Siku nzuri ya maandamano ni tarehe 9 dec-baraza la katiba changamkeni

NI jinsia ke, waoga sana katika kudai haki, lakini ikishapatikana wanakuwa wa kwanza kudai usawa. usawa pasipo kuwajibika? bora mwenzie FF kajipambanua ni ke, hivyo hatusumbui sana

kaka nipo na wewe mia kwa mia, tena hasa wakiwa mwezini...kama huyo
 
Katika kuadhimisha siku ya disemba 9, kwa nini wale woote wanaosema hawatashiriki wasichukue nafasi ya siku hii KUANDAMANA kupinga utawala uliopo? at least fanyeni la maana kuonyesha hisia zenu siku hiyo, lakini kugoma tu kushiriki kuadhimisha siku hiyo hakuwezi kuwaletea sifa yoyote zaidi ya kuwadhalilisha zaidi..

Wazo:- Desember 9 iwe siku ya maandamano ya nchi nzima mkipinga yoote mnayoyalaaani na ndio iwe siku ya kudai huo UHURU muutakao..
 
Katika kuadhimisha siku ya disemba 9, kwa nini wale woote wanaosema hawatashiriki wasichukue nafasi ya siku hii KUANDAMANA kupinga utawala uliopo? at least fanyeni la maana kuonyesha hisia zenu siku hiyo, lakini kugoma tu kushiriki kuadhimisha siku hiyo hakuwezi kuwaletea sifa yoyote zaidi ya kuwadhalilisha zaidi..

Wazo:- Desember 9 iwe siku ya maandamano ya nchi nzima mkipinga yoote mnayoyalaaani na ndio iwe siku ya kudai huo UHURU muutakao..

Mkuu umetoa wazo la maana sana ! haya wana CDM shime amkeni mdai uhuru wa wachaga walionyonywa muda mrefu

 
Mkuu,wazo lako zuri ila nadhani muda hautoshi kufanya maandalizi ili kupata Maandamano yenye impact.Imebaki Siku moja tu.Maandamano ili yawe matamu yanahiyaji maandalizi ya kutosha ya kifedha,watu na pia kueleza kwa hao waandamanaji lengo la Maandamano hayo..Ungetoa wazo hilo angalau few days ago!
 
Wakati umefika na kuwa siasi kwa mustakabali wa Taifa hili! Ni muhimu kila kitu kuwa kwa vitendo! Kuonyesha kuwa hatukubalina na kinachoendelaa kisha kuwa passive ...surely this ist fare! ..Tuapnge a very strategic maandamano kama njia ya kuonyesha kilichoko miyoni mwetu
 
Katika kuadhimisha siku ya disemba 9, kwa nini wale woote wanaosema hawatashiriki wasichukue nafasi ya siku hii KUANDAMANA kupinga utawala uliopo? at least fanyeni la maana kuonyesha hisia zenu siku hiyo, lakini kugoma tu kushiriki kuadhimisha siku hiyo hakuwezi kuwaletea sifa yoyote zaidi ya kuwadhalilisha zaidi..

Wazo:- Desember 9 iwe siku ya maandamano ya nchi nzima mkipinga yoote mnayoyalaaani na ndio iwe siku ya kudai huo UHURU muutakao.
Wazo zuri sana. Kwa kuwa serikali imeandaa maandamano, tena kwa kulazimisha wafanyakazi washiriki, twaweza kujichomeka kwenye maandamano yao tukiwa na mabango yanayoeleza hisia zetu.
 
Mkuu,wazo lako zuri ila nadhani muda hautoshi kufanya maandalizi ili kupata Maandamano yenye impact.Imebaki Siku moja tu.Maandamano ili yawe matamu yanahiyaji maandalizi ya kutosha ya kifedha,watu na pia kueleza kwa hao waandamanaji lengo la Maandamano hayo..Ungetoa wazo hilo angalau few days ago!
Sidhani kama zinahitajika fedha na maandalizi isipokuwa ni WATU wenyewe kuwa na moyo wa kuondoka majumbani mwao na kushiriki ktk maandamano (MARCH) ya Amani..hata hayo maandalizi ya serikali wanatumia fedha kwa ajili yao wenyewe lakini raia hutoka majumbani mwao wasipewe ndululu ya kushiriki..

Haya ni maandamano ya WANANCHI wenyewe yasiwe ya maandalizi zaidi ya kuwaomba viongozi wa vyama kama vile Chadema, CUF, NCCR na vyama vinginevyo kujuika nanyi siku hiyo kuandamana tu.
 
Tarehe 9 Dec chadema wanatakiwa kuomba kwa barua kwenda Ikulu kupata dinner na JK
 
Back
Top Bottom