Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 18,845
- 48,962
Hi wakuu.
Sorry nilitaka kuuliza hii kitu kwa manufaa yangu na others watakaokua interested. Ni simu gani ambazo bei yake ni affordable ina speed nzuri katika internet? Itakayo mvutia user kwa kutuma na kupokea emails, surf pages mbalimbali, install simple apps kama yahoo mail, google mail, opera mini browser etc. Naomba tuachane na hizi simu kama iPhone, galaxy family, HTC, na jamii ya hizo, ambazo ni laki 3+.
Ebu tuone hizi chini ya laki 2.5 ambazo wengi tukijinyima tunaweza kununua.
Asante
Sorry nilitaka kuuliza hii kitu kwa manufaa yangu na others watakaokua interested. Ni simu gani ambazo bei yake ni affordable ina speed nzuri katika internet? Itakayo mvutia user kwa kutuma na kupokea emails, surf pages mbalimbali, install simple apps kama yahoo mail, google mail, opera mini browser etc. Naomba tuachane na hizi simu kama iPhone, galaxy family, HTC, na jamii ya hizo, ambazo ni laki 3+.
Ebu tuone hizi chini ya laki 2.5 ambazo wengi tukijinyima tunaweza kununua.
Asante