Huwajui watu wa aina hii? Kapenda mawazo yenu sasa anataka apete muonekano ili a-fall kamili. Wabongo haswa tunapenda kupenda!
Hivi kwanini watu hawataki wajulikane walivyo?Napata wasiwasi kama kuna kiwango kikubwa namna hii cha watu wasiojiamini,wengine humu wana ID za kike wakati sio wengine za kiume wakati sio,najaribu kufikiria sababu jibu ninalopata linanitisha!
Haya mi nishaweka, je tukikutana utaweza kunifahamu kwa hiki kipicha changu?. Hiyo ndiyo yangu halisi weka yako sasa si maneno na brabra.
mimi ya kwangu ni original kabsa kabsa!ni kweli kabisa kiongozi,lkn ingependeza zaidi ww kuonyesha mfano then wengine tutafuata!
mi ya kwangu ndo hiyo,long time kwisha bandikaHakuna tatizo G!! Wazo zuri sana... tupe mfano basi, place yako hapo na sie tunafuata!!
FL1
Baada ya masaa mawili nitaiondoa
FL1
Baada ya masaa mawili nitaiondoa
So,huyo ndio wewe?kama sie,onyesha mfano basi nami nitafuatia.nadhan logic ya picha ndio uasilia wa jamiiforums. Km interlectual or great thinker huna haja ya kujificha!