Ili iweje?!
Mkishajua mnafaidika vipi!???Ili tujue unafananaje
Mkishajua mnafaidika vipi!???
Wee nae bana mind on you PM is there for you right?
Haya mi nishaweka, je tukikutana utaweza kunifahamu kwa hiki kipicha changu?. Hiyo ndiyo yangu halisi weka yako sasa si maneno na brabra.siku moja moja tutoe avatar then tuweke original picture zetu ili kila mmoja apate kuiona vyema taswira ya mwenzake.. Coz avatar ya cheusi mangara na afrondezi na wengine wengi zanikosha!
Tufaidike kwani biashara hii?
Ili iweje?!
E bwana mbona maneno mengi? Nimetoa ya Kwame nkurumah nimeweka ya kwangu mbona yako hatuioni?Mimi cheusi mangala ananikuna kinyama, jamani tuweke avatar zenye picha zetu, japo tuuze sura kidogo!