Utakuwa wa kukunja na kukunjua, tayari tushaanza kuujenga kwenye jengo letu pale Msimbazi, ukishakamilika tunaubeba kuupeleka Bunju kwa hiyo mnaokuwa mnauli uliza tulizeni mizuka, uwanja uko hatua za awali tunajengea ndani mtauona tu ukishakamilika.Jamani mtu yeyote aliye karibu na Rage atujuze, au kama Rage mwenyewe anapitia hapa jamvini. Ule uwanja upo wapi mbona siku zinayoyoma kimya? Wale waturuki wamepotelea wapi?
Chama linanipa wasiwasi...sijui itakuaje
Chama linanipa wasiwasi...sijui itakuaje
Nadhani umefika wakati Simba kuvunja mkataba na Felix Sunzu wamlipe asepe. Haiwezekani strika alipwe dola 3500 kwa mwezi akose magoli vile hata Musa Mgosi waliyemtupia virago akosi magoli vile.. Watafute targetman mwingine mwenye njaa na nyavu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sisi hatukuhitaji ushindi jana, tulichokuwa tunataka ni draw na tuliipata.Nakubaliana na wewe, leo wote tumeona alivyoikosesha simba ushindi
Acha uzushi.Duh, kama kukosa magoli game moja/mbili basi adhabu ndiyo hizi basi akina Torres, carroll, Suarez au yule Manywele sura mbaya wa arsenal (from Ivory Coast) wangeshakatwa vichwa !!
Huwezi kumfananisha huyu na wale mabondia Mwape na Asamoah !