2my
JF-Expert Member
- Jan 30, 2010
- 287
- 7
2My nimekugongea senksi kwa niaba ya Lizzy..sijua atamaind?Ila alijibu yeye kabla ya kuniachia uwanja!
tatizo litakuja pale watakapoanza kukuPM!!!!!!au data zote unazo?
2My nimekugongea senksi kwa niaba ya Lizzy..sijua atamaind?Ila alijibu yeye kabla ya kuniachia uwanja!
km kakuachia uwanja we jiachie hawezi kumind!!!!!!!!!hope so
Sasa! BAK kuna tatizo limejitokeza kati yao....bibie anazo mali nyingi kuliko jamaa...pia anao watoto wawili....jamaa nae ana mtoto mmoja. Tatizo huja bibie akifanya shopping...wanae wanapata vzur kuliko mtoto wa jamaa. Sasa jamaa inamuuma ila hana maamuzi!!
Ukipenda inabidi upende jumla jumla bila ubaguzi hapo ndiyo mapenzi hushamiri zaidi especially ukiwa umejaliwa ngawira za kutosha tu ambazo zinakuwezesha kufanya manunuzi ya nguvu hata kwa watoto wa "kufikia" (I hate these words "watoto wa kufikia" "mama/baba wa kambo"). Ukianza ubaguzi kama unaofanywa na huyo mama basi mwenzie anaweza kabisa kunung'unika na manung'uniko yake yanaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa mapenzi yao]
kwa hiyo bila hizo ngawira utashindwa kuwafullfill hao watoto na malalamiko yanaanza taratibu hatimaye mapenzi yanakwisha kabisa!!!!!cha msingi ni kuweka mazingira mazuri ya wao kujua kuna siku ngawira zinakuwepo na cku zinapungua km sio kukata kabisa!!
Mapenzi huanzia mtaani na kumalizikia kitandaniMapenzi huanzia wapi?
Maana wengine wanasema siku hizi sikupendi....love parometre ikoje?
Tunaazimaga ID zinatumika wakati tumepumzika!
Tusaidie kulinganisha ....Sie enzi nzetu mume ilikuwa unatafutiwa na wazazi.
Hiyo inahusu!Sasa hii inahusiana vipi na walivyokutana??Nwyz kama mwanamke hampendi mwanae hiyo ni dalili nzuri ya kumkimbiza mapema!Wakioana inaweza kuota chuki kati ya watoto/mtoto wa mume na mama ambayo atapelekea kuondoa maelewano ndani ya nyumba!
Haya!We unajuaje hatulali kama wewe unalala?Tunaazimaga ID zinatumika wakati tumepumzika!
G ipi hiyo?duh! Nimeipenda hiyo!
Ukipenda inabidi upende jumla jumla bila ubaguzi hapo ndiyo mapenzi hushamiri zaidi especially ukiwa umejaliwa ngawira za kutosha tu ambazo zinakuwezesha kufanya manunuzi ya nguvu hata kwa watoto wa "kufikia" (I hate these words "watoto wa kufikia" "mama/baba wa kambo"). Ukianza ubaguzi kama unaofanywa na huyo mama basi mwenzie anaweza kabisa kunung'unika na manung'uniko yake yanaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa mapenzi yao
YouTube - Nelly Furtado - Say It Right
Alikuoa?wengine tulikutana kwa kuazimana novels kupitia kwa 3rd party aliyejua kuwa sote tunapenda kusoma novels. Hadi siku tulipokutana ana kwa ana kumbe tunapishana everyday na hatujuani.
Jibu swali kabla sijakufelisha!Walivyokutana inahusika vipi kwenye malengo na nia?Hapo tatizo ni mmoja wao kutoonyesha upendo au tuseme uelewa wa kutosha juu kumkubali mtu na kile anachokuja nacho!Hata wangekutana kanisani au msikikiti bado huyo dada angekua hivyo hivyo!Hiyo inahusu!
Mahusiano tangu walipokutana ...bila shaka kulikua na matumaini mengi yatayohusisha kusaidiana na kuvumiliana.
Sasa ukitazama kwa undani...hiyo hali inatia mashaka...
Swali lipo wapi?Jibu swali kabla sijakufelisha!Walivyokutana inahusika vipi kwenye malengo na nia?Hapo tatizo ni mmoja wao kutoonyesha upendo au tuseme uelewa wa kutosha juu kumkubali mtu na kile anachokuja nacho!Hata wangekutana kanisani au msikikiti bado huyo dada angekua hivyo hivyo!
Huh?Wanamfuata nani wapi tena??Nwy hiyo formula yako ingekua inaapply ndoa zilizotulia zisingekuwepo!Kuwa na imani moja haiguarantee maelewano!kanisani wanaenda wakiristo...sasa hawa wakiristo wakioana wanamfuata nani?
Naomba jibu basi!!!Huh?Wanamfuata nani wapi tena??Nwy hiyo formula yako ingekua inaapply ndoa zilizotulia zisingekuwepo!Kuwa na imani moja haiguarantee maelewano!
Ntajibuje swali ambalo sijaelewa!Wanamfua nani kwa maana gani?Naomba jibu basi!!!
Hili Si Jibu Naona Haliendani Na Swali Nlokuuliza Lizzy!!!