Kutuma hela kwao ni bora sana, isipokuwa kwa wapendanao lazima mshirikishane, hvyo kama analeta jeur cmama kama mwanaume kabla hajafika mbal, kata huo mtoko wa fedha na aanze kukushirikhisha mara mnja, kwan ww hujui mapato na matumiz yke kwa mwez huo ndo msing wa kuanzia
mie mwanamke asiyetaka kumsaiidia mumewe na hali anao uwezo namuonaga kilaza wa kwanza, sasa mihela unaitafuta aile nani kama si uwapendao, mume na watoto wakiwemo? Kujazana ujinga tu, mwanamme majukumu, kama naye siku hiyo hana, na kweli hana, na mke unazo kwa nini usimpe? Labda kama kidumu.
Yaani unanuoma mume kapanda kitandani anasononeka hana hela ya ada, na mke anazo, na bado unakataa kumsaidia? Kwanza kufanikiwa kwa watoto sio sifa ya mume tu, ni sifa kwa familia nzima.
Hizi elimu bado hazijakomboa baadhi wanawake kabisa. Mtu anapata hela halafu hazitumii kwa wahusika wa kwanza? Tufyakwa!
doh, hii mada imenivutia sana ndugu zangu mi nachokiona wanaume tuendelee kukaza buti kutafuta pesa za kujikimu kwa familia nzima kuwepo na exces baada ya kukidhi maitaji yote kwani now days ada ya mtoto ni basic need
Edson vaa viatu vya baba wa familia na hudumia familia yako. Pesa za kina mama zinawatosha kwa saloon na kucheza kibati si vinginevyo
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?
Haya ndiyo matatizo ya wanaume wa cku hizi wanaoa wanawake wenye kazi ili kupunguziwa majukumu yao! Aaaagh! Kwani kutuma pesa home ni tatizo? Labda kama hajakushriksha! Je,mlikubalianaje kuhusu matumizi yenu ya pesa?au umemkurupusha tu?afterall mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia zakwangu nitatoa nikiamua tena penye ulazima eboo! usilalamike kakope! ndo uanaume huo!
Hahahahahaaaaa vinalika ila ujue namna ya kuvila... sio unakuja na mihasira huko, leta mshahara wako, mbona unafichaficha, ukiambiwa school fees unajibu huku uko mlangoni c ulipe wewe kila siku mm! khaa utavila wp! Vitajenga nyumba za watoto!
Ukibembeleza ukajua kumtreat mwanamke hela unaila wala haina kokoro iyo! Mbona wanaume weengi hapa town wanaishi kwa kutegemea wake zao? Ni maelewano na mapenzi!
Haya ndiyo matatizo ya wanaume wa cku hizi wanaoa wanawake wenye kazi ili kupunguziwa majukumu yao! Aaaagh! Kwani kutuma pesa home ni tatizo? Labda kama hajakushriksha! Je,mlikubalianaje kuhusu matumizi yenu ya pesa?au umemkurupusha tu?afterall mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia zakwangu nitatoa nikiamua tena penye ulazima eboo! usilalamike kakope! ndo uanaume huo!
Nawashukuru kwa ushauri mzuri! Nimemhangaikia sana huyu bbie na kaanza kazi mwaka huu hana muda mrefu i thought akianz kaz pengine ningepata ahuen lkn sion kabisa mwanzon alianza vizuri akawa yupo wazi kwa vile ndo alikuwa hajastabilize nikaona ngoja nivae ubaba hizi siku ambazo nimekaa naye nimebaini mambo yake yako private sana anyway almost huwa namwambia kila mpango wangu ninaotaka kuufanya lkn yy wapi hata nikituma 20 elfu kwa bibi ntamwambia da nilienda kuangalia jinsi ya kumfanyia uhamisho na nikawa nimeingia gharama kwa jinsi alivyoniboa nimeamua nisitishe hilo zoezi nijaendelee na maisha yangu! Khnachoniuma nimepotez dili zangu nyingi na nimeacha kazi kibao zinanisubiri then naishia upuuzi very disappointing!
Ujinga huu ndio unasababisha watu wengi wakishaoa wanawaachisha wake zao kazi! maana mwaka mzima yuko kazini lakini hakuna anachosaidia hapo nyumbani. si bora ashinde nyumbani tu! mkuu Edison hebu jipe muda kidogo utafakari kisha fanya maamuzi magumu, mrudishe mama nyumbani alee familia. hizo kazi zake hazisaidii familia yenu.
doh, hii mada imenivutia sana ndugu zangu mi nachokiona wanaume tuendelee kukaza buti kutafuta pesa za kujikimu kwa familia nzima kuwepo na exces baada ya kukidhi maitaji yote kwani now days ada ya mtoto ni basic need
! Siyo lazima pesa za mwanamke ziwekwe kwenye kapu la familiaaa! Labda kama kuna MAKUBALIANO hayo! Otherwise kama ni mwanamke mwenye BUSARA na HEKIMA atamsaidia mumewe kwa hili na lile! Otherwise otherwise otherwise pesa zangu ni zangu na zake ni zetu.kuna baadhi ya wanaume ukiwaendekeza kwa hilo hata kyupi hununui! Mweh!
yaaaani hapo ndo huwa nakupenda sasa straight on nails kama nyundo
Mie naona kafanya jambo jema sana.
Maana ninyi wanaume huwa hamuaminiki hata kidogo.
Dudu hata mbuzi analo uanaume ni majukumu!