Kulingana na rafiki yangu anayefanya kazi kwenye kampuni moja ya simu ulaya, simu zenye kuishia na namba zaidi ya 50 kwenye imei ni hatari kwa kuwa zinavuta nguvu nyingi zenye madhara kwa afya. So *#06# no's 2 za mwisho zisizidi 50.
kampuni gani ..? hiyo ni code ya kujua IMEI number ya simu haina uhusiano na unachoongea... nasikitika kukupa taarifa kwamba umedanganywa ...
Huwa tunasema amepotoshwa, sio amedanganywa, ebua angalia ID yake sio JK huyo
Ninachofahamu mimi ili kujua ni kiasi gani cha mionzi ambayo hutolewa na simu yako ni kuangalia namba iliyo kati ya talakimu ya sita na nane katika mkululo wa hiyo IMEI namba ya simu yako kwa mfano:IMEI 654378087654789 . Namba hiyo inatakiwa isizidi 2. ikizidi hapo itamaanisha simu hiyo ina toa mionzi mingi.Kudadeki yangu inasoma 93, aiseeeee we jamaa toa uongo hapa, ngoja nitafute mwenye simu kama yangu nayeye tuone kama hizo No 2 za mwisho zinafanana au la