Mkuu picha zangu zote nadownload sio kwamba hizo simu ninazo.
Price mimi nazitafutia india kwa bei ya reja reja hio simu kule wanauza 255,000 (rs 8450) sasa kibongo hata ikipanda haitaenda mbali.
ina maana 1Rs = 30.1 Tsh? Help me on that mkuu
Hata Nokia Asha 200 ni nzuri huku Tarime ni Tshs 170,000/= iko poa kwa hizo mambo za net na pia java applications. Yaani ukitaja hayo maOperamini mzuka unanipanda yametulia. Nimeanza kuyatumia 2007
hebu cheki pia Nokia 2700c, iko poa. Nimeitumia mpaka nilipopigwa kabali kibera.
Ina maps, live mail, opera, +unadownload apps. memory card micro. Sijawahi kujaribu skype though.
unaongelea symbian 60??? mbaaaaaya..gear yake matatizo..yaani ukicheza magemu mfano fifa gear yake inakufa kesho yake...Nunua Nokia N73 bonge la kiburudisho.
Successor wa e61i ni e63 na successor wa e63 ni e71 na huyu akawa e72 then akaja e5.
E5 ndo best qwerty ya nokia no way kumfananisha na yoyote.mikononi naona wanaziuza e5 hadi laki 1 mpya mpya maana hawajui uwezo wake lakini simu kama e61 utakuta bei ghali sababu ya apearence.
E61 ni ya 2007 wakati e5 ya 2011, e61 ina ram 64mb wakati e5 ina 256mb
chief E5 mkononi kwa mia wapi huko!? Kwni nahitaji hiyo.
i nokia c5-00 5mp.............hii cm bei yake inarange vip? na je ni smartphone?