Simba 1 na Moro 0 goli limefungwa dakika ya 16 na Mafisango
Azam FC 1 na Mtibwa 1 wafungaji Salum Swedi na Mrisho Ngasa
Ikiwa hivyo unavyopenda automatically Simba atatangazwa kuwa bingwa leo hii.Napenda Azam wadroo au wafungwe leo
Napenda Azam wadroo au wafungwe leo
Ni haruna Moshi Boban kwa kazi nzuri ya Uhuru selmeani ......Simba 2 na Moro 0
Mkuu na Matokeo ya Azam vipi mpaka sasa?Simba 2 Moro 0 Ubingwa huooooooo
Hahah nina Helmet mkuuAnagalia Mama Sharon asiku-kanumba
Azam na Mtibwa bado ni 1-1Mkuu na Matokeo ya Azam vipi mpaka sasa?