USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Baadaa ya waziri slaa kukata Bomba la pesa la wenyeviti wa mitaa na vijiji nchi Zima Sasa mashambulizi makali yanaelekezwa kwake kuelekea uchaguzi wa serkali za mitaa na ule mkuu .
Hawa wenyeviti hawana kipato Cha kumudu maisha zaidi ya kupata hizo 10% za mauzo ya mashamba,viwanja na nyumba so hapa waziri slaa amelikanyaga vita itaanzia kwa wabunge na madiwani kuambiwa kuwa waziri kazingua na watamtaka mlezi wao ambaye ndio rais amtimue maana bila hao CCM sio kitu.
Sasa wamejiunga wakakusanyana chini ya Umoja wao na ikumbukwe Hawa ndio ngao ya CCM kuendelea kutawala ni wazi CCM itamtosa slaa na kubeba wanyeviti,slaa hawezi kuwa juu ya wanyeviti ambao hata serkali inawaogopa ikija ishu ya kutafuta kura .
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Hawa wenyeviti hawana kipato Cha kumudu maisha zaidi ya kupata hizo 10% za mauzo ya mashamba,viwanja na nyumba so hapa waziri slaa amelikanyaga vita itaanzia kwa wabunge na madiwani kuambiwa kuwa waziri kazingua na watamtaka mlezi wao ambaye ndio rais amtimue maana bila hao CCM sio kitu.
Sasa wamejiunga wakakusanyana chini ya Umoja wao na ikumbukwe Hawa ndio ngao ya CCM kuendelea kutawala ni wazi CCM itamtosa slaa na kubeba wanyeviti,slaa hawezi kuwa juu ya wanyeviti ambao hata serkali inawaogopa ikija ishu ya kutafuta kura .
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app