shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,304
Simba polen mwabid mjilaumu kukosa magoli
Badala ya kulilia point za mezani, dawa ni kushinda ndani ya dakika 90 ili kupata point zisizo na magumashi.Kweli mpira wa Bongo kizungumkuti. Yaani suala la kujua kama mchezaji alipewa kadi au la linakuwa gumu kiasi hiki! Basi na hiyo kamati iliyokuwa imefanya maamuzi ya awali ivunjwe kabisa na kuundwa upya.
Kama huiamini TFF napata mashaka kidogo....unda yakoHaya yalitegemewa,kwa TFF hii ya malinzi simba haiwezi kutendewa haki
Jifunze kuheshimu mawazo ya wengine, haikupunguzii chochoteKama huiamini TFF napata mashaka kidogo....unda yako
Mlishinda?Haya yalitegemewa,kwa TFF hii ya malinzi simba haiwezi kutendewa haki
Sawa na MANARA ametiwa hatiani una jingine la kusema?Jifunze kuheshimu mawazo ya wengine, haikupunguzii chochote
Kwa hiyo kumbe pamoja Na kagera kujua mchezaji ana kadi 3 bado kagera gains kosa
Source ya taarifa yako ni wapi mkuu?Kagera Sugar wanaweza kuwa na kosa lakini je sheria ilizingatiwa kwa mlalamikaji alifuata sheria kuwasilisha rufaa yake?
Kama wangewasilisha kwenye muda ilo suala la kadi ya njano ndipo lingeanza kufanyiwa kazi.