Simba na Yanga zote zitaingia makundi, lakini leo zimecheza chini ya kiwango

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,129
35,153
Leo Simba na Yanga zimecheza hatua ya pili ya mtoano (klabu bingwa Afrika) zikiwa ugenini, Simba ikitoa sare kwa taabu sana dhidi ya Power Dynamos ya Zambia na Yanga ikipata ushindi wa kawaida wa goli mbili bila dhidi ya El Merreikh ya Sudan.

Bila kumumunya maneno, ni wazi Yanga na Simba zitavuka kirahisi kwenda hatua ya makundi katika kombe la klabu bingwa Afrika, na hii ni kwa sababu zimekutana na timu dhaifu.

Tukianza na Simba, mechi ya leo imeonyesha wazi Simba kuwa na safu ya ulinzi mbovu na safu ya ushambuliaji lege lege.

Tukija kwa Yanga ambayo iko kwenye moto mkali na imekutana na timu dhaifu kutoka Sudan imeshindwa kupata ushindi mnoo wa goli tano (kawa ilivyo kawaida yao) na kuishia kupata ushindi wa goli mbili tu.

Kwa wadadisi wa mpira wanajua wazi, Simba na Yanga zilipaswa kumaliza issue ya kufuzu makundi leo (kwa kupata ushindi mnono ugenini) , kuliko kungojea mechi za marudiano Dar.
 
Acha kubalance habari. Simba ndiyo imecheza mpira mbovu. Na isipokubali kubadilika, safari yake msimu huu itaishia hatua inayofuata ya makundi.

Ushindi wa 0-2 wa Yanga katika uwanja wa ugenini, ni wa kupongezwa. Maana hao Al Merreikh watalazimika kushinda 0-3 katika uwanja wa Mkapa, jambo ambalo ni gumu sana kwao hata kama mpira unadunda.
 
Leo Simba na Yanga zimecheza hatua ya pili ya mtoano (klabu bingwa Afrika) zikiwa ugenini, Simba ikitoa sare kwa taabu sana dhidi ya Power Dynamos ya Zambia na Yanga ikipata ushindi wa kawaida wa goli mbili bila dhidi ya El Merreikh ya Sudan.

Bila kumumunya maneno, ni wazi Yanga na Simba zitavuka kirahisi kwenda hatua ya makundi katika kombe la klabu bingwa Afrika, na hii ni kwa sababu zimekutana na timu dhaifu.

Tukianza na Simba, mechi ya leo imeonyesha wazi Simba kuwa na safu ya ulinzi mbovu na safu ya ushambuliaji lege lege.

Tukija kwa Yanga ambayo iko kwenye moto mkali na imekutana na timu dhaifu kutoka Sudan imeshindwa kupata ushindi mnoo wa goli tano (kawa ilivyo kawaida yao) na kuishia kupata ushindi wa goli mbili tu.

Kwa wadadisi wa mpira wanajua wazi, Simba na Yanga zilipaswa kumaliza issue ya kufuzu makundi leo (kwa kupata ushindi mnono ugenini) , kuliko kungojea mechi za marudiano Dar.


Hamuwezi face the truth ndo maana mtafungwa milele, Yanga nimeshinda 2 bila, imemiliki mpira mda wote, attempt za kutosha, unaifananisha na ujinga gani?
 
Leo Simba na Yanga zimecheza hatua ya pili ya mtoano (klabu bingwa Afrika) zikiwa ugenini, Simba ikitoa sare kwa taabu sana dhidi ya Power Dynamos ya Zambia na Yanga ikipata ushindi wa kawaida wa goli mbili bila dhidi ya El Merreikh ya Sudan.

Bila kumumunya maneno, ni wazi Yanga na Simba zitavuka kirahisi kwenda hatua ya makundi katika kombe la klabu bingwa Afrika, na hii ni kwa sababu zimekutana na timu dhaifu.

Tukianza na Simba, mechi ya leo imeonyesha wazi Simba kuwa na safu ya ulinzi mbovu na safu ya ushambuliaji lege lege.

Tukija kwa Yanga ambayo iko kwenye moto mkali na imekutana na timu dhaifu kutoka Sudan imeshindwa kupata ushindi mnoo wa goli tano (kawa ilivyo kawaida yao) na kuishia kupata ushindi wa goli mbili tu.

Kwa wadadisi wa mpira wanajua wazi, Simba na Yanga zilipaswa kumaliza issue ya kufuzu makundi leo (kwa kupata ushindi mnono ugenini) , kuliko kungojea mechi za marudiano Dar.
Goli 2 kwa 0 ugenini siyo ushindi mnono! Naona unataka timu yako isikuone umeisaliti.
 
Acha kubalance habari. Simba ndiyo imecheza mpira mbovu. Na isipokubali kubadilika, safari yake msimu huu itaishia hatua inayofuata ya makundi.

Ushindi wa 0-2 wa Yanga katika uwanja wa ugenini, ni wa kupongezwa. Maana hao Al Merreikh watalazimika kushinda 0-3 katika uwanja wa Mkapa, jambo ambalo ni gumu sana kwao hata kama mpira unadunda.
Hata Yanga tusijifariji sana sote tulikuwa wageni Rwanda, huo tunaoita team wenyeji ni wenyeji jina tu, wote tulikuwa wageni na uwanja na wote tulikuwa na washabiki wachache.
 
Leo Simba na Yanga zimecheza hatua ya pili ya mtoano (klabu bingwa Afrika) zikiwa ugenini, Simba ikitoa sare kwa taabu sana dhidi ya Power Dynamos ya Zambia na Yanga ikipata ushindi wa kawaida wa goli mbili bila dhidi ya El Merreikh ya Sudan.

Bila kumumunya maneno, ni wazi Yanga na Simba zitavuka kirahisi kwenda hatua ya makundi katika kombe la klabu bingwa Afrika, na hii ni kwa sababu zimekutana na timu dhaifu.

Tukianza na Simba, mechi ya leo imeonyesha wazi Simba kuwa na safu ya ulinzi mbovu na safu ya ushambuliaji lege lege.

Tukija kwa Yanga ambayo iko kwenye moto mkali na imekutana na timu dhaifu kutoka Sudan imeshindwa kupata ushindi mnoo wa goli tano (kawa ilivyo kawaida yao) na kuishia kupata ushindi wa goli mbili tu.

Kwa wadadisi wa mpira wanajua wazi, Simba na Yanga zilipaswa kumaliza issue ya kufuzu makundi leo (kwa kupata ushindi mnono ugenini) , kuliko kungojea mechi za marudiano Dar.
Well said mkuu!
 
Acha kubalance habari. Simba ndiyo imecheza mpira mbovu. Na isipokubali kubadilika, safari yake msimu huu itaishia hatua inayofuata ya makundi.

Ushindi wa 0-2 wa Yanga katika uwanja wa ugenini, ni wa kupongezwa. Maana hao Al Merreikh watalazimika kushinda 0-3 katika uwanja wa Mkapa, jambo ambalo ni gumu sana kwao hata kama mpira unadunda.
Simba ilicheza vibaya kipindi cha kwanza, lakini cha pili ilikosa magoli zaidi ya manne ya wazi.

Wakicheza hapa Dar namna walivyocheza kule Ndola hao Dynamos wanaweza kufungwa magoli mengi.
 
Back
Top Bottom