyota hapo, siamini umeziweka wewe LOL. Jibu ni ndiyo............Usijaribu, hutaacha.......!Kwenye ****** kuna sehemu ya kutia kidole?