Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Niliwahi kumhoji Jaji Ihema uwezekano wa kutoa maamuzi kwa simu kutoka ikulu baada ya maongezi ya muda mrefu alikubali kuwa huwa kuna baadhi ya kesi simu hupigwa ili kupata hukumu.
Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.
Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.
Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.
Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko
Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.
Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.
Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.
Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko