samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,017
- 1,221
Nasikiliza hapa wapi yaani ni kujitafuta tu kila mahali. Sasa Yanga sa ameingia fainali last year CAF CONFEDERATION CUP je simba kafika? Yanga kaingia robo kwa kishindo kikubwa je Simba alishafanya hivyo au kipapatupapatu.
Ongezea najua mnakuja kasi na mawe
Ongezea najua mnakuja kasi na mawe