Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Naamini CDM ni chama kitakachotawala kwa haki, na kuhakikisha kila nafasi ya utumishi wa umma inakuwa na mtu mwenye credibily. Kutokana na serikali ya CCM kuzitumia nafasi za kiutendaji serikalini kisiasa, ni wazi kabisa itakuwa ngumu kuendelea na watu wengi nchi itakapokombolewa. Kwa mantiki hiyo, CDM wakichukua nchi
Ni majaji wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni Wakurugenzi wa wilaya wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makamanda wachache sana wa polisi wa mikoa na ma-OCD watakaoqualify kuendelea...
Ni mahakimu wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makatibu wakuu wa wizara wachache sna watakaoendelea,
Ni wakuu wa nyuo, wakurugenzi wa mashirika na maidara, wenyeviti wa bodi, makatibu tawala wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Wakuu wote wa wilaya na mikoa watakuwa discontinued...
Majority ya usalama wa taifa na takukuru watakuwa discontinued...
Nafasi ya Dk Hosea itakuwa wazi, ya msajili wa vyama itakuwa wazi, ya IGP itakuwa wazi, ya Manumba itakuwa wazi, za makamishna wote wa polisi zitakuwa wazi...
Je CHADEMA kitapata watu wenye credibility wa kutosha kujaza nafasi hizo???
Ni majaji wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni Wakurugenzi wa wilaya wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makamanda wachache sana wa polisi wa mikoa na ma-OCD watakaoqualify kuendelea...
Ni mahakimu wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makatibu wakuu wa wizara wachache sna watakaoendelea,
Ni wakuu wa nyuo, wakurugenzi wa mashirika na maidara, wenyeviti wa bodi, makatibu tawala wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Wakuu wote wa wilaya na mikoa watakuwa discontinued...
Majority ya usalama wa taifa na takukuru watakuwa discontinued...
Nafasi ya Dk Hosea itakuwa wazi, ya msajili wa vyama itakuwa wazi, ya IGP itakuwa wazi, ya Manumba itakuwa wazi, za makamishna wote wa polisi zitakuwa wazi...
Je CHADEMA kitapata watu wenye credibility wa kutosha kujaza nafasi hizo???