klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,142
afazali mnashea pafyum, kuna wengine wanashare bange!
Sidhani kama ilo ni tatizo kubwa sana, japokuwa si la kawaida. Kuna wanaume wachache wenye kupenda kutumia baadhi ya marashi (perfume) za kike. Nadhani linatokana na makuzi aliyokulia au mapenzi tu ya hizo harufu za hayo manukano. Usimfikirie vibaya, japokuwa si tendo la kawaida.
Ni normal kabisa wala usishtuke. Inawezekana jamaa kakulia kwenye familia ya watoto wote wa kike!!
Hata mimi ilinitokea coz nilikulia familia ya watoto wa kike nilikuwa napaka hadi ANGEL FACE!!!
Coz niliona wanapendeza zaidi usoni,hadi kuitika kama mwanamke!!!
Pia hata nyie siku hizi mnapenda sana zile zilizoandikwa FOR MEN, Mbona hatushtuki??!!
Sidhani kama ilo ni tatizo kubwa sana, japokuwa si la kawaida. Kuna wanaume wachache wenye kupenda kutumia baadhi ya marashi (perfume) za kike. Nadhani linatokana na makuzi aliyokulia au mapenzi tu ya hizo harufu za hayo manukano. Usimfikirie vibaya, japokuwa si tendo la kawaida.
jamani nisaidieni mwenzenu, huyu bwana anapenda sana kutumia vipako vyangu vya kike! yaani utakuta nina perfume yangu naye ana yake lakini atatumia yangu kisa eti zinanukia vizuri, hivyo hivyo kwa deodorant na body spray. sio kwamba hana zake anazo kuna saa hadi nadiriki kumnunulia spray ambazo zimeandikwa for men lakini naona hana interest kabisa! labda vyangu viwe vimeisha!hadi shower gel jamani ataacha ile ya for men atatumia yangu. Kuna siku ndio aliniacha hoi alinijia na body spray imeandikwa for women nikamshangaa nikamuuliza mwenzangu hiyo ulipewa zawadi ama ulinunua mwenyewe akasema alinunua mwenyewe yeye aliconsider harafu!yaani hadi lotion atapaka za kwaku,mimi sina tatizo la kushea nae vitu ila swali langu is this normal au mimi najishtukia????
Dada mchunguze vizuri huyo atakuwa na tabia za sgoga bottom,sasa wakati mnado hebu peleka vidole kwenye tigo yake uone riaksheni y*ke
1.hatang'olewa meno huyo,jamaa ndi kwanza atafurahia na kukata mauno.nailyne tafadhali usifuate ushauri huu utang'olewa meno yote ya sebuleni
ukimgusa kalio utaona anazidi kukusogezea ukiendelea utasia "mi staki huko" im joking dont quote me wrong
1.hatang'olewa meno huyo,jamaa ndi kwanza atafurahia na kukata mauno.
2.huyo bibie anaishi na shoga au shoga mtarajiwa,msiogope kumweleza ukweli.
3.mwanamme anaependa vitu vya kikekike basi hata kuliwa tigo anatamani.