Simba bado inashikilia rekodi ya kuifunga yanga 6-0 ilibaki kidogo Yanga wafute rekodi, pongezi kwa Yanga.

20230716_195328.jpg
 
Leo nimeona watu wazima wanalia kilio uwanjani sio kutokwa tu na machozi Bali ni kilio kabisa sometimes football is crazy aiseee !!!
 
Back
Top Bottom