Simba you are too good for nothing, lini mtaacha kufa kiume, shame

Aisee

20230716_195328.jpg
 
Tumechoka na haya mambo ya kufa kiume, timu ambayo haiwezi kutunza goli for 15min , strategy za kocha ni mbovu.

Haiwezekani goli muhimu kama lile linarudishwa in five minutes , what is wrong na hii timu , kila siku tumekufa kiume….. mpira hauhitaji kufa kiume, mpira unahitaji matokeo.

Hapa kwenu Dar mliongoza and in 5 minutes goli likarudi…..what is wrong . Game kama hizi ni lazima uwe na uwezo wa kulinda goli la dhahabu hiyo pia ni strategy or else utaishia hapo hapo kwenye comfort zone yenu

Hii mambo ya tumepambana kiume ni upuuzi

Mlikuwa na option ya kulinda hilo goli hata kwa damu, but akili changa.
Kichwa chako kimejaa KAMASI
 
Ungesema Simba inahitaji kusajili wachezaji wa kuamua matokeo katika mechi ngumu za kimataifa sababu uzoefu upo huenda ungeeleweka.

BABA yako akikupa ugali maharage shukuru sio unaanza kuuliza kwanini hatuli kuku ilihali unajua mzee bajeti haipo sawa kununua kuku. Simba ni baba hapa East Africa, anafanya vitu ambavyo wengine wameshindwa, inatakiwa itenge fungu la usajili la uhakika la wachezaji wanaoweza amua mechi ngumu za kimataifa. Uwe na shukrani KWA BABA YAKO.
Simba ni baba yako peke yako
 
Same like you..you are a rubbish
Tumechoka na haya mambo ya kufa kiume, timu ambayo haiwezi kutunza goli for 15min , strategy za kocha ni mbovu.

Haiwezekani goli muhimu kama lile linarudishwa in five minutes , what is wrong na hii timu , kila siku tumekufa kiume….. mpira hauhitaji kufa kiume, mpira unahitaji matokeo.

Hapa kwenu Dar mliongoza and in 5 minutes goli likarudi…..what is wrong . Game kama hizi ni lazima uwe na uwezo wa kulinda goli la dhahabu hiyo pia ni strategy or else utaishia hapo hapo kwenye comfort zone yenu

Hii mambo ya tumepambana kiume ni upuuzi

Mlikuwa na option ya kulinda hilo goli hata kwa damu, but akili changa.
 
Hakuna spirit ya upambanaji,hivi hata kumuanzisha Bocco sijui Kocha alikuwa naaana gani
Yaani mpaka nimeshangaa Bocco kucheza kipindi kizima huku akiwa Hana madhara yoyote kwa adui dah. Vitu vingine tunajitakia wenyewe, kila siku itakuwa robo fainali🙌
 
Ungesema Simba inahitaji kusajili wachezaji wa kuamua matokeo katika mechi ngumu za kimataifa sababu uzoefu upo huenda ungeeleweka.

BABA yako akikupa ugali maharage shukuru sio unaanza kuuliza kwanini hatuli kuku ilihali unajua mzee bajeti haipo sawa kununua kuku. Simba ni baba hapa East Africa, anafanya vitu ambavyo wengine wameshindwa, inatakiwa itenge fungu la usajili la uhakika la wachezaji wanaoweza amua mechi ngumu za kimataifa. Uwe na shukrani KWA BABA YAKO.
Lakred ayoub mdaka panzi usajili 3bn
 
Watabaki kusema inshallah allah hakutaka

Hiyo inshallah ni kwao tu siku zote

Mpunga Kama wote uliowekwa unapata goli kama like dakika ya Sabin kweli mnashindwa kufia uanjani…..
FAaaq off hili timu hakina watu wenye akili
Mamelod mwenyewe tangu 2016 (miaka 8) anaishia robo kama kawaida licha ya kuwa na kikosi cha mabilioni, seuze Simba Sc iliyopiga hatua kutoka kwenye kuwa underdog.?

Iko hivi hata team zote ziwe na wachezaji hatari, bado mshindi wa kombe ni mmoja tu.
 
Weka matokeo ya timu yako dhidi ya Al-Ahly Kwanza.
Ukinionyesha umewahi kufunga goli zaidi ya moja nahamia timu yako leo leo. Au umewahi kupata draw Cairo nanunua hadi jezi.

Idiot
 
Back
Top Bottom