Habari naomba kuuliza kwa wale waliofaulu interview za oral wakaitwa kazini Je, walijibu maswali yote? Maana nilifanya interview yangu ya kwanza maswali mengine point zilkuwa zinagoma kuja kabisa naishia kutaja point 2 out of 5, Je naweza nikabahatika kweli au ndo imekula kwangu ?
Msaada kwa walio na experience
Msaada kwa walio na experience