Simama na Rais Magufuli kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo: Hatuwezi kuuza ardhi yetu vipande vipande kwa wageni

Umeinukuu kutoka wapi?
Naona umejitangaza kuwa upo Chuo Kikuu Mzumbe; huko hawawafundishi namna ya kuweka nukuu?

Ni lini na nchi gani ambako mtu binafsi alikwenda kukopa akaweka rehani ardhi, na aliposhindwa kulipa ardhi ya nhi hiyo ikatwaliwa na kuwa ya nchi nyingine. Unayo mifano ya namna hiyo utuwekee hapa nasi tuione?

Mradi wa Bagamoyo ni deni?
Inaonyesha huna ufahamu wa lolote unaloandika, kwa hiyo unachosha kusoma hata hayo mengine yaliyobaki kusomwa.

Mbona wanaoonekana kuwa wasomi wetu wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Sasa usije hapa na kulalamika nawatetea Wachina au hao wakopaji wanaoweka rehani ardhi, kwa sababu najua kuna matapeli wengi, na kwa uhakika iwe ni nchi au taasisi unaowaendea kutafuta msaada (mkopo), ni lazima tu watataka wakugonge kiasi cha kutosha kama hujui unachotafuta.
Kwa usomi na uwezo huu mnaotuonyesha hapa, ni hakika kabisa tunapowatuma kwenda kufanya mapatano huko na hawa watu, nyinyi ni watu wa kugongwa tu, kwa sababu hamjiamini na wala hamna uthubutu wa kuonyesha uwezo mnao.

Nyinyi ndio wale wale, akina Chenge, wanaojidai wao mikataba haiwapi taabu kuielewa; wanaweza kuamshwa usingizini na kujua mkataba mzuri na mbaya! Majigambo yasiyokuwa na ukweli wowote tukichukulia mikataba aliyoipitisha akiwa Attorney General.

Na nyinyi, sio akina Chief Mangungo, kwani huyu hakupata fursa kama mliyopewa nyinyi. Tulijinyima sana kuwapa kidogo tulichokuwa nacho ghalani wakati wa njaa ili mkahemee kijiji cha jirani. Matokeo yake ndio haya tunayaona sasa hivi na akina Chenge na watu kama mleta mada.

Kama kweli unataka nchi yako ifanikiwe, usitumie udhaifu huu wa kutafuta sifa zisizo na maana. Kaa chini na hao unaojadiliana nao, ukijua vyema maslahi ya nchi yako na ukitambua unayejadiliana naye pia anayo maslahi yake.

Kosa nadhani tunafanya kuita vitu hivi kuwa ni 'msaada'. Hii sio misaada. Watu wanafanya biashara, hata kama ni mikopo.

Sasa hayo masharti unayotuletea hapa kama upo kwenye kampeni za siasa, sisi zitatusaidia nini kama si kukuona kuwa una ujinga umekujaa kichwani.

Imebidi niandike hivi, kwani inachosha sana kutufanya sote kama wapumbavu hivi tusioweza kuelewa kitu chochote.

Safari nyingine ukiandika kuhusu matapeli ya KiChina na serikali yao, jaribu kujitahidi ueleze pia jinsi wanavyojitetea kujikinga na kampeni hizi nyingi wanazofanyiwa na baadhi ya hao wanaowachota akili nyinyi.
Wewe uko ovyo. Kumbuka nchi hii imeendelea kuwa maskini kwasababu ya ujinga wa viongizi wachache kumbuka mikataba ya madini ambayo nchi hii iliingia na wazungu kwa miaka Zaid ya 100
 
Na
Felician Andrew
Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro


“Kuna watu wamechukulia mikopo mikubwa ya fedha kwenye mabenki ya ulaya huku dhamana zikiwa ni ardhi ya Tanzania hivyo wakishindwa kurejesha mikopo hiyo maana yake ardhi yetu itakuwa ni mali za mabenki hayo ya ughaibuni”

Nimeamua kuanza na nukuu hiyo ili uone mahala ambapo nchi yetu imefika kiwango ambacho watu wachache wenye uwezo wa kifedha wanaweza wakaweka rehani ardhi ambayo mababu zetu na wapigania uhuru walimwaga damu zao ili leo hii iweze kuwanufaisha watanzania wote. Ukaribu kabisa wa jambo hili linafanana na mkataba wenye masharti ya kinyonyaji ambao kampuni ya kibepari ya China Merchants Port Holdings Company Limited yenye Makao yake makuu Hong Kong inataka Tanzania kuingia mtego na mwisho kujimilikisha ardhi na mali za taifa hili kwa muda mrefu.

Historia inaonyesha ya kuwa mjerumani Karl Peters maarufu kama Mkono wa Damu akiwa na umri wa miaka 28 katika mwaka 1884 alisafiri kutoka Ujerumani akijifanya fundi makenikia (Machenical Engineer )hadi kufika Zanzibar na baadae kuingia bara katika mwaka huo huo. Walifika Saadani mkaoni Tanga wakasafiri tena hadi Uzigua ambako hapo ndio walimsainicha Chifu Mbwela wa Uzigua mkataba wa kwanza na kila walikopita waliwasainisha machifu mikataba ya ulaghai iliyokuw an alengo la kuina ardhi kutoka mikononi mwa wazawa na kwenda chini ya himaya ya ujerumani.

Mkataba maarufu unaotajwa sana ni ule wa Chifu Mangungo wa Msovero na Karl Peters uliofanywa Novemba 1884, sehemu ndogo ya mkataba huu ilisema ya kuwa….
“Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.” Kwa tafisiri rahisi ya Kiswahili ilimaanisha ya kuwa “Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.”

Sehemu kubwa ya wizi na uporaji wa haki ya watu hawa waliokuwa chini ya Mangungo ulifanywa na aliyekuwa mkalimani aliyejulikana kwa jina la Ramzan ambaye kwa sehemu kubwa alimpotosha Mangungo mpaka kuingia kwenye Maktaba huu wa ulaghai na mwisho kkujikuta wamegawa kwa wajerumani sehemu yote ya ardhi pamoja na watu wao.

KISA CHA MANGUNGO NA BANDARI YA BAGAMOYO
Mwaka 2015 serikali ya Tanzania chini ya Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete iliingia makaubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo ilikuwa inagharimu zaidi ya shilingi za kitanzania trlliioni 22. Kwa mujibu wa makubaliano ya Mradi huu kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited iliyoanzishwa mwaka 1997 ndio ilikuwa na jukumu la ujenzi huku fedha nyingine zikiwa ni ushirikiano baina ya serikali ya Oman na Tanzania.

Mradi huu ambao kwa muonekano wa kibiashara ni mzuri na wenye faida nyingi lakini ndani yake ulijaa masharti magumu ambayo yangepelekea mpaka kukamilika kwa ujenzi wake basi Tanzania isingekuwa na uwezo wa kulipa deni hilo na mwisho bandari hiyo kurudi tena mikononi mwa kampuni hii kubwa ya China ambayo imekuwa ikifanya michezo hii kwa mataifa mengi duniani.

Masharti yaliyomo kwenye mkataba au makubaliano haya yanailazimisha serikali ya Tanzania kuwa tayari kuachia bandari kuendeshwa na wachina kwa muda wa miaka 33 hadi 99 mpaka pale kampuni hoiyo itakapokuwa imerudisha fedha zake; mtego huu ndio sababu ya watanzania wote tuatakiwa kusimama na kumuunga mkono Rais Magufuli kwani kama serikali ingekubali mradi huu kutekeelzeka kwa matakwa ya kampunii hii basi sehemu yote ya Bandari hiyo ingekuwa chini ya umiliki wa Kampuni hii ya China kwa muda mrefu mpaka miaka 99.

Huu ni mfano tosha wa mkataba wa Uchimbaji wa gesi kule mkoani Mtwara ambapo katika mkataba sehemu ya gesi iliyokuwa inachimbwa ilitakiwa kusafirishwa kwenda nchini China.

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli kukataa masharti ya kinyonyaji yaliyomo ndani ya mikataba hii ya makampuni makubwa kunamfanya Rais Magufuli kuishi maneno ya Mwalimu Nyerere baada ya kukataa makampuni ya kinyonyaji kuchimba madini na kusema tutachimba madini siku tukiwa tayari tukiwa na vizazi vyenye uwezo wa kusimamia madini yao na tukiwa na wataalamu wakutosha kuongoza sekta hiyo ya madini nchini. Hata sasa Rais Magufuli amehakikisha jambo hili halifanyiki kwani kama angekubali basi taifa linhekuwa limeingia katika mtego wa kuingia kwenye mkataba wa ulaghai.


Kisa cha Djibout na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Hadi kufikia Februari 2019, nchi ya Djibout iliiingia kwenye mgogoro mkubwa wa umiliki wa Bandari iliyojengwa na kampuni hili kubwa ya kichina ambayo ilipelekea nchi ya Djibout kukosa uhalali wa umiliki wa bandari yao ambayo ndio bandari kubwa kabisa katika rasi ya afria Mashariki.

Kupitia mikataba hii ya kilaghai viongozi wa taifa la Djibout wamejikuta sasa wana deni kubwa ambalo ni sawa na asilimia 44 ya Mapato ya taifa hilo yaani GDP fedha ambayo inaifanya basnari hiyo kuw achini ya umiliki wa ampuni hii yakichina kwa muda wa miaka 30 huku kampuni hiyo ikiw ana uwezo wa kujenga tena na kupanua au kufanya biashara kwenye badnari hiyo kadriwatakavyo bila kuingiliwa na nchi ya Djibout. UNaweza ukashangaa mambo haya yanafanyikaje katika dunia ya leo ila huu ni mfano halisi wa mikataba ya ulaghai ambayo nchi masikini au zinazoendelea zimekuwa zikiingia mkenge kwenye kampuni hili kubwa la China.

Kisa cha Bandari ya Sri lanka na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Mwaka 2017 serikali ya Sri Lanka iliingai makubalinao na kampuni hii kwa ajili ya ujenzi wa Bandari iliyojulikana kama Hambantota Port huku makubaliano yakiwa yanahusisha utaoji wa mkopo wa dola za kimarekani bilioni 1.2 kwa mkataba wa miaka 99 huku kampuni hiyo ikiwa inachukua asilimia 85 ya umiliki wa Bandar na eneo la zaidi ya hekari 15000.

Kutokana na uharaka wa viongozi wa Sri Lanka na kwa kuwa walikuwa wakielekea kwenye uchaguzi wakajikuta wanaingia makubaliano yale na kusaini kuuza ardhi na bandari yao kwa kampuni hii ya kichina kwa muda wa miaka 99 kutokana na deni hilo kukua kwa kasi kulinganisha na uwezo wa taifa hilo kulipa deni hilo kubwa.

Ni mikataba kama hii ndiyo imeifanya leo nchi jirani ya Zambia kuwa katika hatari kubwa ya kuporwa Shirika lake la Umeme (ZESCO), Shirika la Utangazaji Zambia (ZNBC) pamoja na Airpot ya Keneth Kaunda ili kufidia deni ambalo lilikopwa na serikali ya Zmabi kutoka China

Nchi ya Angola imepata pia pigo kama hilo baada yakushindwa kulipa deni lae na kujikuta ikitakiwa kutoa sehemu kubwa ya mafuta yanayozalishwa nchini humo kupelekwa China kama sehemu ya kupunguza deni ambalo wanadaiwa na makampuni ya fedha ya nchini China ikiwemo EXIM BANK CHINA, Benki ya Viwanda na Biashara ya China na Beki ya Maendeleo ya China yenye thamani ya dola za marekani bilioni 14.5 na jambo hili sasa linaifanya China kuwa taifa la pili kwa usambazaji wa mafuta duniani nyuma ya Saudi Arabia.

Yako mataifa mengi ambayo yameingia katika mikataba hii ya ulaghai na kampuni hii kubwa ya ujenzi wa Bandari kutokea China ambayo ni moja katik ya makampuni makubwa duniani yenye uwezo mkubwa wa kifedha huku India ikiwa ni moja kati ya mataifa ya mfano duniani kukataa ofa kama ile waliyopewa Sri Lanka ya ujenzi wa bandari.

Mwisho:
Rais Magufuli kwa niaba ya watanzania wote ameweka mbele maslahi ya nchi hii na muda wote amesimamia maslahi ya nchi yetu kwa kupigania na kuwapinga wanyonyaji hadharani. Uhuru wa nchi yetu na rasilimali zake lazima ulindwe kwa gharam zote kwani ni jambo la aibu kuingia makubaliano ambayo mwekezaji atakuwa mamlaka makubwa ya kiwango ambacho ndiye atakua mmiliki wa bandari na atakuwa mwenye mamlaka ya kupnaga kiwango cha tozo badnarini, atakuwa na mamlka ya kukusnya tozo za bandarini na kuusimamia mradi bila kuingiliwa na mtu yeyote mpaka hapo atakapokuwa amerejesha gaharama zake. Mikataba ya hivi ni mikataba ya kikoloni yenye lengo ya kuzirudisha nyuma nchi za kiafrika katika zama za ukoloni.

Kwa mantiki hii tuwakatae wanasiasa wote wanaotumika na makampuni haya makubwa ili kushinikiza utekelezaji wa miradi hii ya kinyonyaji nchini na kujikuta tunaingia kweny emitego kama ambayo nchi nyingine duniani na afrika zimeishaingia.

Tanzania ni moja, na Hakuna Tanzania nyingine hivyo miradi yote na mambo yote lazima yazingatie maslahi mpana ya taifa letu kama ambavyo amefanya Rais Magufuli.
Nasimama na Rais Magufuli, Nachagua kuwa Mzalendo.
Binafsi raisi siwezi kusimama naye kwa sababu ya sera zake kandamizi .
Raisi ameisha waonea watumishi na amewadanganya kwa ahadi zake watanzania mara nyingi.
Kusema hivyo haina maana ninaunga mkono upumbavu huu wa kuingia mikataba yenye kuwanufaisha wezi wachache.

Ili binafsi nimuunge mkono yeye mwenye anatakiwa pia afahamu hata mikataba yake ya manunuzi ya ndege na mengine iwe wazi kwetu wananchi kwa maslahi ya nchi, kwa matendo yake ya kificho ndio maana leo hata kashindwa kuboresha maslahi na maisha ya watanzania kwa anayoyafanya. Hivyo ya kwake pia aanze kuyaweka wazi.
 
Umeinukuu kutoka wapi?
Naona umejitangaza kuwa upo Chuo Kikuu Mzumbe; huko hawawafundishi namna ya kuweka nukuu?

Ni lini na nchi gani ambako mtu binafsi alikwenda kukopa akaweka rehani ardhi, na aliposhindwa kulipa ardhi ya nhi hiyo ikatwaliwa na kuwa ya nchi nyingine. Unayo mifano ya namna hiyo utuwekee hapa nasi tuione?

Mradi wa Bagamoyo ni deni?
Inaonyesha huna ufahamu wa lolote unaloandika, kwa hiyo unachosha kusoma hata hayo mengine yaliyobaki kusomwa.

Mbona wanaoonekana kuwa wasomi wetu wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Sasa usije hapa na kulalamika nawatetea Wachina au hao wakopaji wanaoweka rehani ardhi, kwa sababu najua kuna matapeli wengi, na kwa uhakika iwe ni nchi au taasisi unaowaendea kutafuta msaada (mkopo), ni lazima tu watataka wakugonge kiasi cha kutosha kama hujui unachotafuta.
Kwa usomi na uwezo huu mnaotuonyesha hapa, ni hakika kabisa tunapowatuma kwenda kufanya mapatano huko na hawa watu, nyinyi ni watu wa kugongwa tu, kwa sababu hamjiamini na wala hamna uthubutu wa kuonyesha uwezo mnao.

Nyinyi ndio wale wale, akina Chenge, wanaojidai wao mikataba haiwapi taabu kuielewa; wanaweza kuamshwa usingizini na kujua mkataba mzuri na mbaya! Majigambo yasiyokuwa na ukweli wowote tukichukulia mikataba aliyoipitisha akiwa Attorney General.

Na nyinyi, sio akina Chief Mangungo, kwani huyu hakupata fursa kama mliyopewa nyinyi. Tulijinyima sana kuwapa kidogo tulichokuwa nacho ghalani wakati wa njaa ili mkahemee kijiji cha jirani. Matokeo yake ndio haya tunayaona sasa hivi na akina Chenge na watu kama mleta mada.

Kama kweli unataka nchi yako ifanikiwe, usitumie udhaifu huu wa kutafuta sifa zisizo na maana. Kaa chini na hao unaojadiliana nao, ukijua vyema maslahi ya nchi yako na ukitambua unayejadiliana naye pia anayo maslahi yake.

Kosa nadhani tunafanya kuita vitu hivi kuwa ni 'msaada'. Hii sio misaada. Watu wanafanya biashara, hata kama ni mikopo.

Sasa hayo masharti unayotuletea hapa kama upo kwenye kampeni za siasa, sisi zitatusaidia nini kama si kukuona kuwa una ujinga umekujaa kichwani.

Imebidi niandike hivi, kwani inachosha sana kutufanya sote kama wapumbavu hivi tusioweza kuelewa kitu chochote.

Safari nyingine ukiandika kuhusu matapeli ya KiChina na serikali yao, jaribu kujitahidi ueleze pia jinsi wanavyojitetea kujikinga na kampeni hizi nyingi wanazofanyiwa na baadhi ya hao wanaowachota akili nyinyi.
Yaani pamoja na kuandika kote huko hakuna hoja ya maana uliyoitoa

Inamaana pamoja na mifano yoote aliyoitoa mleta mada juu ya jinsi hiyo kampuni ya China Merchant ilivyofanya matukio ya kilaghai kwa nchi kadhaa bado huitaji tu kuelewa

Nani aliekuaminisha kwamba hawa jamaa wawekezaji wako tayari kukaa chini na kulegeza masharti ya mkataba..?

Pamoja na hayo, je hatua aliyochukua raisi wetu ya kukataa hata kukaa nao chini ni mbaya kwa mtazamo wako....?

Mtu keshaonesha nia ovu ya uchu wa kupora kila kitu ulichokuwa nacho kwa maaharti hayo machache ya mwanzoni utawezaje kukaa nae chini mkakubaliana mpaka kufikia na ww kunufaika ikiwa unaijua hali ya nchi kiuchumi kwamba hata kuchangia sidhani kama itaweza kwa asilimia za kutosha kupata zaidi ya asilimia 50.

Muda mwingine tusijitie uchizi kwa mambo yaliyoko wazi kabisa tushikamane na kufanya maamuzi ya pamoja yenye tija kwa Taifa

NAMPONGEZA NA KUUMUUNGA MKONO RAISI WANGU JPM KWA KUKATAA MIKATABA YA KINYONYAJI NA ISIYOKUWA NA TIJA KWA TAIFA.
 
Huu ujinga mtauacha lini eti Magu hakuwapo ktk hiyo serikali, yeye alikuwa rais? Ufipa mmelaaniea kwa kweli na Mungu awasukumizie zaidi huko kwenye laana zaidi!
Ufipa ndio waliingia huu mkataba feki kumbe? Nilikuwa sijui.

Lilaaniwe lichama lililoifikisha nchi yetu hapa tulipo mpaka sasa.
 
Na
Felician Andrew
Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro


“Kuna watu wamechukulia mikopo mikubwa ya fedha kwenye mabenki ya ulaya huku dhamana zikiwa ni ardhi ya Tanzania hivyo wakishindwa kurejesha mikopo hiyo maana yake ardhi yetu itakuwa ni mali za mabenki hayo ya ughaibuni”

Nimeamua kuanza na nukuu hiyo ili uone mahala ambapo nchi yetu imefika kiwango ambacho watu wachache wenye uwezo wa kifedha wanaweza wakaweka rehani ardhi ambayo mababu zetu na wapigania uhuru walimwaga damu zao ili leo hii iweze kuwanufaisha watanzania wote. Ukaribu kabisa wa jambo hili linafanana na mkataba wenye masharti ya kinyonyaji ambao kampuni ya kibepari ya China Merchants Port Holdings Company Limited yenye Makao yake makuu Hong Kong inataka Tanzania kuingia mtego na mwisho kujimilikisha ardhi na mali za taifa hili kwa muda mrefu.

Historia inaonyesha ya kuwa mjerumani Karl Peters maarufu kama Mkono wa Damu akiwa na umri wa miaka 28 katika mwaka 1884 alisafiri kutoka Ujerumani akijifanya fundi makenikia (Machenical Engineer )hadi kufika Zanzibar na baadae kuingia bara katika mwaka huo huo. Walifika Saadani mkaoni Tanga wakasafiri tena hadi Uzigua ambako hapo ndio walimsainicha Chifu Mbwela wa Uzigua mkataba wa kwanza na kila walikopita waliwasainisha machifu mikataba ya ulaghai iliyokuw an alengo la kuina ardhi kutoka mikononi mwa wazawa na kwenda chini ya himaya ya ujerumani.

Mkataba maarufu unaotajwa sana ni ule wa Chifu Mangungo wa Msovero na Karl Peters uliofanywa Novemba 1884, sehemu ndogo ya mkataba huu ilisema ya kuwa….
“Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.” Kwa tafisiri rahisi ya Kiswahili ilimaanisha ya kuwa “Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.”

Sehemu kubwa ya wizi na uporaji wa haki ya watu hawa waliokuwa chini ya Mangungo ulifanywa na aliyekuwa mkalimani aliyejulikana kwa jina la Ramzan ambaye kwa sehemu kubwa alimpotosha Mangungo mpaka kuingia kwenye Maktaba huu wa ulaghai na mwisho kkujikuta wamegawa kwa wajerumani sehemu yote ya ardhi pamoja na watu wao.

KISA CHA MANGUNGO NA BANDARI YA BAGAMOYO
Mwaka 2015 serikali ya Tanzania chini ya Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete iliingia makaubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo ilikuwa inagharimu zaidi ya shilingi za kitanzania trlliioni 22. Kwa mujibu wa makubaliano ya Mradi huu kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited iliyoanzishwa mwaka 1997 ndio ilikuwa na jukumu la ujenzi huku fedha nyingine zikiwa ni ushirikiano baina ya serikali ya Oman na Tanzania.

Mradi huu ambao kwa muonekano wa kibiashara ni mzuri na wenye faida nyingi lakini ndani yake ulijaa masharti magumu ambayo yangepelekea mpaka kukamilika kwa ujenzi wake basi Tanzania isingekuwa na uwezo wa kulipa deni hilo na mwisho bandari hiyo kurudi tena mikononi mwa kampuni hii kubwa ya China ambayo imekuwa ikifanya michezo hii kwa mataifa mengi duniani.

Masharti yaliyomo kwenye mkataba au makubaliano haya yanailazimisha serikali ya Tanzania kuwa tayari kuachia bandari kuendeshwa na wachina kwa muda wa miaka 33 hadi 99 mpaka pale kampuni hoiyo itakapokuwa imerudisha fedha zake; mtego huu ndio sababu ya watanzania wote tuatakiwa kusimama na kumuunga mkono Rais Magufuli kwani kama serikali ingekubali mradi huu kutekeelzeka kwa matakwa ya kampunii hii basi sehemu yote ya Bandari hiyo ingekuwa chini ya umiliki wa Kampuni hii ya China kwa muda mrefu mpaka miaka 99.

Huu ni mfano tosha wa mkataba wa Uchimbaji wa gesi kule mkoani Mtwara ambapo katika mkataba sehemu ya gesi iliyokuwa inachimbwa ilitakiwa kusafirishwa kwenda nchini China.

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli kukataa masharti ya kinyonyaji yaliyomo ndani ya mikataba hii ya makampuni makubwa kunamfanya Rais Magufuli kuishi maneno ya Mwalimu Nyerere baada ya kukataa makampuni ya kinyonyaji kuchimba madini na kusema tutachimba madini siku tukiwa tayari tukiwa na vizazi vyenye uwezo wa kusimamia madini yao na tukiwa na wataalamu wakutosha kuongoza sekta hiyo ya madini nchini. Hata sasa Rais Magufuli amehakikisha jambo hili halifanyiki kwani kama angekubali basi taifa linhekuwa limeingia katika mtego wa kuingia kwenye mkataba wa ulaghai.


Kisa cha Djibout na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Hadi kufikia Februari 2019, nchi ya Djibout iliiingia kwenye mgogoro mkubwa wa umiliki wa Bandari iliyojengwa na kampuni hili kubwa ya kichina ambayo ilipelekea nchi ya Djibout kukosa uhalali wa umiliki wa bandari yao ambayo ndio bandari kubwa kabisa katika rasi ya afria Mashariki.

Kupitia mikataba hii ya kilaghai viongozi wa taifa la Djibout wamejikuta sasa wana deni kubwa ambalo ni sawa na asilimia 44 ya Mapato ya taifa hilo yaani GDP fedha ambayo inaifanya basnari hiyo kuw achini ya umiliki wa ampuni hii yakichina kwa muda wa miaka 30 huku kampuni hiyo ikiw ana uwezo wa kujenga tena na kupanua au kufanya biashara kwenye badnari hiyo kadriwatakavyo bila kuingiliwa na nchi ya Djibout. UNaweza ukashangaa mambo haya yanafanyikaje katika dunia ya leo ila huu ni mfano halisi wa mikataba ya ulaghai ambayo nchi masikini au zinazoendelea zimekuwa zikiingia mkenge kwenye kampuni hili kubwa la China.

Kisa cha Bandari ya Sri lanka na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Mwaka 2017 serikali ya Sri Lanka iliingai makubalinao na kampuni hii kwa ajili ya ujenzi wa Bandari iliyojulikana kama Hambantota Port huku makubaliano yakiwa yanahusisha utaoji wa mkopo wa dola za kimarekani bilioni 1.2 kwa mkataba wa miaka 99 huku kampuni hiyo ikiwa inachukua asilimia 85 ya umiliki wa Bandar na eneo la zaidi ya hekari 15000.

Kutokana na uharaka wa viongozi wa Sri Lanka na kwa kuwa walikuwa wakielekea kwenye uchaguzi wakajikuta wanaingia makubaliano yale na kusaini kuuza ardhi na bandari yao kwa kampuni hii ya kichina kwa muda wa miaka 99 kutokana na deni hilo kukua kwa kasi kulinganisha na uwezo wa taifa hilo kulipa deni hilo kubwa.

Ni mikataba kama hii ndiyo imeifanya leo nchi jirani ya Zambia kuwa katika hatari kubwa ya kuporwa Shirika lake la Umeme (ZESCO), Shirika la Utangazaji Zambia (ZNBC) pamoja na Airpot ya Keneth Kaunda ili kufidia deni ambalo lilikopwa na serikali ya Zmabi kutoka China

Nchi ya Angola imepata pia pigo kama hilo baada yakushindwa kulipa deni lae na kujikuta ikitakiwa kutoa sehemu kubwa ya mafuta yanayozalishwa nchini humo kupelekwa China kama sehemu ya kupunguza deni ambalo wanadaiwa na makampuni ya fedha ya nchini China ikiwemo EXIM BANK CHINA, Benki ya Viwanda na Biashara ya China na Beki ya Maendeleo ya China yenye thamani ya dola za marekani bilioni 14.5 na jambo hili sasa linaifanya China kuwa taifa la pili kwa usambazaji wa mafuta duniani nyuma ya Saudi Arabia.

Yako mataifa mengi ambayo yameingia katika mikataba hii ya ulaghai na kampuni hii kubwa ya ujenzi wa Bandari kutokea China ambayo ni moja katik ya makampuni makubwa duniani yenye uwezo mkubwa wa kifedha huku India ikiwa ni moja kati ya mataifa ya mfano duniani kukataa ofa kama ile waliyopewa Sri Lanka ya ujenzi wa bandari.

Mwisho:
Rais Magufuli kwa niaba ya watanzania wote ameweka mbele maslahi ya nchi hii na muda wote amesimamia maslahi ya nchi yetu kwa kupigania na kuwapinga wanyonyaji hadharani. Uhuru wa nchi yetu na rasilimali zake lazima ulindwe kwa gharam zote kwani ni jambo la aibu kuingia makubaliano ambayo mwekezaji atakuwa mamlaka makubwa ya kiwango ambacho ndiye atakua mmiliki wa bandari na atakuwa mwenye mamlaka ya kupnaga kiwango cha tozo badnarini, atakuwa na mamlka ya kukusnya tozo za bandarini na kuusimamia mradi bila kuingiliwa na mtu yeyote mpaka hapo atakapokuwa amerejesha gaharama zake. Mikataba ya hivi ni mikataba ya kikoloni yenye lengo ya kuzirudisha nyuma nchi za kiafrika katika zama za ukoloni.

Kwa mantiki hii tuwakatae wanasiasa wote wanaotumika na makampuni haya makubwa ili kushinikiza utekelezaji wa miradi hii ya kinyonyaji nchini na kujikuta tunaingia kweny emitego kama ambayo nchi nyingine duniani na afrika zimeishaingia.

Tanzania ni moja, na Hakuna Tanzania nyingine hivyo miradi yote na mambo yote lazima yazingatie maslahi mpana ya taifa letu kama ambavyo amefanya Rais Magufuli.
Nasimama na Rais Magufuli, Nachagua kuwa Mzalendo.

Wekeni mkataba wazi tujue kilichopo sio kutuambia Magufuli analinda taifa. Huo Mkataba ulianza akiwa waziri mbona hakujiuzulu? Ni hivi, tuone mkataba tujue kilichopo tufanye maamuzi kwa utashi wetu na sio kwa hizi propaganda.
 
Na
Felician Andrew
Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro


“Kuna watu wamechukulia mikopo mikubwa ya fedha kwenye mabenki ya ulaya huku dhamana zikiwa ni ardhi ya Tanzania hivyo wakishindwa kurejesha mikopo hiyo maana yake ardhi yetu itakuwa ni mali za mabenki hayo ya ughaibuni”

Nimeamua kuanza na nukuu hiyo ili uone mahala ambapo nchi yetu imefika kiwango ambacho watu wachache wenye uwezo wa kifedha wanaweza wakaweka rehani ardhi ambayo mababu zetu na wapigania uhuru walimwaga damu zao ili leo hii iweze kuwanufaisha watanzania wote. Ukaribu kabisa wa jambo hili linafanana na mkataba wenye masharti ya kinyonyaji ambao kampuni ya kibepari ya China Merchants Port Holdings Company Limited yenye Makao yake makuu Hong Kong inataka Tanzania kuingia mtego na mwisho kujimilikisha ardhi na mali za taifa hili kwa muda mrefu.

Historia inaonyesha ya kuwa mjerumani Karl Peters maarufu kama Mkono wa Damu akiwa na umri wa miaka 28 katika mwaka 1884 alisafiri kutoka Ujerumani akijifanya fundi makenikia (Machenical Engineer )hadi kufika Zanzibar na baadae kuingia bara katika mwaka huo huo. Walifika Saadani mkaoni Tanga wakasafiri tena hadi Uzigua ambako hapo ndio walimsainicha Chifu Mbwela wa Uzigua mkataba wa kwanza na kila walikopita waliwasainisha machifu mikataba ya ulaghai iliyokuw an alengo la kuina ardhi kutoka mikononi mwa wazawa na kwenda chini ya himaya ya ujerumani.

Mkataba maarufu unaotajwa sana ni ule wa Chifu Mangungo wa Msovero na Karl Peters uliofanywa Novemba 1884, sehemu ndogo ya mkataba huu ilisema ya kuwa….
“Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.” Kwa tafisiri rahisi ya Kiswahili ilimaanisha ya kuwa “Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.”

Sehemu kubwa ya wizi na uporaji wa haki ya watu hawa waliokuwa chini ya Mangungo ulifanywa na aliyekuwa mkalimani aliyejulikana kwa jina la Ramzan ambaye kwa sehemu kubwa alimpotosha Mangungo mpaka kuingia kwenye Maktaba huu wa ulaghai na mwisho kkujikuta wamegawa kwa wajerumani sehemu yote ya ardhi pamoja na watu wao.

KISA CHA MANGUNGO NA BANDARI YA BAGAMOYO
Mwaka 2015 serikali ya Tanzania chini ya Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete iliingia makaubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo ilikuwa inagharimu zaidi ya shilingi za kitanzania trlliioni 22. Kwa mujibu wa makubaliano ya Mradi huu kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited iliyoanzishwa mwaka 1997 ndio ilikuwa na jukumu la ujenzi huku fedha nyingine zikiwa ni ushirikiano baina ya serikali ya Oman na Tanzania.

Mradi huu ambao kwa muonekano wa kibiashara ni mzuri na wenye faida nyingi lakini ndani yake ulijaa masharti magumu ambayo yangepelekea mpaka kukamilika kwa ujenzi wake basi Tanzania isingekuwa na uwezo wa kulipa deni hilo na mwisho bandari hiyo kurudi tena mikononi mwa kampuni hii kubwa ya China ambayo imekuwa ikifanya michezo hii kwa mataifa mengi duniani.

Masharti yaliyomo kwenye mkataba au makubaliano haya yanailazimisha serikali ya Tanzania kuwa tayari kuachia bandari kuendeshwa na wachina kwa muda wa miaka 33 hadi 99 mpaka pale kampuni hoiyo itakapokuwa imerudisha fedha zake; mtego huu ndio sababu ya watanzania wote tuatakiwa kusimama na kumuunga mkono Rais Magufuli kwani kama serikali ingekubali mradi huu kutekeelzeka kwa matakwa ya kampunii hii basi sehemu yote ya Bandari hiyo ingekuwa chini ya umiliki wa Kampuni hii ya China kwa muda mrefu mpaka miaka 99.

Huu ni mfano tosha wa mkataba wa Uchimbaji wa gesi kule mkoani Mtwara ambapo katika mkataba sehemu ya gesi iliyokuwa inachimbwa ilitakiwa kusafirishwa kwenda nchini China.

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli kukataa masharti ya kinyonyaji yaliyomo ndani ya mikataba hii ya makampuni makubwa kunamfanya Rais Magufuli kuishi maneno ya Mwalimu Nyerere baada ya kukataa makampuni ya kinyonyaji kuchimba madini na kusema tutachimba madini siku tukiwa tayari tukiwa na vizazi vyenye uwezo wa kusimamia madini yao na tukiwa na wataalamu wakutosha kuongoza sekta hiyo ya madini nchini. Hata sasa Rais Magufuli amehakikisha jambo hili halifanyiki kwani kama angekubali basi taifa linhekuwa limeingia katika mtego wa kuingia kwenye mkataba wa ulaghai.


Kisa cha Djibout na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Hadi kufikia Februari 2019, nchi ya Djibout iliiingia kwenye mgogoro mkubwa wa umiliki wa Bandari iliyojengwa na kampuni hili kubwa ya kichina ambayo ilipelekea nchi ya Djibout kukosa uhalali wa umiliki wa bandari yao ambayo ndio bandari kubwa kabisa katika rasi ya afria Mashariki.

Kupitia mikataba hii ya kilaghai viongozi wa taifa la Djibout wamejikuta sasa wana deni kubwa ambalo ni sawa na asilimia 44 ya Mapato ya taifa hilo yaani GDP fedha ambayo inaifanya basnari hiyo kuw achini ya umiliki wa ampuni hii yakichina kwa muda wa miaka 30 huku kampuni hiyo ikiw ana uwezo wa kujenga tena na kupanua au kufanya biashara kwenye badnari hiyo kadriwatakavyo bila kuingiliwa na nchi ya Djibout. UNaweza ukashangaa mambo haya yanafanyikaje katika dunia ya leo ila huu ni mfano halisi wa mikataba ya ulaghai ambayo nchi masikini au zinazoendelea zimekuwa zikiingia mkenge kwenye kampuni hili kubwa la China.

Kisa cha Bandari ya Sri lanka na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Mwaka 2017 serikali ya Sri Lanka iliingai makubalinao na kampuni hii kwa ajili ya ujenzi wa Bandari iliyojulikana kama Hambantota Port huku makubaliano yakiwa yanahusisha utaoji wa mkopo wa dola za kimarekani bilioni 1.2 kwa mkataba wa miaka 99 huku kampuni hiyo ikiwa inachukua asilimia 85 ya umiliki wa Bandar na eneo la zaidi ya hekari 15000.

Kutokana na uharaka wa viongozi wa Sri Lanka na kwa kuwa walikuwa wakielekea kwenye uchaguzi wakajikuta wanaingia makubaliano yale na kusaini kuuza ardhi na bandari yao kwa kampuni hii ya kichina kwa muda wa miaka 99 kutokana na deni hilo kukua kwa kasi kulinganisha na uwezo wa taifa hilo kulipa deni hilo kubwa.

Ni mikataba kama hii ndiyo imeifanya leo nchi jirani ya Zambia kuwa katika hatari kubwa ya kuporwa Shirika lake la Umeme (ZESCO), Shirika la Utangazaji Zambia (ZNBC) pamoja na Airpot ya Keneth Kaunda ili kufidia deni ambalo lilikopwa na serikali ya Zmabi kutoka China

Nchi ya Angola imepata pia pigo kama hilo baada yakushindwa kulipa deni lae na kujikuta ikitakiwa kutoa sehemu kubwa ya mafuta yanayozalishwa nchini humo kupelekwa China kama sehemu ya kupunguza deni ambalo wanadaiwa na makampuni ya fedha ya nchini China ikiwemo EXIM BANK CHINA, Benki ya Viwanda na Biashara ya China na Beki ya Maendeleo ya China yenye thamani ya dola za marekani bilioni 14.5 na jambo hili sasa linaifanya China kuwa taifa la pili kwa usambazaji wa mafuta duniani nyuma ya Saudi Arabia.

Yako mataifa mengi ambayo yameingia katika mikataba hii ya ulaghai na kampuni hii kubwa ya ujenzi wa Bandari kutokea China ambayo ni moja katik ya makampuni makubwa duniani yenye uwezo mkubwa wa kifedha huku India ikiwa ni moja kati ya mataifa ya mfano duniani kukataa ofa kama ile waliyopewa Sri Lanka ya ujenzi wa bandari.

Mwisho:
Rais Magufuli kwa niaba ya watanzania wote ameweka mbele maslahi ya nchi hii na muda wote amesimamia maslahi ya nchi yetu kwa kupigania na kuwapinga wanyonyaji hadharani. Uhuru wa nchi yetu na rasilimali zake lazima ulindwe kwa gharam zote kwani ni jambo la aibu kuingia makubaliano ambayo mwekezaji atakuwa mamlaka makubwa ya kiwango ambacho ndiye atakua mmiliki wa bandari na atakuwa mwenye mamlaka ya kupnaga kiwango cha tozo badnarini, atakuwa na mamlka ya kukusnya tozo za bandarini na kuusimamia mradi bila kuingiliwa na mtu yeyote mpaka hapo atakapokuwa amerejesha gaharama zake. Mikataba ya hivi ni mikataba ya kikoloni yenye lengo ya kuzirudisha nyuma nchi za kiafrika katika zama za ukoloni.

Kwa mantiki hii tuwakatae wanasiasa wote wanaotumika na makampuni haya makubwa ili kushinikiza utekelezaji wa miradi hii ya kinyonyaji nchini na kujikuta tunaingia kweny emitego kama ambayo nchi nyingine duniani na afrika zimeishaingia.

Tanzania ni moja, na Hakuna Tanzania nyingine hivyo miradi yote na mambo yote lazima yazingatie maslahi mpana ya taifa letu kama ambavyo amefanya Rais Magufuli.
Nasimama na Rais Magufuli, Nachagua kuwa Mzalendo.

Ni uchambuzi mzuri na unashawishi sana.Kuuza adhi kwa Muda wote huo ni laana hata kwa vizazi vyetu.Bahati mbaya mikataba hii imefanyika kwa siri sana.Lakini kwa nini (hata sasa) mikataba imefanywa kuwa siri sana?
 
Acha kuwa mnafiki isingekuwa rahisi kumbishia mkuu wako. Hata kama alikuwa waziri isingekuwa rahisi kumgomea mkuu wako wa nchi. Angemgomea leo asingepitishwa na CCM kuwa Rais

Basi kwa maneno marahisi ana nidhamu ya kinafiki na ni mtu anayelinda cheo na sio maslahi ya taifa. Je huoni kwamba hata yeye sasa kuna mambo anaharibu na hakuna anayeweza kumpinga kisa ni boss wao? Huo sio uzalendo kwa taifa bali ni uzalendo kwa vyeo.
 
vipengele hivyo vya mkataba virekebishwe na bandari ijengwe
Unadhani ni rahisi hivyo. Tatizo watu wakiliongelea juujuu tu wanadhani ni jambo rahisi.

Hapo walipofikia na kusitisha mazungumzo ina maana marekebisho ya vipengele yameshindikana
 
Hii ina nichanganya: Mkulu alikuwa waziri katika serikali hiyo, najiuliza hakuyajua hayo au ndiyo kaamka toka usingizini?
Pili kwa maandishi haya na mengine kuhusu jambo hili inaelekea yule aliyekuwa anaitwa rafiki wetu mkubwa mwenye misaada, mikopo n.k. isiyo na mashariti nae ni BEBERU wa aina yake.
Tatu Mifano yote aliyetoa mwandishi wa mada hii-ni dhahiri kuwa wahusika wenyewe kwa sababu wanazozijua wao walimwaga wino wakijua mashariti ya mikataba hiyo au kuna aliyelazimishwa?
Nne mikataba mingi ya aina hii inakuwa siri wanafahamu wenyewe, je ni percent ngapi hutembea hapa?
SOMO 1: Hapa nafikiri ndiyo BUNGE linapotakiwa kusimamia mambo haya kwa uwazi, nchi haiwezi kutegemea matakwa ya raisi aliye madarakani, mmoja na serikali yake (akiwemo JPM) walikuwa wameshatuingiza mkenge na sasa mwingine JPM inasemekana "katukomboa". Akija mwingine tunauzwa tena (kwa katiba hii, UCAHAMADOLA na ukondoo wetu hatuwezi kumzuia akitaka). Tuna institutions dhaifu (hata kama Ndugai anataka tuamini vinginevyo) na Maraisi wenye nguvu kupitiliza ndio maana wanatugeuza wapendavyo wakati bunge lenyewe halijitambui. Bila mabadiliko ya kimifumo haya hayatakwisha.


SOMO 2: UBEBERU na URAFIKI havina rangi kama watu fulani walivyotaka kutuaminisha. Kila nchi ilinde masilahi yake. Ukilala unaliwa tu-haijalishi kuwa unadeal na nchi gani.
watu Kama wewe ni Watu WA hovyo Karisa. Kwamba alikuwa kwenye serikali hiyo Ndo leo asifanye vizuri. Kipindi hicho alifanya matakwa ya bosi wake yawe mema au mabayA.leo sasa ni bosi anarekebisha mambo. Shida iko wapi hapo??
 
Hii ina nichanganya: Mkulu alikuwa waziri katika serikali hiyo, najiuliza hakuyajua hayo au ndiyo kaamka toka usingizini?
Pili kwa maandishi haya na mengine kuhusu jambo hili inaelekea yule aliyekuwa anaitwa rafiki wetu mkubwa mwenye misaada, mikopo n.k. isiyo na mashariti nae ni BEBERU wa aina yake.
Tatu Mifano yote aliyetoa mwandishi wa mada hii-ni dhahiri kuwa wahusika wenyewe kwa sababu wanazozijua wao walimwaga wino wakijua mashariti ya mikataba hiyo au kuna aliyelazimishwa?
Nne mikataba mingi ya aina hii inakuwa siri wanafahamu wenyewe, je ni percent ngapi hutembea hapa?
SOMO 1: Hapa nafikiri ndiyo BUNGE linapotakiwa kusimamia mambo haya kwa uwazi, nchi haiwezi kutegemea matakwa ya raisi aliye madarakani, mmoja na serikali yake (akiwemo JPM) walikuwa wameshatuingiza mkenge na sasa mwingine JPM inasemekana "katukomboa". Akija mwingine tunauzwa tena (kwa katiba hii, UCAHAMADOLA na ukondoo wetu hatuwezi kumzuia akitaka). Tuna institutions dhaifu (hata kama Ndugai anataka tuamini vinginevyo) na Maraisi wenye nguvu kupitiliza ndio maana wanatugeuza wapendavyo wakati bunge lenyewe halijitambui. Bila mabadiliko ya kimifumo haya hayatakwisha.


SOMO 2: UBEBERU na URAFIKI havina rangi kama watu fulani walivyotaka kutuaminisha. Kila nchi ilinde masilahi yake. Ukilala unaliwa tu-haijalishi kuwa unadeal na nchi gani.
We fikiri kabla hujaandika upuuzi, Kwaiyo kama alikua waziri tuseme kama amestukia sasa kuwa ilikua anaingia mkenge unataka asisitishe kwakua alikubali before
Aftena kwavile hao wengine walisign wenyewe hawakulazimishwa na Magufuri asign hata kama ameona matatizo yalowapata wenzake kisa hawakulazimishwa kukubali??
 
Unadhani ni rahisi hivyo. Tatizo watu wakiliongelea juujuu tu wanadhani ni jambo rahisi.

Hapo walipofikia na kusitisha mazungumzo ina maana marekebisho ya vipengele yameshindikana
Ukienda kwenye Ilani ya CCM Ukurasa wa 70 kipengele (d) Utatambua kuwa hili sio ombi bali ni sehemu ya mkataba kati ya CCM na Wananchi.

Wataalamu wa mikataba wanaoitwa wanasheria wasomi waende kunegotiate tena na kuja na best deal au kama sivyo waje na alternative ya utekelezwaji wa jambo hili.

Timu hiyo iliyokula perdiem za Serikali inapaswa kuja na jibu mezani na jibu lenyewe lisiwe kusitishwa otherwise watapike perdiem walizokula.
 
JPM kataa mikataba ya kuuza nchi kama mkataba hauna tija na ukifanyiwa review kwa faida ya nchi hao mabeberu hawataki kukubaliana na matakwa yenye maslahi kwa nchi walale mbele wasituendeshe. Tuendelee kuboresha bandari ya Dar kwa maslahi ya nchi.


Najiuliza kwani bandari Dar serikali ikiwekeza hela kidogo haitafanya vizuri mpaka ijengwe bandari nyingine?

Bandari tunayo tayari tena ipo karibu tu na wanayotaka kujenga nyingine ya nni?

Hao mabeberu kama wanataka kuwekeza sana waje na alternative ya kujenga viwanda ndo tuawaelewa angalau..
 
Na
Felician Andrew
Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro


“Kuna watu wamechukulia mikopo mikubwa ya fedha kwenye mabenki ya ulaya huku dhamana zikiwa ni ardhi ya Tanzania hivyo wakishindwa kurejesha mikopo hiyo maana yake ardhi yetu itakuwa ni mali za mabenki hayo ya ughaibuni”

Nimeamua kuanza na nukuu hiyo ili uone mahala ambapo nchi yetu imefika kiwango ambacho watu wachache wenye uwezo wa kifedha wanaweza wakaweka rehani ardhi ambayo mababu zetu na wapigania uhuru walimwaga damu zao ili leo hii iweze kuwanufaisha watanzania wote. Ukaribu kabisa wa jambo hili linafanana na mkataba wenye masharti ya kinyonyaji ambao kampuni ya kibepari ya China Merchants Port Holdings Company Limited yenye Makao yake makuu Hong Kong inataka Tanzania kuingia mtego na mwisho kujimilikisha ardhi na mali za taifa hili kwa muda mrefu.

Historia inaonyesha ya kuwa mjerumani Karl Peters maarufu kama Mkono wa Damu akiwa na umri wa miaka 28 katika mwaka 1884 alisafiri kutoka Ujerumani akijifanya fundi makenikia (Machenical Engineer )hadi kufika Zanzibar na baadae kuingia bara katika mwaka huo huo. Walifika Saadani mkaoni Tanga wakasafiri tena hadi Uzigua ambako hapo ndio walimsainicha Chifu Mbwela wa Uzigua mkataba wa kwanza na kila walikopita waliwasainisha machifu mikataba ya ulaghai iliyokuw an alengo la kuina ardhi kutoka mikononi mwa wazawa na kwenda chini ya himaya ya ujerumani.

Mkataba maarufu unaotajwa sana ni ule wa Chifu Mangungo wa Msovero na Karl Peters uliofanywa Novemba 1884, sehemu ndogo ya mkataba huu ilisema ya kuwa….
“Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.” Kwa tafisiri rahisi ya Kiswahili ilimaanisha ya kuwa “Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.”

Sehemu kubwa ya wizi na uporaji wa haki ya watu hawa waliokuwa chini ya Mangungo ulifanywa na aliyekuwa mkalimani aliyejulikana kwa jina la Ramzan ambaye kwa sehemu kubwa alimpotosha Mangungo mpaka kuingia kwenye Maktaba huu wa ulaghai na mwisho kkujikuta wamegawa kwa wajerumani sehemu yote ya ardhi pamoja na watu wao.

KISA CHA MANGUNGO NA BANDARI YA BAGAMOYO
Mwaka 2015 serikali ya Tanzania chini ya Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete iliingia makaubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo ilikuwa inagharimu zaidi ya shilingi za kitanzania trlliioni 22. Kwa mujibu wa makubaliano ya Mradi huu kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited iliyoanzishwa mwaka 1997 ndio ilikuwa na jukumu la ujenzi huku fedha nyingine zikiwa ni ushirikiano baina ya serikali ya Oman na Tanzania.

Mradi huu ambao kwa muonekano wa kibiashara ni mzuri na wenye faida nyingi lakini ndani yake ulijaa masharti magumu ambayo yangepelekea mpaka kukamilika kwa ujenzi wake basi Tanzania isingekuwa na uwezo wa kulipa deni hilo na mwisho bandari hiyo kurudi tena mikononi mwa kampuni hii kubwa ya China ambayo imekuwa ikifanya michezo hii kwa mataifa mengi duniani.

Masharti yaliyomo kwenye mkataba au makubaliano haya yanailazimisha serikali ya Tanzania kuwa tayari kuachia bandari kuendeshwa na wachina kwa muda wa miaka 33 hadi 99 mpaka pale kampuni hoiyo itakapokuwa imerudisha fedha zake; mtego huu ndio sababu ya watanzania wote tuatakiwa kusimama na kumuunga mkono Rais Magufuli kwani kama serikali ingekubali mradi huu kutekeelzeka kwa matakwa ya kampunii hii basi sehemu yote ya Bandari hiyo ingekuwa chini ya umiliki wa Kampuni hii ya China kwa muda mrefu mpaka miaka 99.

Huu ni mfano tosha wa mkataba wa Uchimbaji wa gesi kule mkoani Mtwara ambapo katika mkataba sehemu ya gesi iliyokuwa inachimbwa ilitakiwa kusafirishwa kwenda nchini China.

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli kukataa masharti ya kinyonyaji yaliyomo ndani ya mikataba hii ya makampuni makubwa kunamfanya Rais Magufuli kuishi maneno ya Mwalimu Nyerere baada ya kukataa makampuni ya kinyonyaji kuchimba madini na kusema tutachimba madini siku tukiwa tayari tukiwa na vizazi vyenye uwezo wa kusimamia madini yao na tukiwa na wataalamu wakutosha kuongoza sekta hiyo ya madini nchini. Hata sasa Rais Magufuli amehakikisha jambo hili halifanyiki kwani kama angekubali basi taifa linhekuwa limeingia katika mtego wa kuingia kwenye mkataba wa ulaghai.


Kisa cha Djibout na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Hadi kufikia Februari 2019, nchi ya Djibout iliiingia kwenye mgogoro mkubwa wa umiliki wa Bandari iliyojengwa na kampuni hili kubwa ya kichina ambayo ilipelekea nchi ya Djibout kukosa uhalali wa umiliki wa bandari yao ambayo ndio bandari kubwa kabisa katika rasi ya afria Mashariki.

Kupitia mikataba hii ya kilaghai viongozi wa taifa la Djibout wamejikuta sasa wana deni kubwa ambalo ni sawa na asilimia 44 ya Mapato ya taifa hilo yaani GDP fedha ambayo inaifanya basnari hiyo kuw achini ya umiliki wa ampuni hii yakichina kwa muda wa miaka 30 huku kampuni hiyo ikiw ana uwezo wa kujenga tena na kupanua au kufanya biashara kwenye badnari hiyo kadriwatakavyo bila kuingiliwa na nchi ya Djibout. UNaweza ukashangaa mambo haya yanafanyikaje katika dunia ya leo ila huu ni mfano halisi wa mikataba ya ulaghai ambayo nchi masikini au zinazoendelea zimekuwa zikiingia mkenge kwenye kampuni hili kubwa la China.

Kisa cha Bandari ya Sri lanka na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Mwaka 2017 serikali ya Sri Lanka iliingai makubalinao na kampuni hii kwa ajili ya ujenzi wa Bandari iliyojulikana kama Hambantota Port huku makubaliano yakiwa yanahusisha utaoji wa mkopo wa dola za kimarekani bilioni 1.2 kwa mkataba wa miaka 99 huku kampuni hiyo ikiwa inachukua asilimia 85 ya umiliki wa Bandar na eneo la zaidi ya hekari 15000.

Kutokana na uharaka wa viongozi wa Sri Lanka na kwa kuwa walikuwa wakielekea kwenye uchaguzi wakajikuta wanaingia makubaliano yale na kusaini kuuza ardhi na bandari yao kwa kampuni hii ya kichina kwa muda wa miaka 99 kutokana na deni hilo kukua kwa kasi kulinganisha na uwezo wa taifa hilo kulipa deni hilo kubwa.

Ni mikataba kama hii ndiyo imeifanya leo nchi jirani ya Zambia kuwa katika hatari kubwa ya kuporwa Shirika lake la Umeme (ZESCO), Shirika la Utangazaji Zambia (ZNBC) pamoja na Airpot ya Keneth Kaunda ili kufidia deni ambalo lilikopwa na serikali ya Zmabi kutoka China

Nchi ya Angola imepata pia pigo kama hilo baada yakushindwa kulipa deni lae na kujikuta ikitakiwa kutoa sehemu kubwa ya mafuta yanayozalishwa nchini humo kupelekwa China kama sehemu ya kupunguza deni ambalo wanadaiwa na makampuni ya fedha ya nchini China ikiwemo EXIM BANK CHINA, Benki ya Viwanda na Biashara ya China na Beki ya Maendeleo ya China yenye thamani ya dola za marekani bilioni 14.5 na jambo hili sasa linaifanya China kuwa taifa la pili kwa usambazaji wa mafuta duniani nyuma ya Saudi Arabia.

Yako mataifa mengi ambayo yameingia katika mikataba hii ya ulaghai na kampuni hii kubwa ya ujenzi wa Bandari kutokea China ambayo ni moja katik ya makampuni makubwa duniani yenye uwezo mkubwa wa kifedha huku India ikiwa ni moja kati ya mataifa ya mfano duniani kukataa ofa kama ile waliyopewa Sri Lanka ya ujenzi wa bandari.

Mwisho:
Rais Magufuli kwa niaba ya watanzania wote ameweka mbele maslahi ya nchi hii na muda wote amesimamia maslahi ya nchi yetu kwa kupigania na kuwapinga wanyonyaji hadharani. Uhuru wa nchi yetu na rasilimali zake lazima ulindwe kwa gharam zote kwani ni jambo la aibu kuingia makubaliano ambayo mwekezaji atakuwa mamlaka makubwa ya kiwango ambacho ndiye atakua mmiliki wa bandari na atakuwa mwenye mamlaka ya kupnaga kiwango cha tozo badnarini, atakuwa na mamlka ya kukusnya tozo za bandarini na kuusimamia mradi bila kuingiliwa na mtu yeyote mpaka hapo atakapokuwa amerejesha gaharama zake. Mikataba ya hivi ni mikataba ya kikoloni yenye lengo ya kuzirudisha nyuma nchi za kiafrika katika zama za ukoloni.

Kwa mantiki hii tuwakatae wanasiasa wote wanaotumika na makampuni haya makubwa ili kushinikiza utekelezaji wa miradi hii ya kinyonyaji nchini na kujikuta tunaingia kweny emitego kama ambayo nchi nyingine duniani na afrika zimeishaingia.

Tanzania ni moja, na Hakuna Tanzania nyingine hivyo miradi yote na mambo yote lazima yazingatie maslahi mpana ya taifa letu kama ambavyo amefanya Rais Magufuli.
Nasimama na Rais Magufuli, Nachagua kuwa Mzalendo.


Namshukuru Mungu Kikwete is no longer our bloody President kwani kama ndiyo angekuwa yeye ama bloody Mkapa ni rais tungeingizwa huu mkenge kiulaini. Chadema ichukue hii nchi jamani ili hawa marais waliopita wanyongwe, hawakuwa na faida yeyote na nchi yetu.
 
Huu ujinga mtauacha lini eti Magu hakuwapo ktk hiyo serikali, yeye alikuwa rais? Ufipa mmelaaniea kwa kweli na Mungu awasukumizie zaidi huko kwenye laana zaidi!
Kwanza nikuhakikishie kuwa mimi siyo Ufipa.

Pili hujakataa kwamba Magu hakuwa kwenye hilo baraza na waizara yake ilikuwa muhimu katika hii issue hivyo hawezi na wala hamuwezi kumtenganisha na mikataba hiyo labda kama huelewi nini maana ya collective responsibility. Kama hukubaliani na raisi wako unaachia ngazi huwezi kuja lia lia mbele kwamba sikuwa raisi.

Tatu elewa ujumbe wangu mkubwa tuna katiba mbaya, uchamadola na ukondoo ukivichanganya hivi ndio hupelekea raisi na baraza lake kuishia kufanya vitu vya hovyo bila kuwa na taasisi za kuwafunga breki. JPM anaweza akavunja mkataba huu kaamka na kuona hilo lakini akitaka mambo kama haya yaishe anakazi ya kujenga mifumo imara na hapa sioni kama ana mkakati kwa wakati huu. Hivyo akiondoka anaweza akaja raisi mwingine akapindua.

Natumaini ukisoma kwa makini hili litakupunguzia ujinga ulio onesha hapo juu. Sio kila asiesifia au anaepinga ni wa Ufipa. Kwani watanzania tusio upande wowote wa kichama hatuna haki ya kutoa maoni yetu? Jitafakari.
 
Acha kuwa mnafiki isingekuwa rahisi kumbishia mkuu wako. Hata kama alikuwa waziri isingekuwa rahisi kumgomea mkuu wako wa nchi. Angemgomea leo asingepitishwa na CCM kuwa Rais
Hili ndiyo kaburi la watanzania kushindwa kueleza kwa uwazi unachofikiri wakati umepewa nafasi ya kufanya hivyo. Humgomei raisi bali unamueleza ukweli na kama unaamini unacho simamia unajiuzuru mkipishana kwenye jambo kuu kama hili. Unafiki ni kukubali kitu ambacho unajua si sawa na kunyamaza halafu kesho majira yakibadilika unapiga kelele. Huwezi kuhalalisha alichofanya kwa kuwa asingepitishwa kugombea uraisi. Hii inaonyesha tuna institutions ambazo ni dhaifu sana ambazo hupelekea watu kuunga mkono mambo ya hovyo wakijua sio sawa. Kwa haya tusishangae mbeleni akaja mwingine nae akapindua.
 
Na
Felician Andrew
Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro


“Kuna watu wamechukulia mikopo mikubwa ya fedha kwenye mabenki ya ulaya huku dhamana zikiwa ni ardhi ya Tanzania hivyo wakishindwa kurejesha mikopo hiyo maana yake ardhi yetu itakuwa ni mali za mabenki hayo ya ughaibuni”

Nimeamua kuanza na nukuu hiyo ili uone mahala ambapo nchi yetu imefika kiwango ambacho watu wachache wenye uwezo wa kifedha wanaweza wakaweka rehani ardhi ambayo mababu zetu na wapigania uhuru walimwaga damu zao ili leo hii iweze kuwanufaisha watanzania wote. Ukaribu kabisa wa jambo hili linafanana na mkataba wenye masharti ya kinyonyaji ambao kampuni ya kibepari ya China Merchants Port Holdings Company Limited yenye Makao yake makuu Hong Kong inataka Tanzania kuingia mtego na mwisho kujimilikisha ardhi na mali za taifa hili kwa muda mrefu.

Historia inaonyesha ya kuwa mjerumani Karl Peters maarufu kama Mkono wa Damu akiwa na umri wa miaka 28 katika mwaka 1884 alisafiri kutoka Ujerumani akijifanya fundi makenikia (Machenical Engineer )hadi kufika Zanzibar na baadae kuingia bara katika mwaka huo huo. Walifika Saadani mkaoni Tanga wakasafiri tena hadi Uzigua ambako hapo ndio walimsainicha Chifu Mbwela wa Uzigua mkataba wa kwanza na kila walikopita waliwasainisha machifu mikataba ya ulaghai iliyokuw an alengo la kuina ardhi kutoka mikononi mwa wazawa na kwenda chini ya himaya ya ujerumani.

Mkataba maarufu unaotajwa sana ni ule wa Chifu Mangungo wa Msovero na Karl Peters uliofanywa Novemba 1884, sehemu ndogo ya mkataba huu ilisema ya kuwa….
“Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.” Kwa tafisiri rahisi ya Kiswahili ilimaanisha ya kuwa “Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.”

Sehemu kubwa ya wizi na uporaji wa haki ya watu hawa waliokuwa chini ya Mangungo ulifanywa na aliyekuwa mkalimani aliyejulikana kwa jina la Ramzan ambaye kwa sehemu kubwa alimpotosha Mangungo mpaka kuingia kwenye Maktaba huu wa ulaghai na mwisho kkujikuta wamegawa kwa wajerumani sehemu yote ya ardhi pamoja na watu wao.

KISA CHA MANGUNGO NA BANDARI YA BAGAMOYO
Mwaka 2015 serikali ya Tanzania chini ya Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete iliingia makaubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambayo ilikuwa inagharimu zaidi ya shilingi za kitanzania trlliioni 22. Kwa mujibu wa makubaliano ya Mradi huu kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited iliyoanzishwa mwaka 1997 ndio ilikuwa na jukumu la ujenzi huku fedha nyingine zikiwa ni ushirikiano baina ya serikali ya Oman na Tanzania.

Mradi huu ambao kwa muonekano wa kibiashara ni mzuri na wenye faida nyingi lakini ndani yake ulijaa masharti magumu ambayo yangepelekea mpaka kukamilika kwa ujenzi wake basi Tanzania isingekuwa na uwezo wa kulipa deni hilo na mwisho bandari hiyo kurudi tena mikononi mwa kampuni hii kubwa ya China ambayo imekuwa ikifanya michezo hii kwa mataifa mengi duniani.

Masharti yaliyomo kwenye mkataba au makubaliano haya yanailazimisha serikali ya Tanzania kuwa tayari kuachia bandari kuendeshwa na wachina kwa muda wa miaka 33 hadi 99 mpaka pale kampuni hoiyo itakapokuwa imerudisha fedha zake; mtego huu ndio sababu ya watanzania wote tuatakiwa kusimama na kumuunga mkono Rais Magufuli kwani kama serikali ingekubali mradi huu kutekeelzeka kwa matakwa ya kampunii hii basi sehemu yote ya Bandari hiyo ingekuwa chini ya umiliki wa Kampuni hii ya China kwa muda mrefu mpaka miaka 99.

Huu ni mfano tosha wa mkataba wa Uchimbaji wa gesi kule mkoani Mtwara ambapo katika mkataba sehemu ya gesi iliyokuwa inachimbwa ilitakiwa kusafirishwa kwenda nchini China.

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli kukataa masharti ya kinyonyaji yaliyomo ndani ya mikataba hii ya makampuni makubwa kunamfanya Rais Magufuli kuishi maneno ya Mwalimu Nyerere baada ya kukataa makampuni ya kinyonyaji kuchimba madini na kusema tutachimba madini siku tukiwa tayari tukiwa na vizazi vyenye uwezo wa kusimamia madini yao na tukiwa na wataalamu wakutosha kuongoza sekta hiyo ya madini nchini. Hata sasa Rais Magufuli amehakikisha jambo hili halifanyiki kwani kama angekubali basi taifa linhekuwa limeingia katika mtego wa kuingia kwenye mkataba wa ulaghai.


Kisa cha Djibout na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Hadi kufikia Februari 2019, nchi ya Djibout iliiingia kwenye mgogoro mkubwa wa umiliki wa Bandari iliyojengwa na kampuni hili kubwa ya kichina ambayo ilipelekea nchi ya Djibout kukosa uhalali wa umiliki wa bandari yao ambayo ndio bandari kubwa kabisa katika rasi ya afria Mashariki.

Kupitia mikataba hii ya kilaghai viongozi wa taifa la Djibout wamejikuta sasa wana deni kubwa ambalo ni sawa na asilimia 44 ya Mapato ya taifa hilo yaani GDP fedha ambayo inaifanya basnari hiyo kuw achini ya umiliki wa ampuni hii yakichina kwa muda wa miaka 30 huku kampuni hiyo ikiw ana uwezo wa kujenga tena na kupanua au kufanya biashara kwenye badnari hiyo kadriwatakavyo bila kuingiliwa na nchi ya Djibout. UNaweza ukashangaa mambo haya yanafanyikaje katika dunia ya leo ila huu ni mfano halisi wa mikataba ya ulaghai ambayo nchi masikini au zinazoendelea zimekuwa zikiingia mkenge kwenye kampuni hili kubwa la China.

Kisa cha Bandari ya Sri lanka na Kampuni ya China Merchants Port Holdings Company Limited
Mwaka 2017 serikali ya Sri Lanka iliingai makubalinao na kampuni hii kwa ajili ya ujenzi wa Bandari iliyojulikana kama Hambantota Port huku makubaliano yakiwa yanahusisha utaoji wa mkopo wa dola za kimarekani bilioni 1.2 kwa mkataba wa miaka 99 huku kampuni hiyo ikiwa inachukua asilimia 85 ya umiliki wa Bandar na eneo la zaidi ya hekari 15000.

Kutokana na uharaka wa viongozi wa Sri Lanka na kwa kuwa walikuwa wakielekea kwenye uchaguzi wakajikuta wanaingia makubaliano yale na kusaini kuuza ardhi na bandari yao kwa kampuni hii ya kichina kwa muda wa miaka 99 kutokana na deni hilo kukua kwa kasi kulinganisha na uwezo wa taifa hilo kulipa deni hilo kubwa.

Ni mikataba kama hii ndiyo imeifanya leo nchi jirani ya Zambia kuwa katika hatari kubwa ya kuporwa Shirika lake la Umeme (ZESCO), Shirika la Utangazaji Zambia (ZNBC) pamoja na Airpot ya Keneth Kaunda ili kufidia deni ambalo lilikopwa na serikali ya Zmabi kutoka China

Nchi ya Angola imepata pia pigo kama hilo baada yakushindwa kulipa deni lae na kujikuta ikitakiwa kutoa sehemu kubwa ya mafuta yanayozalishwa nchini humo kupelekwa China kama sehemu ya kupunguza deni ambalo wanadaiwa na makampuni ya fedha ya nchini China ikiwemo EXIM BANK CHINA, Benki ya Viwanda na Biashara ya China na Beki ya Maendeleo ya China yenye thamani ya dola za marekani bilioni 14.5 na jambo hili sasa linaifanya China kuwa taifa la pili kwa usambazaji wa mafuta duniani nyuma ya Saudi Arabia.

Yako mataifa mengi ambayo yameingia katika mikataba hii ya ulaghai na kampuni hii kubwa ya ujenzi wa Bandari kutokea China ambayo ni moja katik ya makampuni makubwa duniani yenye uwezo mkubwa wa kifedha huku India ikiwa ni moja kati ya mataifa ya mfano duniani kukataa ofa kama ile waliyopewa Sri Lanka ya ujenzi wa bandari.

Mwisho:
Rais Magufuli kwa niaba ya watanzania wote ameweka mbele maslahi ya nchi hii na muda wote amesimamia maslahi ya nchi yetu kwa kupigania na kuwapinga wanyonyaji hadharani. Uhuru wa nchi yetu na rasilimali zake lazima ulindwe kwa gharam zote kwani ni jambo la aibu kuingia makubaliano ambayo mwekezaji atakuwa mamlaka makubwa ya kiwango ambacho ndiye atakua mmiliki wa bandari na atakuwa mwenye mamlaka ya kupnaga kiwango cha tozo badnarini, atakuwa na mamlka ya kukusnya tozo za bandarini na kuusimamia mradi bila kuingiliwa na mtu yeyote mpaka hapo atakapokuwa amerejesha gaharama zake. Mikataba ya hivi ni mikataba ya kikoloni yenye lengo ya kuzirudisha nyuma nchi za kiafrika katika zama za ukoloni.

Kwa mantiki hii tuwakatae wanasiasa wote wanaotumika na makampuni haya makubwa ili kushinikiza utekelezaji wa miradi hii ya kinyonyaji nchini na kujikuta tunaingia kweny emitego kama ambayo nchi nyingine duniani na afrika zimeishaingia.

Tanzania ni moja, na Hakuna Tanzania nyingine hivyo miradi yote na mambo yote lazima yazingatie maslahi mpana ya taifa letu kama ambavyo amefanya Rais Magufuli.
Nasimama na Rais Magufuli, Nachagua kuwa Mzalendo.
Sema simama kwa maslahi ya nchi kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Uzalendo ni kusimama kwa maslahi ya nchi na Sio Rais.
 
We fikiri kabla hujaandika upuuzi, Kwaiyo kama alikua waziri tuseme kama amestukia sasa kuwa ilikua anaingia mkenge unataka asisitishe kwakua alikubali before
Aftena kwavile hao wengine walisign wenyewe hawakulazimishwa na Magufuri asign hata kama ameona matatizo yalowapata wenzake kisa hawakulazimishwa kukubali??
watu Kama wewe ni Watu WA hovyo Karisa. Kwamba alikuwa kwenye serikali hiyo Ndo leo asifanye vizuri. Kipindi hicho alifanya matakwa ya bosi wake yawe mema au mabayA.leo sasa ni bosi anarekebisha mambo. Shida iko wapi hapo??
Tatizo lenu hamsomi michango kwa umakini. Hakuna mahali niliposema kuna kosa alilofanya kwa kusitisha mkataba huo. Nisomeni kwa umakini-ninachosema kitu kama hicho hakistahili kutokea ila tu kwa nchi yenye mifumo dhaifu. Nasema na narudia tena JPM hakulipinga hili hasa ukichukua kuwa wizara yake ilihusika (hii ni lawama yangu kwake na wenzake waliokuwa kwenye baraza). Ninacholenga ni tutazuiaje vitu kama hivi huko mbeleni. Kwa michango yenu inaruhusu aje raisi mwingine apindue haya ya JPM na huenda akatokana na baraza la sasa la JPM. Sijui likotokea hilo mtasemaje? Ili haya yasitokee huko mbeleni JPM na Baraza lake, Bunge na Judiciary wanatakiwa wajenge taasisi zenye nguvu na hili silioni likitokea kwa sasa.

Kama kwa mawazo hayo mmeamua kuyaona ni ya hovyo hovyo na ni upuuzi sawa tu.
 
Back
Top Bottom