Siku 21 za Slaa

Dr slaa ni kiongozi makini, hasinge anza kuangaika na meya wa arusha wakati ccm wanataka kuchakachua KATIBA YA NCHI, alikuwa kwenye harakati nyingine za kuokoa taifa, na imewezekana kikwete na hao wanyonyaji wenzake wamerudi nyuma na muswada umchomolewa bungeni, sasa hiyo ya Arusha shukurani kukumbushia wewe subiria, au kuna akari wa kuua watu wamemaliza mafunzo ndio maana unajifanya kifua mbele, wewe si umeona kilichotokea TABORA, POLICE wenyewe wanasema serikali imeogopa maandamano na kutimiza mnachodai , hivyo hakuna tena haja ya maandamano!!!!!

Mkuu,
Ngoja nitoke nje kidogo. Nafikiri watu wa ccm wana akili sana lakini akili yao wanaitumia kwa evil ways , ku-manipulate umma. Huu unaosema ushindi ni failure kubwa sana ktk katiba.

Kwanini, mwanzo umma ulitaka katiba ccm hawakuitaka na nina amini hawataki katiba mpya, lakini wameweza kujigeuza kwamba wao ndo wanataka katiba harafu wananchi wanaipinga. Watacheza na tune hiyo hiyo mpaka 2015 inapita.

Tukirudi ktk 21 za Slaa, mhhhh
 
Nijuze hapo mkuu nimeachwa!
chadema wametoa siku 90 kwa serikili kurudisha nyumba zetu magufuri alizogawa kwa bei ya peremende kwa ndugu zake na mafisadi, na unajua kikwete anataka kutawala madarakani lakini wavuane magamba tena na hiyo itakuwa balaa


samahani kwenye RED ni alizopewa kikwete na chadema
HTML:
 ila siku 90 [COLOR="red"][B]alizotoa kikwete[/B][/COLOR] kuhusu nyumba zetu za umma, inaweza kuwa kizaa zaa hapo ikulu
 
chadema wametoa siku 90 kwa serikili kurudisha nyumba zetu magufuri alizogawa kwa bei ya peremende kwa ndugu zake na mafisadi, na unajua kikwete anataka kutawala madarakani lakini wavuane magamba tena na hiyo itakuwa balaa


samahani kwenye RED ni alizopewa kikwete na chadema
HTML:
 ila siku 90 [COLOR="red"][B]alizotoa kikwete[/B][/COLOR] kuhusu nyumba zetu za umma, inaweza kuwa kizaa zaa hapo ikulu

Teh teh teh siku 90 zingine
 
we have a country to save mkuu, hii hakuna kurudi nyuma, tutaangusha masanamu yote ya ufisadi wa ccm yaliyozaa nchii nzima, ili la nyumba hakuna kwenda mahakamani ni maandamano mpaka UN security council resolution , hii style nimeipa jina KIMISRI MISRI WATU TUTAKAA MNAZI MMOJA SIKU 18 KAMA TARIQ SQUARE ILIVYOKUA
Teh teh teh siku 90 zingine
 
Hivi ndio vitu vinavyowapotezea watu credibility, Chadema wanapaswa wawe na priority zao na kuzifuatilia utekelezaji wake na sio kila siku kutajataja tu vitu viiingi na kuviacha vinaishia juu kwa juu!!

mmm pole mkuu . Siku 21 ndo zimesababisha Makamba na wenzake kungoka kwy uongozi je ulioni hilo
 
Asante mkuu,
Kwa uhakika siku 21 zimeshapita, na alisema lazima uchaguzi wa mea arusha utarudiwa. sijui nimekujibu swali

umesema tena uongo! Slaa alisema baada ya cku 21 atawaachia wananchi wa Arusha waamue wenyewe. Wala hakusema lazima uchaguzi urudiwe! Kwahiyo sasa kazi ni kwetu sisi wakazi wa Ar tuamue cha kufanya!
 
Zile siku 21 za Slaa juu ya kurudia uchaguzi wa madiwani arusha ni lini zitakamilika?


Mliambiwa Lowasa mwizi-mkabisha
Mliambiwa Rostam Aziz mwizi......aaaa wapi
Mkaambiwa na Chenge Mwizi........ooh hatuna ushahidi

Mwenyekiti anasema hawa jamaa wezi wajitoe kwenye chama siku (90)

YETU MACHO
 
Mkuu nakubaliana na wewe 10/10. Ndo haya ya kutoa ahadi ahadi mwisho wake haujulikani. Hata JK, pamoja na kutafuta mchawi lakini naye credibility ilishuka sana kwa kuendelea kutoa ahadi zisizotekelezeka.

mkuu upeo wako mdogo unalinganiza ahadi za katibu wa chama na rais ya nchi <pumbavu>
 
we have a country to save mkuu, hii hakuna kurudi nyuma, tutaangusha masanamu yote ya ufisadi wa ccm yaliyozaa nchii nzima, ili la nyumba hakuna kwenda mahakamani ni maandamano mpaka UN security council resolution , hii style nimeipa jina KIMISRI MISRI WATU TUTAKAA MNAZI MMOJA SIKU 18 KAMA TARIQ SQUARE ILIVYOKUA

Na wewe unaahidi!!
 
umesema tena uongo! Slaa alisema baada ya cku 21 atawaachia wananchi wa Arusha waamue wenyewe. Wala hakusema lazima uchaguzi urudiwe! Kwahiyo sasa kazi ni kwetu sisi wakazi wa Ar tuamue cha kufanya!


Pipoooz!!!
 
mmm pole mkuu . Siku 21 ndo zimesababisha Makamba na wenzake kungoka kwy uongozi je ulioni hilo

Aisee! Kumbe alitoa siku 21 kwa Makamba kuachia ngazi?! Najua pia matokeo hayo yamekuja ndani ya siku 21 bila kuzidisha hata saa moja, Great thinker...
 
Hivi ndio vitu vinavyowapotezea watu credibility, Chadema wanapaswa wawe na priority zao na kuzifuatilia utekelezaji wake na sio kila siku kutajataja tu vitu viiingi na kuviacha vinaishia juu kwa juu!!

Mbona bado unamsujudia Kikwete licha ya maelfu ya ahadi zake za tangu 2005?Kama Chadema kupoteza credibility kwa mafisadi basi hillo lilishatokea tangu zamani hizo.Kama wewe huna priority za maisha yake how come uwatake Chadema wawe na priority?Nasema hivyo kwa sababu kila Mtanzania mwenye mapenzi ya dhati na nchi hii hawezi kusita kuunga mkono harakati za kutukomboa kutoka kwa mafisadi.

Mpuuzi wewe unaona vitu viiiiingi vya Chadema tu lakini ubongo wako unasimama kufanya kazi when it comes kwenye rundo la ahadi za Kikwete.Hii sio double standard kwa vile hata kwenye level ya standards haipo.It's sheer stupidity,period!
 
Vyema,
Mtu akitoa ahadi na siku zikifika ni nini kinachopaswa? na akifanya ndivyo sivyo nini unapata ama unajifunza kutoka kwa mtoa ahadi?
MKamaP;
Kitu cha muhimu zaidi tungekuwa tunajadili ni vipi Slaa amea-chive kuwafanya watawala kuwa makini. For the first time in our history Slaa made it. Nobody was able to critisize this [cowardice] government of CCM; from all phases/terms and walk free. Slaa amefanya, na anaendelea kufanya. What makes a legacy, enviable legacy? Mwinyi, Mkapa never made such a legacy; we never know about this coward JK (i call him a thug). Believe me Slaa will be remembered because he made it, he changed the way people think and also how things have to be done.

Mkama P, I don't see where is your sense; why can we call you a human being, you have your conscious mind which differentiates you from an animal, a dog have mind and all like you. But a human can differentiate EPA, thugery, richmond, downs and how our people are dying of malaria only because the government is doing nothing. You may be a genius but I don't see why you go so far thinking Mr. Slaa has done nothing.

MkamaP, Mr. Slaa has got no army, has got no courts which he can bring a case and be judged well (you know that). He has no police. The Thugs control all the money, the police, courts and the army; the barrel of the gun. What do you expect from Slaa? Unless if you can prove that you are not insane then i can argue with you;

I have been a lurker for sometime but people like MkamaP and armateur Engineer Weborya are off----------- respect!
 
Mimi nashindwa kuelewa siku 21, hamuulizi majibu ya Hoja alizojb Mbunge wa Arusha (Lema) kufukiwa na Spika mnauliza za Udiwani
haya Siku 3 alizopewa Godbless Lema hazijaisha?
 
Tatizo la sisi tunapenda kujibu kwa reference ya ccm, kitu ambacho kinakuwa hakina maana tena ktk ukombozi tunaolilia. Tukiuliza mbona Slaa mzinzi unajibiwa mbona JK mzinzi, ukiuliza mbowe amekopa fedha nyingi na kogoma kurudisha, unaambiwa mbona ccm walichukua EPA, ukiuliza mbona ahadi hii ndogo kabisa kashindwa kutekeleza ,majibu mbona JK kashindwa ahadi nyingii.

Alaa! hawa ndo mnawataka?
Siku Mungu atapowahoji kwanini ulizini mtamjibu mbona padre mstaafu alifanya uzinzi? ama askofu alizini ndio upate kujikinga na gadhabu yake? Inashangaza sana
 
..............Fuatilia siku ilipotolewa then utoe siku zilizokwishapita utapata jibu...simple mathematics..
 
Back
Top Bottom