Simuamini tena mke wangu!

Taured

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
806
670
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. Kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy!

Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahisi kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu!

Nimfanyaje mke wa namna hii?
 
^^
Inategemea tangu mwanzo,ulimjenga vipi,,kama uliona ni jukumu la kumsomesha mtoto unaliweza,pengine nae anakushangaa kwa nini umuhusishe.
..
Kauli kuwa mtoto ameandikwa jina la nani,si ya kupuuza.Imebeba mengi.Ila usichukue uamuzi wowote wa kutengana maana watoto watataabika.
^^
 
Kutuma hela kwao ni bora sana, isipokuwa kwa wapendanao lazima mshirikishane, hvyo kama analeta jeur cmama kama mwanaume kabla hajafika mbal, kata huo mtoko wa fedha na aanze kukushirikhisha mara mnja, kwan ww hujui mapato na matumiz yke kwa mwez huo ndo msing wa kuanzia
 
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?
Edson vaa viatu vya baba wa familia na hudumia familia yako. Pesa za kina mama zinawatosha kwa saloon na kucheza kibati si vinginevyo
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Mkuu...Inauma sana kuona mkeo yuko tayari kuona mwanenu anaacha shule kwa madai naye hapa pesa na hapo hapo una ushahidi wa yeye kutuma pesa chungu nzima kwa nduguze. Sijui hata nikushauri nini Mkuu...Pole sana.
 
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?

Mtishie Tindikali
 
Mkuu Edison, pole na yaliyokukuta! Kwanza rejea kwenye ukweli kwamba mwanaume ndiye kichwa cha familia katika mji wowote, yeye ndiye mwenye majukumu yooooote ya kifamilia, hili ni compulsory na wala halina option! Utamaduni uliojengeka hasa katika jamii zetu hizi za kiafrika ni kwamba, mama halazimiki kuwa bread winner of the family, hasa kama baba yupo, tena akiwa mzima mweye afya! Hivyo,mwanamke yeye ana opton katika kuitunza familia as they consider it not being their mandatory task, regardless uchumi wa mke ni mkubwa kiasi gani ukilinganishwa na wa mumewe! Imezoeleka hivyo, na ndivyo wafanyavyo wanawake walio wengi Afrika, na hata karibuni dunia nzima! Imeandikwa katika vitabu vya dini, "Enyi wanaume, ishini na wake zenu kwa akili". Mkuu stuka usingizini!-

MY TAKE!
-Mkuu kama ulioa mtumishi kwa maana ya kuwa upate unafuu wa maisha, hilo liondoe kwani linategemea saana mtizamo wa mkeo, inawezekana yeye anawathamini na kuwajali zaidi ndugu zake kuliko wewe! Ieleweke kuwa, wapo wanawake waandaao future zao somewhere else kusikojulikana na waume zao! Hii ni hatari zaidi kwani kufanya hivyo logically kunamaanisha hana mpango wa kuendelea na wewe hapo baadae, na nina hisi mkeo hili ndo alifanyalo so longer hauelewi transaction za pesa zake zinaelekea zaidi kwa dada yake bila wewe kujua nini sababu ya yeye kufanya hivyo!
Pili, jitahidi saaaaana uishi -na mkeo pahala pamoja! Hii mambo ya eti uko Dar, yeye yuko Musoma ni uongo! People do change bhanaa... sie binadamu tunashawishika! Inawezekana tayari mapedesheee wameshamvuruga akili ndo maana anakujibu hovyo! Angelikuwa nyumbani uko naye kila leo, ingelikuwa ni rahisi kuitambua na kuidhibiti mapema mienendo yake usiyoridhishwa nayo!
 
aisee kumbe maisha ya ndoa ni safari ndefu eeenhh!!??
kabla kukushauri ndugu yangu kwani mwanzoni mlikuwa mnaendeshaje masuala ya Kifedha hapo nyumbani??? je ni wewe tu ndio ulikuwa umejibebesha jukumu la malipo ya kila kitu au kulikuwa na mgawanyo wa majukumu???
 
Haya ndiyo matatizo ya wanaume wa cku hizi wanaoa wanawake wenye kazi ili kupunguziwa majukumu yao! Aaaagh! Kwani kutuma pesa home ni tatizo? Labda kama hajakushriksha! Je,mlikubalianaje kuhusu matumizi yenu ya pesa?au umemkurupusha tu?afterall mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia zakwangu nitatoa nikiamua tena penye ulazima eboo! usilalamike kakope! ndo uanaume huo!
 
Back
Top Bottom