Baba Sharon
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 373
- 248
Mnaiombea Azam yetu ifungwe ili eti nyie muwe Mabingwa, acheni Mpira wa RAMLI ala!!!
Mkuu si mna msiba nyie mkahani mtuachie ubingwa au mnigeria yule si wa kwenu hamtakawia kumtosa
Mnaiombea Azam yetu ifungwe ili eti nyie muwe Mabingwa, acheni Mpira wa RAMLI ala!!!
hahahahahahaha ndiyo hivyo kibongo bongo......Hivi nani ana website mpya ya simba ? last time nilisoma mahali kuwa wameingia contract na some professional firm. Hii ya simba.co.tz jana ilikuwa inagoma na imekaa ki-lusinde, lusinde
Na ndivyo itakavyokuwa..........uzuri ni kwamba msimu huu wa Ligi hauna mizengwe kama msimu uliopita.......sisi ni kuwaombea njaa Azam tunaipenda simba sports club kwa udi na uvumba. mabingwa ndo sisi
Mkuu, Unaitofautisha je yanga na Toto...Yanga wangependa ubingwa uchukuliwe na Azam na Siyo Simba hiyo mipango inaweza kufanyika kwa toto akapigwa mengi tu.....Bado sana kushangilia. Tunahitaji kama goli 6-0 ili kuepusha upangaji wa matokeo wa Azam iwapo ataendelea kushinda. Azm itapata upinzani kwa Toto, lakini itakuja kuifunga Kagera hata 5-0, so tunahitaji bao sita hivi ili tuone kama wataifunga Kagera 10-0
Mkuu, Unaitofautisha je yanga na Toto...Yanga wangependa ubingwa uchukuliwe na Azam na Siyo Simba hiyo mipango inaweza kufanyika kwa toto akapigwa mengi tu.....
hayo ndo maneno.Bado sana kushangilia. Tunahitaji kama goli 6-0 ili kuepusha upangaji wa matokeo wa Azam iwapo ataendelea kushinda. Azm itapata upinzani kwa Toto, lakini itakuja kuifunga Kagera hata 5-0, so tunahitaji bao sita hivi ili tuone kama wataifunga Kagera 10-0
Je Azam FC inanunua mechi tangu mechi ya Azam na Yanga tuliona kadi nyekundu, mechi ya Polisi na Azam mchezaji wa Polisi alipewa kadi nyekundu, leo mechi ya Azam na Mtibwa tumeona kadi nyekundu....je Azam wanafanya mchezo mchafu?
kwakweli inastaajabisha. Inawezekana kabisa kuna mchezo mchafu unatawala.Je Azam FC inanunua mechi tangu mechi ya Azam na Yanga tuliona kadi nyekundu, mechi ya Polisi na Azam mchezaji wa Polisi alipewa kadi nyekundu, leo mechi ya Azam na Mtibwa tumeona kadi nyekundu....je Azam wanafanya mchezo mchafu?
Je Azam FC inanunua mechi tangu mechi ya Azam na Yanga tuliona kadi nyekundu, mechi ya Polisi na Azam mchezaji wa Polisi alipewa kadi nyekundu, leo mechi ya Azam na Mtibwa tumeona kadi nyekundu....je Azam wanafanya mchezo mchafu?