Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Ruvu wako 8 uwanjani na still wanawasumbua Simba...........lol
Usijali mtafanya come back kama ile ya Man U kutoka 2-0 hadi 4-2Hii makitu inanifanya niende kwa babu ghafla....i mean babu wa kaunta....i mean kikombe cha povu.....i mean glass......
JKT RUVU huwa wanawasumbua sana Simba na YangaRuvu wako 8 uwanjani na still wanawasumbua Simba...........lol
As long as ukila bata hautaharibu kazi maana CEO anaweza akakuita ule naye bata Jumatano au Jumatatu lakini siku inayofuata uwe ofisini as usual.
jamani matokeo vipi mpk mwisho
Kumbe wamebebwa wakashindwa kubebeka, kisanola na sebene la TP MAZEMBE bado linawaandamaMatokeo ni kwamba pamoja na Simba kubebwa kwa kupewa penati na wachezaji wawili wa JKT Ruvu Shabani Dihile na George Minja kupewa kadi nyekundu na Ruvu kubaki 9 mechi imeisha kwa sare ya goli 1-1 hivyo Simba wameshindwa kutangaza ubingwa leo na kuwapa nafasi Yanga ya kuwania ubingwa huo pia
Matokeo ni kwamba pamoja na Simba kubebwa kwa kupewa penati na wachezaji wawili wa JKT Ruvu Shabani Dihile na George Minja kupewa kadi nyekundu na Ruvu kubaki 9 mechi imeisha kwa sare ya goli 1-1 hivyo Simba wameshindwa kutangaza ubingwa leo na kuwapa nafasi Yanga ya kuwania ubingwa huo pia
hahahaaha,pengo ni kubwa kuliko mwanya ina maana wewe ukipewa kikubwa au kidogo utachagua nini?Inamaana timu hii ndio ilikuwa inategemewa kuitoa TP MAZEMBE? kweli ukipenda pengo utaita mwanya.