WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Weekend nyingine ndiyo hiyo jamani..mimi bado niko na nyimbo za nyumbani tu.
Wimbo wa leo ni ule wa"Kennedy otieno...." Huu ninasikia sauti za akina Taksis Masella wa Akudo Impact.....Mashallah ..kajaliwa sauti huyu bwana kaka!
Kwa kweli nimevutiwa na maneno ya wimbo huu maana inaonyesha huyu anayeimbwa ni mfano wa kuigwa kwa vijana....
anaimba:
simama imara kama simba,makelele wasikutishe Kennedy Otieno
MAISHA NDIVYO YALIVYO SONGA MBELE.....
Mungu akubariki..upate mafanikio zaidi...
Maishani mwako usijenge mipaka ..uwe daraja kwa wengine
Pamoja na burudani yake... nikajiuliza hivi tunasikiliza nyimbo hizi ili zituburudishe tu au pia zitupe mafundisho?
Nimependa hii song maana imetulia!
Je wewe ni daraja kwa wengine kama Kennedy Otieno au umejenga mipaka kwa wengine?
Naomba michango yenu.
Wimbo wa leo ni ule wa"Kennedy otieno...." Huu ninasikia sauti za akina Taksis Masella wa Akudo Impact.....Mashallah ..kajaliwa sauti huyu bwana kaka!
Kwa kweli nimevutiwa na maneno ya wimbo huu maana inaonyesha huyu anayeimbwa ni mfano wa kuigwa kwa vijana....
anaimba:
simama imara kama simba,makelele wasikutishe Kennedy Otieno
MAISHA NDIVYO YALIVYO SONGA MBELE.....
Mungu akubariki..upate mafanikio zaidi...
Maishani mwako usijenge mipaka ..uwe daraja kwa wengine
Pamoja na burudani yake... nikajiuliza hivi tunasikiliza nyimbo hizi ili zituburudishe tu au pia zitupe mafundisho?
Nimependa hii song maana imetulia!
Je wewe ni daraja kwa wengine kama Kennedy Otieno au umejenga mipaka kwa wengine?
Naomba michango yenu.