Simu kutoka Ikulu kuamua hukumu ya Lema

Mkwawa

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,334
1,464
Niliwahi kumhoji Jaji Ihema uwezekano wa kutoa maamuzi kwa simu kutoka ikulu baada ya maongezi ya muda mrefu alikubali kuwa huwa kuna baadhi ya kesi simu hupigwa ili kupata hukumu.

Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.

Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.

Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.

Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko
 
Chifu napingana na pre emptive strike yako,unasemaje kuhusu Sumbawanga mjini,singida mashariki,ubungo?
 
Niliwahi kumhoji Jaji Ihema uwezekano wa kutoa maamuzi kwa simu kutoka ikulu baada ya maongezi ya muda mrefu alikubali kuwa huwa kuna baadhi ya kesi simu hupigwa ili kupata hukumu.

Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.

Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.

Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.

Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko
bangi zina madhara sana. unaletaje uzi hapa kwa mambo ya kufikirika? eti na wewe ni great thinker? Anyway mnachoniboa humu janvini ni kuwa hukumu sahihi ni ile uyitakayo/unayoitamani/inayokufeva wewe tu? kweli wewe ni great thinker! du! kweli tunayo safari ndefu kwa kuwa na watu kama nyinyi.
 
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeepfu!!!anyway ngoja tumsikilizie huyu asumani chande kama na yeye ni mtu wa kupokea simu tum-dampo pamoja na mahakama zake!!
 
Hata sishangai kama itatokea

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Niliwahi kumhoji Jaji Ihema uwezekano wa kutoa maamuzi kwa simu kutoka ikulu baada ya maongezi ya muda mrefu alikubali kuwa huwa kuna baadhi ya kesi simu hupigwa ili kupata hukumu.

Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.

Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.

Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.

Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko

Mkuu kwanza kabisa acha kumdhalilisha jaji Ihewa kwa hoja zako za kitoto
Kwanini unawaandaa na kwaaminisha watu lazima Lema ashinde? Na ikiwa vinginevyo basi ni simu kutoka ikulu
 
haki itabaki kuwa haki hata kama simu itatoka ikulu angalieni mkuu wa kaya kwa kuiba kura zinavyomtafuana yaani hata mtoto wa chekechea akisimama kungombea naye atamshindwa kwa hapa alipofika maana hana dahamani tena mbele ya jamaii hata watoto wanamdharau ktokuchukua maamzi kutete haki ya watanzani nje ya kulia lia akifuataiwa na msaidizi wake kiranja mkuu
 
Niliwahi kumhoji Jaji Ihema uwezekano wa kutoa maamuzi kwa simu kutoka ikulu baada ya maongezi ya muda mrefu alikubali kuwa huwa kuna baadhi ya kesi simu hupigwa ili kupata hukumu.

Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.

Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.

Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.

Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko

Wadanganye BONGOLALA WENZIO.
 
bangi zina madhara sana. unaletaje uzi hapa kwa mambo ya kufikirika? eti na wewe ni great thinker? Anyway mnachoniboa humu janvini ni kuwa hukumu sahihi ni ile uyitakayo/unayoitamani/inayokufeva wewe tu? kweli wewe ni great thinker! du! kweli tunayo safari ndefu kwa kuwa na watu kama nyinyi.

Kaka watu hawa haabdiliki hata kidogo,hata ungesema mpaka mbingu zikashuka hawawezi kusikia,wanataka kusikia wanayoyapenda,na hawako tayari kusikia ama kuona wasiyoyapenda.sasa wewe unadhani hawa ni watu kweli.

But sio mbaye twende nao hivyo hivyo wataelimika taratibu mkuu wangu I SALUTE 4U.
 
Niliwahi kumhoji Jaji Ihema uwezekano wa kutoa maamuzi kwa simu kutoka ikulu baada ya maongezi ya muda mrefu alikubali kuwa huwa kuna baadhi ya kesi simu hupigwa ili kupata hukumu.

Lema ameshinda kesi ya kwanza Arusha simu ikapigwa kutoka ikulu hukumu ikatangazwa kashindwa. Kesho tutashuhudia tena simu ya ikulu sijui itasea nini baada ya ushahidi wote kuonyesha kulikuwa hakuna kesi na mshindi ni Lema.

Jaji mkuu wa mahakama za Tanzania na majaji wengine wawili kesho ama waingize kwenye matumizi ya sheria hukumu ya kihuni ambapo itatumika kama kielelezo cha kesi zitakazofanana huku ikiwaacha watumiaji sheria midomo wazi na kutokuamini kama ni kweli wasomi wetu ndio walikuwa majaji au wanywa kahawa, dadii, mbege, ulanzi, lubisi nk.

Simu kutoka ikulu kesho itaamua. Sheria za kuamuliwa kwa simu ya wanasiasa ndizo zinazobaka haki na usawa mbele ya sheria.

Chief Mkwawa wa Kalenga
Matumizi mabaya ya dola ndio mwanzo wa machafuko

Sidhani Kama Jaji Mkuu anaweza kuamua kwa kufuata maelekezo ya ikulu. Nadhani atafuata taaluma na maadili ya kazi yake Kama Jaji Mkuu yanayomtaka atende haki kwa watanzania wote. Anajua akiamua kwa kutokufuata haki anakiuka maadili ya kazi yake yanayoendana na kiapo na kama jaji Mkuu atakuwa amedhalilisha taaluma yote ya sheria nchini. Atakuwa amejiwekea historia mbaya na hii historia itamhukumu yeye binafsi au hata ndugu zake!
 
Chifu napingana na pre emptive strike yako,unasemaje kuhusu Sumbawanga mjini,singida mashariki,ubungo?

+ Na hivi karibuni, hukumu ya Igunga. Ni kweli baadhi ya majaji wanatumika na watawala. Lakini wapo pia wazalendo, wanaopenda kuisimamia taaluma yao. Kwa hiyo ni vyema tukasubiri kwanza hukumu, ndiyo, tucomment. Kauli kama hiyo iliyotolewa na huyu mleta uzi, inaweza kwa kiasi fulani kuwademoralize wale majaji wanaotaka kusimamia haki kikamilifu!!
 
Mkuu kwanza kabisa acha kumdhalilisha jaji Ihewa kwa hoja zako za kitoto
Kwanini unawaandaa na kwaaminisha watu lazima Lema ashinde? Na ikiwa vinginevyo basi ni simu kutoka ikulu

Ikulu yetu imekuwa chafu sana!!!
Inaweza kufanya hivyo! Wote tunajua kuwa Lema akutuhumiwa kutoa rushwa kwenye uchaguzi wa ubunge arusha! hukumu imemtia hatiani kwa makosa ya kutoa rushwa! Labda porofesa wa kafu au dovyutwa ndio waunge mkono pendekezo lako, sisi tulio na akili timamu kamwe hutupati!!!!!
 
Inavoonekana Ikulu inshu yao kubwa ni kuhakikisha Lema hawi mbunge, ila sio chama kama chama maana ni dhahiri uchaguzi ukifanyika leo CDM wataibuka na wanajua kuanzia kina Mombo kwa ngazi ya mkoa mpaka ikulu yenyewe
 
Back
Top Bottom