Siku nzuri ya maandamano ni tarehe 9 dec-baraza la katiba changamkeni

kuandamana siku hiyo ni kuwachokoza polisi watasingizia kwamba wamepeleka ulinzi kwenye sherehe za uhuru. watapiga mabomu kama kule Arusha bila huruma
 
Kwa nini habari hii inaondolewa kule kwenye siasa! Noma au JF wanaogopa.....
 
mbona chama cha magamba (ccm) hatukusema lugha ya mashetani lakini tuliposema chama cha maandamano (chadema) tunasema ni lugha ya shetani
 
Mkuu,wazo lako zuri ila nadhani muda hautoshi kufanya maandalizi ili kupata Maandamano yenye impact.Imebaki Siku moja tu.Maandamano ili yawe matamu yanahiyaji maandalizi ya kutosha ya kifedha,watu na pia kueleza kwa hao waandamanaji lengo la Maandamano hayo..Ungetoa wazo hilo angalau few days ago!
au mnaogopa kuchukua nchi maana watanganyika siku wakiingia barabara wote kwa pamoja lolote linaweza kutokea na CDM ndiyo tunaowaami kuwa kabidhi nchi.......lol
 
Wazo zuri sana tatizo hakuna anayeweza lifanikisha hili cdm washakunywa chai,juice na maji yenye limbwata ya uoga halikathalika na kwa baraza la katiba na wengine wote wasomi nao washatembezewa kalimbwata.

kazi ya kuikomboa tanganyika ipo mikononi mwa watanganyika wenyewe na cku ikifika hakuna wakuweza kuzuia.
Siku ikifika na amin hakuna wa kusukumwa au kushawishiwa bali watanganyika wenyewe wataingia rod bila kuogopa risasi za moto,maji ya kuwasha au mabom ya machozi hivyo ndiyo vitakuwa chachandu ya morali.
 
Mkuu Rejao, hivi ni kwa nini Serikali yetu inaogopa sana maandamano?
Hayana Tija. Watanzania wanashurutishwa na viongoz wachache wenye uchu wa madaraka kuandamana kwa sababu wasizozifahamu. Watu wanaandamana bila malengo
 
Mkuu,wazo lako zuri ila nadhani muda hautoshi kufanya maandalizi ili kupata Maandamano yenye impact.Imebaki Siku moja tu.Maandamano ili yawe matamu yanahiyaji maandalizi ya kutosha ya kifedha,watu na pia kueleza kwa hao waandamanaji lengo la Maandamano hayo..Ungetoa wazo hilo angalau few days ago!
Siamini kama wewe ni mbunge unaandika haya maneno hapa. Huna hata haya?
 
Siamini kama wewe ni mbunge unaandika haya maneno hapa. Huna hata haya?

nenda muhimbili au kcmc uone wagonjwa waliolala sakafuni au kitanda kimoja wagonjwa 2 ndipo uje na haya zako!binadamu gani wewe usiye taka changes?hembu kuwa na busara hata kama unafaidi na utawala uliopo tafakari juu ya walio chini yako!leo songea mahindi kilo sh 200 na mkulima hana mnunuzi govt haina pesa ya kununua na ku export umekataza!huku unahubiri kilimo kwanza atalimaje msimu huu?
 
Humu jf kuna watu wa jukwaa la katiba kama vp kesho watangaze ivyo, hao alshabab wangewaua madaktari wa kenya jana kwanza kabla ya watz wanaopinga udhalimu. jukwaa la katiba na mashirika ya haki za binadamu...fanyeni ivyo jamani.
 
Sidhani kama zinahitajika fedha na maandalizi isipokuwa ni WATU wenyewe kuwa na moyo wa kuondoka majumbani mwao na kushiriki ktk maandamano (MARCH) ya Amani..hata hayo maandalizi ya serikali wanatumia fedha kwa ajili yao wenyewe lakini raia hutoka majumbani mwao wasipewe ndululu ya kushiriki..

Haya ni maandamano ya WANANCHI wenyewe yasiwe ya maandalizi zaidi ya kuwaomba viongozi wa vyama kama vile Chadema, CUF, NCCR na vyama vinginevyo kujuika nanyi siku hiyo kuandamana tu.

Hao waandamanaji watajuaje kuwa kuna Maandamano Kama hawatatngaziwa?hayo Maandamano hayatakuwa Na Mabango wa kumbe mbalimbali ili kuhamasisha na wengine?je haya hayahitaji fedha?
 
Siamini kama wewe ni mbunge unaandika haya maneno hapa. Huna hata haya?
Hivi Mimi na aliyesaini huku akijua Muswada ni mbovu nani anapaswa kuona haya?eti nakaribisha maoni huku keshasaini,ni kioja Cha miaka 50 ya Uhuru!
 
Ushauri kwa Regia mtema,dada yangu wewe ni kiongozi na hauna sababu ya kuandika kila unachofikiria hapa jf.jaribu kuwa mpole sometime sio lazima uandike.
 
Hivi Mimi na aliyesaini huku akijua Muswada ni mbovu nani anapaswa kuona haya?eti nakaribisha maoni huku keshasaini,ni kioja Cha miaka 50 ya Uhuru!
Wawakilishi wenu walioenda Ikulu walifikia muafaka na kutoa go ahead. Kioja cha miaka 50 ni viongozi wa upinzani kulilia kuomba kwenda ikulu kumuona raisi wasiyemtambua na kumnyenyekea kwa hali ya juu na kila mmoja kuomba kupiga naye picha tena kwa vicheko.
Mngejua hali ya wananchi na umuhimu wa hiyo Katiba msingejichekesha vile Ikulu, mmngekaa kwa sura za kazi tuone kweli kuna kitu cha msingi mmeenda kukifanya.
 
Wawakilishi wenu walioenda Ikulu walifikia muafaka na kutoa go ahead. Kioja cha miaka 50 ni viongozi wa upinzani kulilia kuomba kwenda ikulu kumuona raisi wasiyemtambua na kumnyenyekea kwa hali ya juu na kila mmoja kuomba kupiga naye picha tena kwa vicheko.
Mngejua hali ya wananchi na umuhimu wa hiyo Katiba msingejichekesha vile Ikulu, mmngekaa kwa sura za kazi tuone kweli kuna kitu cha msingi mmeenda kukifanya.

unajua ni vyema kwa wanajf kuongea vitu kwa uhakika zaidi, ina maaana viongozi hawana haki ya kuongea au kuchangia kwa sababu ni kiongozi ama? apart frm being kiongozi ni citizen pia. na ana haki ya kuojangea na kutoa mawazo yake.......wake up guyz. usitumie masaburi kufikiria.
 
Hiyo ni siku ya wajeda miaka yote, chonde chonde msijiingize kwenye 18 zao mtapasuka manake jamaa wana zaidi mwezi wanajifua tafuteni siku nyingine
 
Ushauri kwa Regia mtema,dada yangu wewe ni kiongozi na hauna sababu ya kuandika kila unachofikiria hapa jf.jaribu kuwa mpole sometime sio lazima uandike.
Asante sana kwa kumpatia huyu dada yetu ushauri mzuri. Ni matumaini yangu kuwa atakuwa amekusikia.
 
Back
Top Bottom