Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 400
- 666
Kwanza hongereni timu ya wananchi.
Hakika mmeonyesha kile ambacho mashabiki zenu walikuwa wakitegemea na kazi bora ya viongozi chini ya Hersi.
Tofauti yenu na Simba kwasasa ni kubwa hilo halina ubishi, mmekuwa ni timu ya kiushindani, kujituma, kujitoa, kucheza kitimu pamoja na nidhamu ya wachezaji.
Kwa miaka ya karibuni mmeshaweka alama yenu kwenye mashindano ya Africa kuanzia kombe la shirikisho hadi club bigwa mmeiheshimisha soka letu.
Mnauwezo wa kupambana na timu yoyote Afrika kwa ubora mlio nao sasa.
Sisi makolo bado tunaamini ni timu kubwa kwa nadharia ila kivitendo kwa Sasa hamna kitu, wachezaji wazito kama hakuna kocha wa viungo, wavivu, wachoyo rejea babu yetu Saido n.k.
Hongereni naona mkifika mbali kwa hali mliyokuwa nayo ya mafanikio.
Hakika mmeonyesha kile ambacho mashabiki zenu walikuwa wakitegemea na kazi bora ya viongozi chini ya Hersi.
Tofauti yenu na Simba kwasasa ni kubwa hilo halina ubishi, mmekuwa ni timu ya kiushindani, kujituma, kujitoa, kucheza kitimu pamoja na nidhamu ya wachezaji.
Kwa miaka ya karibuni mmeshaweka alama yenu kwenye mashindano ya Africa kuanzia kombe la shirikisho hadi club bigwa mmeiheshimisha soka letu.
Mnauwezo wa kupambana na timu yoyote Afrika kwa ubora mlio nao sasa.
Sisi makolo bado tunaamini ni timu kubwa kwa nadharia ila kivitendo kwa Sasa hamna kitu, wachezaji wazito kama hakuna kocha wa viungo, wavivu, wachoyo rejea babu yetu Saido n.k.
Hongereni naona mkifika mbali kwa hali mliyokuwa nayo ya mafanikio.