EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
- Thread starter
- #41
Wakati wa misa ya mkesha eeh? Dah wakati wa mkesha wa mwaka jana bhana nilikuwa sehemu kuna wapangaji sasa mpangaji mmoja akawa amevusha, raha ikawa pale yule binti alipopigiwa simu na mama yakeMkesha xmass
"oh mama usje tu maana misa imeshaanza, halafu hata ukija hutaniona mi niko kwa nyuma huku kuna watu wengi"
Kumbe alikuwa analiwa mkesha