Brothers Karamazov
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 152
- 391
Tabora si haba kwa historia.
Mwaka 1975, Simba ilipigwa Na Yanga fainali ya Mapinduzi. Sasa Pale choma chankola, Igunga. Babu yake na Aden Rage, Mzee Dahel, alirecord matangazo ya ule mpira. Kisha Mzee akachukua bus mbili na kujaza mashabiki wa Yanga na kuanza kuzunguka mjini na spika zao zikitangaza huo mpira.
Sasa wamefika mtaa mmoja, kuna mama anawasimamisha, na kuwaeleza;
"kuna mtu amejidumbukiza kwenye pipa la maji moto".
Jamaa huyu alikuwa akiitwa Athumani Mlenda.
Simba kama Club waliubeba msiba huu na maziko yalifanyikia mtaa wa Mihogoni, Tabora mjini. Pia walicheza mechi ya hisani na Combine ya Tabora ambapo mapato yote ya Mechi, familia ya Mlenda ilipewa.
Kisa hiki nimesimuliwa na kaka wa Athumani.
Tukio la huyu jamaa kujiua tena kwa kujitumbukiza kwenye pipa la Maji moto, ni la kipekee na la kihistoria kwa mpira wa Simba na Tanzania kwa ujumla.
Kwa sababu ni tukio ambalo Simba inalifahamu pasi na shaka, nawashauri kwenye 'Section' yao pale Makumbusho ya Taifa muiweke.
Mwaka 1975, Simba ilipigwa Na Yanga fainali ya Mapinduzi. Sasa Pale choma chankola, Igunga. Babu yake na Aden Rage, Mzee Dahel, alirecord matangazo ya ule mpira. Kisha Mzee akachukua bus mbili na kujaza mashabiki wa Yanga na kuanza kuzunguka mjini na spika zao zikitangaza huo mpira.
Sasa wamefika mtaa mmoja, kuna mama anawasimamisha, na kuwaeleza;
"kuna mtu amejidumbukiza kwenye pipa la maji moto".
Jamaa huyu alikuwa akiitwa Athumani Mlenda.
Simba kama Club waliubeba msiba huu na maziko yalifanyikia mtaa wa Mihogoni, Tabora mjini. Pia walicheza mechi ya hisani na Combine ya Tabora ambapo mapato yote ya Mechi, familia ya Mlenda ilipewa.
Kisa hiki nimesimuliwa na kaka wa Athumani.
Tukio la huyu jamaa kujiua tena kwa kujitumbukiza kwenye pipa la Maji moto, ni la kipekee na la kihistoria kwa mpira wa Simba na Tanzania kwa ujumla.
Kwa sababu ni tukio ambalo Simba inalifahamu pasi na shaka, nawashauri kwenye 'Section' yao pale Makumbusho ya Taifa muiweke.