Sikumbuki ni lini Rais Mstaafu Kikwete alionyesha nia ya Ikulu ya Dodoma Kujengwa, bali Hayati Magufuli ndiyo alisema na kuianza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,709
109,142
Wadanganyeni Wapuuzi na Wanafiki wenzenu au Wengine ila siyo Mimi GENTAMYCINE.

Nimemfuatilia Rais Mstaafu Kikwete tokea akiwa Rais hadi anastaafu sikuwahi hata Siku moja kumsikia akisema Serikali yake na Awamu yake itajenga Ikulu ya Dodoma.

Mtu pekee na Mwanamume wa Kweli na Jembe hasa aliyethubutu kuhakikisha Ikulu ya Dodoma inajengwa na Serikali yote kuhamia huko alikuwa ni Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli pekee ukiachana na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere aliyeanzisha hilo Wazo kipindi cha Utawala / Uongozi wake.

Haya haraka sana niwaombe wale walioandaa Hotuba ya Kinafiki wakati wa Uzinduzi wa Ikulu Mpya ya Dodoma wabadili ile sehemu waliyomtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa na Yeye alichochea Ujenzi huo wa Ikulu hiyo ya Dodoma.

Kwa Wengine mkisema kuwa katika Uongozi wao Jambo Kubwa walilofanya na Kufanikiwa nalo ipasavyo lilikuwa ni Rushwa, Uwizi, Uhalifu mkubwa, Uuzwaji wa Dawa za Kulevya, Kuongezeka kwa Idadi ya Wapumbavu na Wanafiki wengi nchini GENTAMYCINE nitakubaliana nanyi kwa 100%.

R.I.P Hayati John Pombe Magufuli.
 
Wadanganyeni Wapuuzi na Wanafiki wenzenu au Wengine ila siyo Mimi GENTAMYCINE.

Nimemfuatilia Rais Mstaafu Kikwete tokea akiwa Rais hadi anastaafu sikuwahi hata Siku moja kumsikia akisema Serikali yake na Awamu yake itajenga Ikulu ya Dodoma.

Mtu pekee na Mwanamume wa Kweli na Jembe hasa aliyethubutu kuhakikisha Ikulu ya Dodoma inajengwa na Serikali yote kuhamia huko alikuwa ni Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli pekee ukiachana na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere aliyeanzisha hilo Wazo kipindi cha Utawala / Uongozi wake.

Haya haraka sana niwaombe wale walioandaa Hotuba ya Kinafiki wakati wa Uzinduzi wa Ikulu Mpya ya Dodoma wabadili ile sehemu waliyomtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa na Yeye alichochea Ujenzi huo wa Ikulu hiyo ya Dodoma.

Kwa Wengine mkisema kuwa katika Uongozi wao Jambo Kubwa walilofanya na Kufanikiwa nalo ipasavyo lilikuwa ni Rushwa, Uwizi, Uhalifu mkubwa, Uuzwaji wa Dawa za Kulevya, Kuongezeka kwa Idadi ya Wapumbavu na Wanafiki wengi nchini GENTAMYCINE nitakubaliana nanyi kwa 100%.

R.I.P Hayati John Pombe Magufuli.
Nini faida ya kuhamishia makao makuu Dom?
 
Yule mzee ni wa ajabu sana.

Juzi Dodoma ameongea vitu vya hovyo eti anamshukuru Samia kwamba alipokea miradi mikubwa lakini ameamua kuiendeleza angeweza kuamua kuiacha na kuanzisha ya kwake.

Kuna mtu aliwahi kusema katika kiongozi tulipata Tanzania wa hovyo ni huyo mzee.
 
he didn’t , he is a pure politician , he does nothing . Sema watu wanakaza kichwa Ila kuna umuhimu wa kuwa na mji wa serikali Dar was congested . Unakuja dodoma unamaliza shida zako zote . Simple and fast . Dar ilikuwa mateso . Government can supervise interviews can communicate more rapidly . Kwa Mimi it’s a relief sana . This was one the best ideas to come through . Kazeni Vichwa Ila government kuwa Dar was a mistake . Business city can’t be a government city all other countries zipo hivyo
 
he didn’t , he is a pure politician , he does nothing . Sema watu wanakaza kichwa Ila kuna umuhimu wa kuwa na mji wa serikali Dar was congested . Unakuja dodoma unamaliza shida zako zote . Simple and fast . Dar ilikuwa mateso . Government can supervise interviews can communicate more rapidly . Kwa Mimi it’s a relief sana . This was one the best ideas to come through . Kazeni Vichwa Ila government kuwa Dar was a mistake . Business city can’t be a government city all other countries zipo hivyo
Jamaa ni mhuni kweli eti Rais angeamua angeiacha miradi na kuanzisha ya kwake, kwa maana hiyo kumbe miradi siyo ya nchi na mipango ya maendeleo ya nchi kumbe ni miradi ya Rais.daaaaaa nimesikitika sana yaani kodi tunatoa wananchi halafu miradi ni ya rais.. CCM ni janga.
 
Jamaa ni mhuni kweli eti Rais angeamua angeiacha miradi na kuanzisha ya kwake, kwa maana hiyo kumbe miradi siyo ya nchi na mipango ya maendeleo ya nchi kumbe ni miradi ya Rais.daaaaaa nimesikitika sana yaani kodi tunatoa wananchi halafu miradi ni ya rais.. CCM ni janga.
kikwete Kama Obama anajua kuongea vizuri anakupamba Ila afanyi kazi yoyote . Ana poor productivity . Sema all in all he is okay has a person . And he did what he did .
 
Narudia kusema waliyosema wenzangu awali......Kikwete si rais wa maana na si wa kumchukulia serious. Tanzania haijawahi kuwa na rais mpuuzi kama yeye, alishindwa kuongoza nchi akawa anazunguka dunia nzima kudai anaitangaza nchi yetu kumbe alikuwa na yake binafsi. Huyu Mama kwa kiasi kikubwa anashauriwa sana na Kikwete pamoja n Mze mnafiki (Makamba), asipoangalia kwa keli atajijengea a bad legacy kwani watu washaanza kumchoka sasa kasoro waliliao vyeo ndiyo wanamsifia kutaka ajira za upendeleo waibe mapema na kutunza familia zao.
 
To be honest, majority ya watu wa pwani wana sifa kama ya Jakaya, WAVIVU (in thinking & doing things), wapenda starehe na safari zisizo na tija, wasio na malengo makubwa maishani, wanafiki wa kutupwa, wasioaminika n.k. Hata huyu mama anapata sifa kwa sababu kubwa tu ya kuendeleza makubwa yaliyofanywa na mtangulizi wake. Amini amini nakwambia kama huyu ndiye angepewa nchi toka kwa mwenzake (mentor wake) Jakaya, haya makubwa yote tunayoyaona aliyofanya JPM lisingekuwepo hata moja. Anatembelea hii miradi ya JPM halafu wanataka kumfunika JPM kwenye majukwaa ya kisiasi lakini wanafeli maana hawana hoja yoyote ya maana ya kuzika legacy ya JPM.

THE TRUTH MUST BE SPOKEN.

ALL IN ALL TUNAMUOMBEA AFYA NA HEKIMA KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU ILI AIONGOZE NCHI VIZURI ZAIDI TUZIDI KUSONGA MBELE MAANA NDIYE RAIS SASA.
 
Jamaa ni mhuni kweli eti Rais angeamua angeiacha miradi na kuanzisha ya kwake, kwa maana hiyo kumbe miradi siyo ya nchi na mipango ya maendeleo ya nchi kumbe ni miradi ya Rais.daaaaaa nimesikitika sana yaani kodi tunatoa wananchi halafu miradi ni ya rais.. CCM ni janga.
Kodi lazima utoe ili Watumishi tulipwe mshahara posho
 
Wadanganyeni Wapuuzi na Wanafiki wenzenu au Wengine ila siyo Mimi GENTAMYCINE.

Nimemfuatilia Rais Mstaafu Kikwete tokea akiwa Rais hadi anastaafu sikuwahi hata Siku moja kumsikia akisema Serikali yake na Awamu yake itajenga Ikulu ya Dodoma.

Mtu pekee na Mwanamume wa Kweli na Jembe hasa aliyethubutu kuhakikisha Ikulu ya Dodoma inajengwa na Serikali yote kuhamia huko alikuwa ni Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli pekee ukiachana na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere aliyeanzisha hilo Wazo kipindi cha Utawala / Uongozi wake.

Haya haraka sana niwaombe wale walioandaa Hotuba ya Kinafiki wakati wa Uzinduzi wa Ikulu Mpya ya Dodoma wabadili ile sehemu waliyomtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa na Yeye alichochea Ujenzi huo wa Ikulu hiyo ya Dodoma.

Kwa Wengine mkisema kuwa katika Uongozi wao Jambo Kubwa walilofanya na Kufanikiwa nalo ipasavyo lilikuwa ni Rushwa, Uwizi, Uhalifu mkubwa, Uuzwaji wa Dawa za Kulevya, Kuongezeka kwa Idadi ya Wapumbavu na Wanafiki wengi nchini GENTAMYCINE nitakubaliana nanyi kwa 100%.

R.I.P Hayati John Pombe Magufuli.
Kikwete alikuwa rais ajali mbaya kuwahi kutokea Tanzania.
 
Nikiwa namchukia hapa JamiiForums muwe mnanielewa GENTAMYCINE kwani kama Taifa / Nchi tulikuwa na bahati mbaya na Nuksi kubwa Kuongozwa nae.
Nasikitika kwamba malalamiko yako hayatafanyiwa kazi na hayana faida yoyote kwa jamii jaribu kufocus kwenye kupambana na umasikini ulioizinguka jamii yako, kuangalia nna gani mnaweza kupata ardhi yenye rutuba na kuanzisha kilimo cha kisasa mpate chakula cha kutosha na kingine muuze mpate fedha ya kujenga makazi Bora pia kuiongezea serikali mapato kwa kulipa Kodi ili ijenge Zahanati na Shule
 
To be honest, majority ya watu wa pwani wana sifa kama ya Jakaya, WAVIVU (in thinking & doing things), wapenda starehe na safari zisizo na tija, wasio na malengo makubwa maishani, wanafiki wa kutupwa, wasioaminika n.k. Hata huyu mama anapata sifa kwa sababu kubwa tu ya kuendeleza makubwa yaliyofanywa na mtangulizi wake. Amini amini nakwambia kama huyu ndiye angepewa nchi toka kwa mwenzake (mentor wake) Jakaya, haya makubwa yote tunayoyaona aliyofanya JPM lisingekuwepo hata moja. Anatembelea hii miradi ya JPM halafu wanataka kumfunika JPM kwenye majukwaa ya kisiasi lakini wanafeli maana hawana hoja yoyote ya maana ya kuzika legacy ya JPM.

THE TRUTH MUST BE SPOKEN.

ALL IN ALL TUNAMUOMBEA AFYA NA HEKIMA KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU ILI AIONGOZE NCHI VIZURI ZAIDI TUZIDI KUSONGA MBELE MAANA NDIYE RAIS SASA.
🤣🤣🤣🤣🤣
Mtamaliza maneno yote, matusi yote dhidi ya watu wa pwani na huyo kikwete mumchukiaye lakini kamwe washamba a.k.a waporipori na wajinga nyie hamtowafikia. Wana namna yao kufikiri (dots) na kutenda mambo ambayo nyie wanyama hamtokaa kamwe muielewe mtaishia kutukana tu na matusi ni faraja ya wapumbavu. Endeleeni na ushupavu wa kulima ekari 20 kwa jembe la mkono; endeleeni na ushupavu wenu wa kuua simba kwa mikuki na mapanga. Endelezeni na nguvukazi yenu ya kumiliki na kuswaga ng'ombe 1000.........

Baada ya yote hayo msubirie msaada wa mahindi ya kula kutokana na njaa (siku ukisikia watu wa pwani wanaomba msaada wa mahindi uje hapa kuanzisha uzi)

Mtafuata vilivyoanzishwa pwani hata milele........iwe michezo (zileteni zenu zije kuzipiku Yanga na Simba), lugha ( leteni kisukuma chenu kipiku kiswahili) au chochote kile (hata vipaji). Wakati mnaendelea kukeketana huko, watu wa pwani waliachana na huo ujinga zamani tu. Wakati mnauana huko sababu ya uchawi (macho mekundu), watu wa pwani wana karne kadha wa kadha tangu wastaarabike kutoka katika mambo hayo.....na mengine meeengi.

Watu wa pwani hawawashangai na wala hawawastuki kwa matusi na kashfa zenu; wanajua nyie ni warugaruga fulani mnaojihisi mnachipukia.....mnatoka gizani basi ni kawaida kujihisi ni wa kwanza kuona mwanga. Ni kama usumbufu wa vijana wa miaka 15-18 (teenagers); huwa wanajihisi wababe wao, wazuri wao n.k. Ukikua (kifikra....yaani ukitokwa na ujinga), utakuja kuyaelewa meeengi siku za usoni. Itoshe tu kukwambia kamwe hutowaweza na hutowafikia watu wa pwani mrugaruga wewe.....utaishia kutukana na kupatwa na hasira wewe mwenyewe mtukanaji.

Ngoja tu niishie hapo maana si muandishi mzuri mimi.
 
Nasikitika kwamba malalamiko yako hayatafanyiwa kazi na hayana faida yoyote kwa jamii jaribu kufocus kwenye kupambana na umasikini ulioizinguka jamii yako, kuangalia nna gani mnaweza kupata ardhi yenye rutuba na kuanzisha kilimo cha kisasa mpate chakula cha kutosha na kingine muuze mpate fedha ya kujenga makazi Bora pia kuiongezea serikali mapato kwa kulipa Kodi ili ijenge Zahanati na Shule
Exactly!!!!
Ubarikiwe mkuu!
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mtamaliza maneno yote, matusi yote dhidi ya watu wa pwani na huyo kikwete mumchukiaye lakini kamwe washamba a.k.a waporipori na wajinga nyie hamtowafikia. Wana namna yao kufikiri (dots) na kutenda mambo ambayo nyie wanyama hamtokaa kamwe muielewe mtaishia kutukana tu na matusi ni faraja ya wapumbavu. Endeleeni na ushupavu wa kulima ekari 20 kwa jembe la mkono; endeleeni na ushupavu wenu wa kuua simba kwa mikuki na mapanga. Endelezeni na nguvukazi yenu ya kumiliki na kuswaga ng'ombe 1000.........

Baada ya yote hayo msubirie msaada wa mahindi ya kula kutokana na njaa (siku ukisikia watu wa pwani wanaomba msaada wa mahindi uje hapa kuanzisha uzi)

Mtafuata vilivyoanzishwa pwani hata milele........iwe michezo (zileteni zenu zije kuzipiku Yanga na Simba), lugha ( leteni kisukuma chenu kipiku kiswahili) au chochote kile (hata vipaji). Wakati mnaendelea kukeketana huko, watu wa pwani waliachana na huo ujinga zamani tu. Wakati mnauana huko sababu ya uchawi (macho mekundu), watu wa pwani wana karne kadha wa kadha tangu wastaarabike kutoka katika mambo hayo.....na mengine meeengi.

Watu wa pwani hawawashangai na wala hawawastuki kwa matusi na kashfa zenu; wanajua nyie ni warugaruga fulani mnaojihisi mnachipukia.....mnatoka gizani basi ni kawaida kujihisi ni wa kwanza kuona mwanga. Ni kama usumbufu wa vijana wa miaka 15-18 (teenagers); huwa wanajihisi wababe wao, wazuri wao n.k. Ukikua (kifikra....yaani ukitokwa na ujinga), utakuja kuyaelewa meeengi siku za usoni. Itoshe tu kukwambia kamwe hutowaweza na hutowafikia watu wa pwani mrugaruga wewe.....utaishia kutukana na kupatwa na hasira wewe mwenyewe mtukanaji.

Ngoja tu niishie hapo maana si muandishi mzuri mimi.
Itoshe tu kusema una mtindio au utapiamlo wa akili kwenye fuvu lako.
 
Back
Top Bottom