Siku CHADEMA wakichukua nchi, tutarajie haya...

Kutakuwa kuna haja pia ya kufuatilia kwa wataalam wa masuala ya nyota na bahati kujua ni kwanini ndugu wengi sana wa Hawa Ghasia wana bahati sana ya kupata kazi serikalini tena katika idara nyeti?
 
Naamini CDM ni chama kitakachotawala kwa haki, na kuhakikisha kila nafasi ya utumishi wa umma inakuwa na mtu mwenye credibily. Kutokana na serikali ya CCM kuzitumia nafasi za kiutendaji serikalini kisiasa, ni wazi kabisa itakuwa ngumu kuendelea na watu wengi nchi itakapokombolewa. Kwa mantiki hiyo, CDM wakichukua nchi

Ni majaji wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni Wakurugenzi wa wilaya wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makamanda wachache sana wa polisi wa mikoa na ma-OCD watakaoqualify kuendelea...
Ni mahakimu wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makatibu wakuu wa wizara wachache sna watakaoendelea,
Ni wakuu wa nyuo, wakurugenzi wa mashirika na maidara, wenyeviti wa bodi, makatibu tawala wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Wakuu wote wa wilaya na mikoa watakuwa discontinued...
Majority ya usalama wa taifa na takukuru watakuwa discontinued...
Nafasi ya Dk Hosea itakuwa wazi, ya msajili wa vyama itakuwa wazi, ya IGP itakuwa wazi, ya Manumba itakuwa wazi, za makamishna wote wa polisi zitakuwa wazi...

Je CHADEMA kitapata watu wenye credibility wa kutosha kujaza nafasi hizo???

ungekuwa rais sijui kama nchi hiyo ingekuwepo
 
Wacha uongo wewe.

hakimu, nakubaliana na wewe, lakini jaji, kamanda wa polisi, wakuu wa vyuo vya umma, wote wana harufu ya siasa pamoja na kwamba wana taaluma zao tena nzuri.

1. Chukua mfano wa udsm, Mkandala aliteuliwa katika nafasi yake ya sasa akitokea REDET. Ni kupitia REDET alikuwa na kawaida ya kukisifia CCM, na ndiye anayetajwa kuunda ilani ya uchaguzi 2005. Baada ya J.K kupita, alipewa kama asante, na Mathew Luhanga akarudishwa COET kuwa mkuu wa kitivo. Siasa ndo ilifanya kazi.
2. Majaji wote, pamoja na taaluma walizonazo, lakini mtu huwi jaji mpaka uteuliwe na uapishwe na RAIS.
3. Makamanda wa polisi, wote file zao ziko ikulu, na kuchaguliwa kwao, lazima kuwa na uhusiano wa karibu sana na IJP, ambaye ni mteule wa Rais, hivyo kwa maneno mengine wanategemea hali ya siasa katika kazi zao. Ndio maana kwa baadhi ya maeneo, wamekuwa wakihamishwa mara moja ikiwa wameharibu michakato miovu ya CCM.
4. Wakuu wa wilaya, hata mwenyewe unajua wanapatikanaje, wacha uvivu wa kufikiria.
5. wakurugenzi, ni wateule wa TAMISEM-waziri husika. hivyo nao huharibu hata chaguzi nyingi kwa sababu hiyo. kwa maneno mengine ni wenye kadi za CCM
6. Makatibu wa wizara wote wanateuliwa na kuapishwa na rais, ndo maana ni wachache walo safi. wana harufu ya CCM

Good analysis.
 
rejea swali la mtoa mada kuwa chadema itapata wapi watu wenye credibility za kutosha kujaza nafasi ,we uko nchi gani?au Fiji?nchi imeishiwa watu wenye sifa?
 
idara kma USALAMA WA TAIFA MAHAKAMA POLISI hazifanyi kazi wala kujihusisha na siasa bali kwa mujibu wa sheria.

hao wote wangefanya kazi vyema pasingekuwepo na dhuluma za kiasheria tena wote hao chama kwanza wananchi baadae. Hivi ni kesi gani ya rushwa ambayo kigogo wa chama tawala kafikishwa kwenye sheria licha ya mikataba mikubwa mingi kuna rushwa?
 
Kama alivyosema FortJeasus kuwa wengi wanaopinga hili hawakuelewa point ilikuwa wapi. Ukweli upo na unabaki kuwa watendaji wengi serikalini ni wa viwango vya chini sana, ila wamepewa nafasi hizo kwa maslahi ya kisiasa na wanasiasa. Haiwezi kuwa kitu cha siku moja bali serikali yeyote makini (na hapa nimetumia CHADEMA kama mfano hai) itakayoingia madarakani haiwezi kuendelea kukumbatia watendaji wabovu kama kwani hawataisaidia katika kuleta maendeleo.

Narudia tena kuwa asilimia kubwa ya watendaji katika nafasi za kuteuliwa, wamewekwa kwa masilahi ya siasa, na wengi wao wana uwezo mdogo kiutendaji.

Kuna watu wanawatetea mahakimu na usalama wa taifa! Niwaambie tu kwamba zipo mahakama nchini ambazo hata uwe na viwango gani kitaaluma na kiutendaji, huwezi tia mguu unless you are politically compatible.

Sasa mi niliongelea credibility, watu wanadhani nimeongelea kadi za vyama! Simaanishi kuwa CDM wakichukua nchi watawapa nafasi wanaCDM peke yao (at least siamini hivyo), but watatakiwa, kwa kuwa watakuwa wanahitaji watu makini kuendeleza nchi hii, nafasi zote za kiutendaji ambazo sasa zimekaliwa kisiasa, zichukuliwe na watu makini wasioangalia maslahi ya kisiasa.

Swali langu ni kuwa, je zoezi hili litaendeshwaje kuwapata watu makini, bila kuvunja sheria au kusababisha manung'uniko?
 
Naamini CDM ni chama kitakachotawala kwa haki, na kuhakikisha kila nafasi ya utumishi wa umma inakuwa na mtu mwenye credibily. Kutokana na serikali ya CCM kuzitumia nafasi za kiutendaji serikalini kisiasa, ni wazi kabisa itakuwa ngumu kuendelea na watu wengi nchi itakapokombolewa. Kwa mantiki hiyo, CDM wakichukua nchi

Ni majaji wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni Wakurugenzi wa wilaya wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makamanda wachache sana wa polisi wa mikoa na ma-OCD watakaoqualify kuendelea...
Ni mahakimu wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makatibu wakuu wa wizara wachache sna watakaoendelea,
Ni wakuu wa nyuo, wakurugenzi wa mashirika na maidara, wenyeviti wa bodi, makatibu tawala wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Wakuu wote wa wilaya na mikoa watakuwa discontinued...
Majority ya usalama wa taifa na takukuru watakuwa discontinued...
Nafasi ya Dk Hosea itakuwa wazi, ya msajili wa vyama itakuwa wazi, ya IGP itakuwa wazi, ya Manumba itakuwa wazi, za makamishna wote wa polisi zitakuwa wazi...

Je CHADEMA kitapata watu wenye credibility wa kutosha kujaza nafasi hizo???

Unasahau kuwa mfumo mpya utakakuwepo utamaanisha vyeo vingi ulivyovitaja hapo vitafutiliwa mbali kutokana na kutokuhitajika.
 
wakichukua nchi CDM "which is far away from reality " utaulizwa we dini gani..? unatokea mkoa gani... ndio mambo mengine yataendelea ..
Aisee ukiitwa bundi itafaa zaidi kwani yeye ndie hana uwezo wa kuona mchana kweupe kama ulivyo wewe!
 
Swali langu ni kuwa, je zoezi hili litaendeshwaje kuwapata watu makini, bila kuvunja sheria au kusababisha manung'uniko?
Bora umeeleza na watu wenye akili finyu waliokuwa wakipinga hoja yako waone aibu...umeonyesha uwezo wa kujenga hoja na kukitetea unachofikiria bila kuyumbishwa....pamoja na hayo Watumishi hawawezi kukosa sababu wapo watu wengi wanao weza kushika nyadhfa hizo na walio na misimamo na wanaopenda kulinda hadhi za taaluma zao ambao hawakupewa nafasi hizo kwasababu ya mamlaka za uteuzi kuogopa kuhatarisha maslahi yao!
 
Ni majaji wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni Wakurugenzi wa wilaya wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makamanda wachache sana wa polisi wa mikoa na ma-OCD watakaoqualify kuendelea...
Ni mahakimu wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Ni makatibu wakuu wa wizara wachache sna watakaoendelea,
Ni wakuu wa nyuo, wakurugenzi wa mashirika na maidara, wenyeviti wa bodi, makatibu tawala wachache sana watakaoqualify kuendelea...
Wakuu wote wa wilaya na mikoa watakuwa discontinued...
Majority ya usalama wa taifa na takukuru watakuwa discontinued...
Nafasi ya Dk Hosea itakuwa wazi, ya msajili wa vyama itakuwa wazi, ya IGP itakuwa wazi, ya Manumba itakuwa wazi, za makamishna wote wa polisi zitakuwa wazi..
.


Je CHADEMA kitapata watu wenye credibility wa kutosha kujaza nafasi hizo???

Hizo nilizo highlight hapo juu ni lazima kabisa...mahakakma na polisi/intelligence inabidi kuna changes za ajabu wamewaonea sana cdm...yani hapo hatapona mtu na wengine na mahakamani watafikishwa...
 
Kuna watu wengi wapo mstari wa mbele wanajiita makamanda.

Kama ikitokea Chadema wamechukua nchi kutazuka vurugu kubwa sana za kugombania hizo nafasi nyeti, maana kila mtu atajiona yeye mchango wake mkubwa. "oooh mimi bodyguard wa Slaa" huyu nae "oooh mimi housegirl wa Josephine". Mwisho wake itakuwa vurugu mechi mtaani, usishangae kuona Lema mkuu wa TRA.
 
Mkuu haya mambo ya kufuata protocal wakati mwingine ndiyo yanachelewesha maendeleo... kuna watu wakufukuzwa mara moja na wengine wa kujadiliwa.. angalia huyu police chief wa Malawi alifukuzwa siku mbili tu baada ya Banda kuwa rais, ina maana makosa yake yalikuwa yanajulikana before. Hata sisi kuna watendaji wa serikali watakaotimuliwa au kujiuzulu siku chache tu kama CDM itafanikiwa kutwaa madaraka na wanajijua kabisa.

New Malawi president fires police chief

Malawi's new President Joyce Banda has fired the nation's police chief and hired a new one,
her office said on Monday, two days after she took office following her predecessor's death.

Banda has "appointed commissioner Lot Dzonzi as the new inspector general of police with effect
from April 8", replacing former top cop Peter Mukhito, said a statement from the office of the
president and cabinet.

Mkuu Feedback hiyo wala siiikatai. Ninachosema ni kwamba kusiwe na expectation kuubwa kwamba ndani ya siku mia moja basi nafasi zote zitakuwa wazi. Nimetolea mfano Majaji huwezi kuaamka na kuwafuta tu kazi kwa kuwa wewe umechukua dola; kuna mchakato wa kikatiba hapa (katiba ya sasa). Hao wengine kama IGP, Wakurugenzi, nk wanaweza kutolewa hata wote siku moja kwa kuwa ni wateule wa Rais na hakuna mchakato wowote wa kikatiba unaotakiwa kuwatoa (katiba ya sasa). Ila kiongozi makini hawezi kuingia tu na kuwatoa waoooote kwa wakati mmoja lazima aende taratibu. Hata Tanganyika ilivyopata uhuru haikufukuza wakoloni wote siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Wacha uongo wewe.

hakimu, nakubaliana na wewe, lakini jaji, kamanda wa polisi, wakuu wa vyuo vya umma, wote wana harufu ya siasa pamoja na kwamba wana taaluma zao tena nzuri.

1. Chukua mfano wa udsm, Mkandala aliteuliwa katika nafasi yake ya sasa akitokea REDET. Ni kupitia REDET alikuwa na kawaida ya kukisifia CCM, na ndiye anayetajwa kuunda ilani ya uchaguzi 2005. Baada ya J.K kupita, alipewa kama asante, na Mathew Luhanga akarudishwa COET kuwa mkuu wa kitivo. Siasa ndo ilifanya kazi.
2. Majaji wote, pamoja na taaluma walizonazo, lakini mtu huwi jaji mpaka uteuliwe na uapishwe na RAIS.
3. Makamanda wa polisi, wote file zao ziko ikulu, na kuchaguliwa kwao, lazima kuwa na uhusiano wa karibu sana na IJP, ambaye ni mteule wa Rais, hivyo kwa maneno mengine wanategemea hali ya siasa katika kazi zao. Ndio maana kwa baadhi ya maeneo, wamekuwa wakihamishwa mara moja ikiwa wameharibu michakato miovu ya CCM.
4. Wakuu wa wilaya, hata mwenyewe unajua wanapatikanaje, wacha uvivu wa kufikiria.
5. wakurugenzi, ni wateule wa TAMISEM-waziri husika. hivyo nao huharibu hata chaguzi nyingi kwa sababu hiyo. kwa maneno mengine ni wenye kadi za CCM
6. Makatibu wa wizara wote wanateuliwa na kuapishwa na rais, ndo maana ni wachache walo safi. wana harufu ya CCM

Nimeifurahia sana analysis yako. Imekaa ki- great thinker
 
wakichukua nchi CDM "which is far away from reality " utaulizwa we dini gani..? unatokea mkoa gani... ndio mambo mengine yataendelea ..

Hey buddy! Stop believing everything your mum tells you!!
 
CHANGE lilikuwa neno alilotumia Obama 2008, wamarekani wengi walikuwa desperate na hali ya uchumi. Watu waliamini Obama angebadili uchumi kwa kipindi kifupi, baada ya miaka zaidi ya miwili kupita, lawama zote zinaelekezwa kwake. Ukweli utabaki palepale, shimo alilochimba Rafiki wa JK (George Bush) kwa miaka 8, Obama asingeweza kulifukia ndani ya miaka minne.
Hili naliona kutokea Tanzania, punde CDM wakinyakua nchi. Watu wengi tunaamini M4C, je ni lipi tofauti na Obama, CDM watafanya kuziba shimo linalochimbwa na CCM kwa zaidi ya miaka 50?
 
CHANGE lilikuwa neno alilotumia Obama 2008, wamarekani wengi walikuwa desperate na hali ya uchumi. Watu waliamini Obama angebadili uchumi kwa kipindi kifupi, baada ya miaka zaidi ya miwili kupita, lawama zote zinaelekezwa kwake. Ukweli utabaki palepale, shimo alilochimba Rafiki wa JK (George Bush) kwa miaka 8, Obama asingeweza kulifukia ndani ya miaka minne.
Hili naliona kutokea Tanzania, punde CDM wakinyakua nchi. Watu wengi tunaamini M4C, je ni lipi tofauti na Obama, CDM watafanya kuziba shimo linalochimbwa na CCM kwa zaidi ya miaka 50?

hata kama hawata maliza matatizo yote au mengi, watanzania wanataka kuona kuna maendeleo ya kwenda mbele wala sio kurudi nyuma! kama watapata ridhaa ya kuongoza tutaona hayo, kama wakishindwa basi tutarudi kwa mzee wetu CCM
 
My kaka Tuko nakuona na siasa taratibu unakuja juu umehama chit chat siku hizi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom