Bado....dk ni ya 37mechi imeisha?
SIMBA bingwa tayari mechi ya Azam imeisha wakiwa 1-1Mungu saidia azam itoe droo tutangaze ubingwa.
SIMBA bingwa tayari mechi ya Azam imeisha wakiwa 1-1
Simba bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
2011/2012
Ni hayo2
Mwaka huu kweli sio wa KIJANI maana kijani ikiwa uwanjani (Yanga) ni ngumi na kareti. Kijani(Lusinde) ikiwa jukwaani ni matusi bila sera. Muniwie radhi ni fikra tuu.