Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 27,130
- 50,592
Au nimekosea? Matokeo yalikua hiviD
Duh!!
1-1 tumetoka
0-0 tumetoka
Ila 3-3 tunasonga
4-4 tunasonga...
Au nimekosea? Matokeo yalikua hiviD
Duh!!
Tumeona ubovu wa Simba kushindwa kimbinu! Timu kubwa kama Al Ahly unapaki bus na kuvizia counter attack tu!Nyie chongeni tu lakini mjue mko nao makundi
We mjinga nimechekaaaaaa.Katika vitu napenda ni jinsi unavyoujua mpira. Hapa kama siyo mtu wa soka anayelijua soka huwezi kuwa comment kama hii. Unajua sana mpira b....
Ova
Na power dynamo pia walishindwa kikanuni ndio maana mlifuzu makundi bila kanuni mngekuwa nje ya michuano ivyo kanuni mziheshimu zimewanusuru kuangukia pua!Safari hii wakisema wamekufa kiume ni haki. Kushindwa kikanuni mbele ya timu bora Afrika sio jambo rahisi.
Umefanya na mimi nicheke pia, japo sijui kilichofanya ucheke hivyo. Labda nikuombe nije PM unishirikishe nijue na mimi nipate kucheka vizuri.We mjinga nimechekaaaaaa.
Thanks h...
Makolokolo SC akiwa Baba yako wewe na ukoo wako inatosha, usitusemee wengine tusiohusika Mwakarobo SC fan Kungwi weweUngesema Simba inahitaji kusajili wachezaji wa kuamua matokeo katika mechi ngumu za kimataifa sababu uzoefu upo huenda ungeeleweka.
BABA yako akikupa ugali maharage shukuru sio unaanza kuuliza kwanini hatuli kuku ilihali unajua mzee bajeti haipo sawa kununua kuku. Simba ni baba hapa East Africa, anafanya vitu ambavyo wengine wameshindwa, inatakiwa itenge fungu la usajili la uhakika la wachezaji wanaoweza amua mechi ngumu za kimataifa. Uwe na shukrani KWA BABA YAKO.
Bwahaaaaaaaasimba ni hawa aliyetoka ubavuni Mwa mwanaume Yangaa .
Simba MBUMBUMBU PRO MAX
GoodUngesema Simba inahitaji kusajili wachezaji wa kuamua matokeo katika mechi ngumu za kimataifa sababu uzoefu upo huenda ungeeleweka.
BABA yako akikupa ugali maharage shukuru sio unaanza kuuliza kwanini hatuli kuku ilihali unajua mzee bajeti haipo sawa kununua kuku. Simba ni baba hapa East Africa, anafanya vitu ambavyo wengine wameshindwa, inatakiwa itenge fungu la usajili la uhakika la wachezaji wanaoweza amua mechi ngumu za kimataifa. Uwe na shukrani KWA BABA YAKO.
Hakuna timu yoyote duniani iliyowahi kuwa chini ya Tajiri Kanjibai ikafika popote.Mimi lawama zangu zinaenda kwa MO ubahiri wake ndio unetufikisha apa yani unajua kabisa kuna mshindano makubwa kama aya alafu unaleta wachezaji wakawaida ambao ata apa bongo wapo..
Taja timu (Bingwa wako) anayeongoza kuifunga Mbumbumbu SC duniani, ukipata jibu jipige kifuani mara 3 mfululizo kisha jiambie kuwa wewe ni Mbumbumbu pro maxYanga huyu huyu wa mwiko nyuma?
Kufa ni kufa tu
Hakuna cha kufa kiume.
Mungu wabariki waarabu.
Simba rudini mteseke na joto msimbazi
Una uwahakika Ni moo kawaleta wachezaji woteMimi lawama zangu zinaenda kwa MO ubahiri wake ndio unetufikisha apa yani unajua kabisa kuna mshindano makubwa kama aya alafu unaleta wachezaji wakawaida ambao ata apa bongo wapo..
Hapa umesound kama Genta, leo utaniua kucheka.Umefanya na mimi nicheke pia, japo sijui kilichofanya ucheke hivyo. Labda nikuombe nije PM unishirikishe nijue na mimi nipate kucheka vizuri.
Karibu b....
Ova
Oh! Asante sana, bila kuchelewa nakuja na kama utaruhusu nikae huko kwa japo kwa muda wa saa moja hivi nitashukuru.Hapa umesound kama Genta, leo utaniua kucheka.
Anytime h... karibu tuyajenge.
Mimi Ni Yanga lakini kiukweli Simba walipambanaTumechoka na haya mambo ya kufa kiume, timu ambayo haiwezi kutunza goli for 15min , strategy za kocha ni mbovu.
Haiwezekani goli muhimu kama lile linarudishwa in five minutes , what is wrong na hii timu , kila siku tumekufa kiume….. mpira hauhitaji kufa kiume, mpira unahitaji matokeo.
Hapa kwenu Dar mliongoza and in 5 minutes goli likarudi…..what is wrong . Game kama hizi ni lazima uwe na uwezo wa kulinda goli la dhahabu hiyo pia ni strategy or else utaishia hapo hapo kwenye comfort zone yenu
Hii mambo ya tumepambana kiume ni upuuzi
Mlikuwa na option ya kulinda hilo goli hata kwa damu, but akili changa.
Nipo nakusubiri h….Oh! Asante sana, bila kuchelewa nakuja na kama utaruhusu nikae huko kwa japo kwa muda wa saa moja hivi nitashukuru.
Kwa mara nyingine, asante sana b....
Ova