Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Nafikiri ndo tunachosubiri awe wingu then maji yamiminike mtera baada ya hapo shida ya umeme kwisha. Source :jk mwenyewe!
Nafikiri ndo tunachosubiri awe wingu then maji yamiminike mtera baada ya hapo shida ya umeme kwisha. Source :jk mwenyewe!
Majibu ya kebehi toka kwa rais wa nchi ni hatari sana !
haha// mimi naomba niwe jua.. nimmulike aondoke zake