Anacheza namba zote. Uelewa wa mashabiki wengi wa Tanzania ni mdogo sana. Mpira unachezwa sio pale uwanjani tu. Mpira unaanza kuchezwa nje ya uwanja.Mohamed dewji anqcheza namba ngapi
Anacheza namba zote. Uelewa wa mashabiki wengi wa Tanzania ni mdogo sana. Mpira unachezwa sio pale uwanjani tu. Mpira unaanza kuchezwa nje ya uwanja.Mohamed dewji anqcheza namba ngapi
Kabla ya Mo mlikuwa mnaishia makundi au preriminary stageAnacheza namba zote. Uelewa wa mashabiki wengi wa Tanzania ni mdogo sana. Mpira unachezwa sio pale uwanjani tu. Mpira unaanza kuchezwa nje ya uwanja.
Ndio ushuzi unaowaza huuNchi ngumu sana hii hakuna tatizo kubwa simba ila bwana miungu watu wamesema timu isishinde itie aibu ama sivyo anatekwa tena kwa hyo kuwa mvumilivu tu
Na hii ndio changamoto ya vijana wa sasa na kushabikia timu. Wao ni kulaumu na kumlaumu Mo kila siku. Sisi watu wazima, hatutamami soka la Tanzania kurudi kule kwa zamani kuongozwa na makomandoo. Ni vyema tuache haya maneno na chokochoko kwa usalama wa timu zetu na murndelezo wa mpira wetu.Midomo mmepewa bure ongeeeni mpka mteme nyongo...
Yani wanaboa sana..so Mo ndo kawafungisha? Yani Simba ya Mo iko top ten Africa..hivi vichangamoto vya wachezaji ambao kesho keshokutwa wanakuwa replaced mbona ni tatizo dogo tuu litarekebishwa...yani mpira umevamiwa na vitoto vingi..vitoto malalamiko..havi reason..sasa kuna timu duniani haipitii changamoto?Na hii ndio changamoto ya vijana wa sasa na kushabikia timu. Wao ni kulaumu na kumlaumu Mo kila siku. Sisi watu wazima, hatutamami soka la Tanzania kurudi kule kwa zamani kuongozwa na makomandoo. Ni vyema tuache haya maneno na chokochoko kwa usalama wa timu zetu na murndelezo wa mpira wetu.
Hakuna timu isiyofungwa chini ya jua. Simba wakifungwa ni lawama na maneno kwa kwenda mbele.
Ngozi nyeusi shukrani uwa hamna kabisa!! Uyo MO Dewji ndio kawatoa heda ! Mlikaa miaka minne bila hata ubingwa wa kombe la kahawa! Timu ilikuwa ikienda mikoani kucheza ligi lazima ipite kila wilaya kucheza ndondo kutafuta nauli ndio ifike daslamu. Ngozi nyeusi miyeyusho sanaHuna akili. Jipu ni Mohammed Dewji. Fala wewe usie na akili.
Benchikha anacheza namb ngapi?Mohamed dewji anqcheza namba ngapi
Jana niliangalia wakicheza na Ihefu. Mbona timu inacheza vizuri tu. Hata game na Al Ahly walicheza vizuri tu. Kufungwa ni kitu cha kawaida tu.Yani wanaboa sana..so Mo ndo kawafungisha? Yani Simba ya Mo iko top ten Africa..hivi vichangamoto vya wachezaji ambao kesho keshokutwa wanakuwa replaced mbona ni tatizo dogo tuu litarekebishwa...yani mpira umevamiwa na vitoto vingi..vitoto malalamiko..havi reason..sasa kuna timu duniani haipitii changamoto?
Pesa isiwe chanzo cha fedheha. Timu sio ya kwake. Atuachie tuanze upya.Ngozi nyeusi shukrani uwa hamna kabisa!! Uyo MO Dewji ndio kawatoa heda ! Mlikaa miaka minne bila hata ubingwa wa kombe la kahawa! Timu ilikuwa ikienda mikoani kucheza ligi lazima ipite kila wilaya kucheza ndondo kutafuta nauli ndio ifike daslamu. Ngozi nyeusi miyeyusho sana