Siku nzuri ya maandamano ni tarehe 9 dec-baraza la katiba changamkeni

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
594
163
Wadau. Kwa kua tarehe 9 mwezi huu ni sherehe za miaka 50 ya uhuru, na police hawajatangaza vitisho vya alshabab, ni vyema basi siku hyo hyo pia baraza la katiba likatangaza maandamano makubwa yatakayoanzia pale pale taifa. Na sisi wote kwa umoja wetu kugoma kutoka taifa hadi hapo matakwa yetu yatakapotekelezwa...nawakilisha.
 
Maandamano yafanyie nyumbani kwako na mmeo na watoto wako.
 
Wadau. Kwa kua tarehe 9 mwezi huu ni sherehe za miaka 50 ya uhuru, na police hawajatangaza vitisho vya alshabab, ni vyema basi siku hyo hyo pia baraza la katiba likatangaza maandamano makubwa yatakayoanzia pale pale taifa. Na sisi wote kwa umoja wetu kugoma kutoka taifa hadi hapo matakwa yetu yatakapotekelezwa...nawakilisha.
Sasa hii breaking news ya wapi we bata? Kafanye maandamano na dfada zako usituletee breaking ushuzi hapa
 
Mkuu safi sana, ume think outside the box! Mimi naongezea hapo kuwa kwa Dar yaanzie palepale uwanja wa taifa, vile vile mikoani kam Arusha wakusanyike pale uwanjani-(jina nimesahau), Mwanza pale Kirumba, Mbeya pale Mwanjelwa na Iringa sijui wapi pale. Mikoa mingine atakuwa wanao wanaandama kivyao ila hizi sehemu kuu nne zinakuwa well organized: Madai makubwa yawe


1. Kupinga mswada uliosainiwa na raisi-urudi kwa wananchi tutoe maoni
2. Kupanda kwa bei za bidhaa na huduma muhimu
3.Maslahi duni kwa watumishi wa umma na sekta binafsi
4. Kutochukuliwa kwa hatua za dhati kwa watuhumiwa wote wa ufisadi
5 Kupinga malipo ya dowans/richmond
6 Kusitishwa mikataba yote ya kiunyoyaji katika migodi ya madini
7. Kupinga uchimbaji wa urenium nchi bila tahadhari madhubuti juu ya madhara yake na kwa hifadhi ya taifa ya selous
8 Kupinga ongezeko la bei za umeme kama ilivyotangwazwa na Tanesco kupitia wizara ya nishati na madini
9 Kupinga ukosefu wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wenye sifa za kuendelea na masomo
10

11
Ongezeni mengine
 
Jingine ni ukosefu wa ajira kwa vijana na ubaguzi wa maslahi kati ya wageni na wazawa
 
Wadau, kenya kwa sasa ipo vitani ikipambana na alshabab..lakini jana wote tuliona jinsi madaktari wa kenya walivyoamua kugoma..na police wa kenya hawakuwaambia swala la threat ya alshabab wala nini. Tanzania hata vita na alshabab hatuna ila tukitaka kuandamana tunaambiwa alshabab. Huu ni upumbavu wa hali ya juu. Kama vp baraza la katiba tarehe 9 ndo siku nzuri ya kuandamana sababu security itakua tight. Changamkeni aisee.
 
Sasa hii breaking news ya wapi we bata? Kafanye maandamano na dfada zako usituletee breaking ushuzi hapa

Mkuu mbona sijaona kama ni breaking news, inawezekana wewe ndio hujaelewa topic, sioni sababu ya kuwa mkali.
Lakini pia hata katika hii post yako sijaona sehemu yoyote uliyopinga au kukataa kwa hoja. Ningefurahi sana kama ningeona hoja yako hapa kuliko kutukana watu asubuhi asubuhi hii, wewe hujisikii vibaya kutukana watu hadharani? Hiyo ni hoja yake, unaweza ukaiunga mkono au ukaipotezea-huo ndio utu uzima(GT).

Sawasawa?
 
Duh, kweli we ni Rejao.

NI jinsia ke, waoga sana katika kudai haki, lakini ikishapatikana wanakuwa wa kwanza kudai usawa. usawa pasipo kuwajibika? bora mwenzie FF kajipambanua ni ke, hivyo hatusumbui sana
 
Back
Top Bottom