Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Wanamuenzi Baba wa Taifa "in style"! w.t.*
mbio za mwenge zitakuwa ni mradi wa kigogo mmojawapo kwenye kampuni ya mafisadi CHICHIEMU
haya wahusu hayo, Mwenge ni wakitaifa zaidi na sio mdahalo
Kuanzia sasa tbc wanataka kujiunga na watangazaji waliopo kigoma,kutuletea matangazo ya kuzimwa kwa mwenge na kikwete,hivi hawana taarifa kuwa kuna mdahalo pale nkrumah udsm wenye tija kwa taifa hasa wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu?au ndio wanataka kupiga kampeni kwa kikwete chini ya kivuli cha kuzima mwenge?huko kigoma kuna mjadala au mdahalo gani wa kuupita huo wa hapo udsm?
Akili mbaya kabisa...Wanadhani kila mtu anautaka mwenge, wakati hauna maana yoyote, ila njia ya kufilisi nchi!
zumbeee! Togoa?
Sifa kubwa ya Mwenge ni Kueneza Ukimwi nchi nzima bila kujali rangi, kabila jinsia au Dini