Miezi miwili iliyopita niliziona Nairobi zikiuzwa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata kuanzia Ksh 8,000 na kampuni mojawapo ya simu (Nimesahau kama ilikuwa ni Safaricom au Airtel Kenya). Nahisi inaweza ikafanya kazi hapa, maana sitarajii kama twatofautiana sana aina za mitandao.
zinatumika tena vizuri sana 2, nimesha jaribu na inafanya kazi.
kwa maelezo ukisearch android inaelezea kwamba inatumia GSM technology so as kuna mobile 4n companies znatumia hyo GSM technology then t z posible for them to work with tigo, airtel, voda, zantel
kwa ksh 8000..?, is that its realy price..?
Miezi miwili iliyopita niliziona Nairobi zikiuzwa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyata kuanzia Ksh 8,000 na kampuni mojawapo ya simu (Nimesahau kama ilikuwa ni Safaricom au Airtel Kenya). Nahisi inaweza ikafanya kazi hapa, maana sitarajii kama twatofautiana sana aina za mitandao.
Android katika simu ipi? android si platform tu jamani au...! 8000 ni kama 140,000/= tu! simu gani jama, tupe brand jamani tuziagize na sisi hzo za safaricom, tutazichakachua tu! te teh!Asante kwa ufafanuzi. Kuhusu hio ksh 8000 sina uhakika, ila huku nilipo hio 2.2 inauzwa kama Tsh 450,000
Android katika simu ipi? android si platform tu jamani au...! 8000 ni kama 140,000/= tu! simu gani jama, tupe brand jamani tuziagize na sisi hzo za safaricom, tutazichakachua tu! te teh!
mkuu kuna simu aina ya Android kweli au unamaanisha simu inayotumia Operating System ya Android? simu kama Sonyericsson Xperia X2 zinatumia Android OS v1.6 na zinatumika bongo, nadhani hata hiyo v2.2 inaweza kutumika inapokuwa Unlocked...:israel::israel:Habari zenu wanajamii forums..
Naomba kufahamishwa kama simu aina ya ANDROID 2.2 inaweza kutumika kwa line za Bongo? Au kuwa flashed na kuweza kutumika?
Thanks in advance
mkuu kuna simu aina ya Android kweli au unamaanisha simu inayotumia Operating System ya Android? simu kama Sonyericsson Xperia X2 zinatumia Android OS v1.6 na zinatumika bongo, nadhani hata hiyo v2.2 inaweza kutumika inapokuwa Unlocked...:israel::israel: