sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Last edited by a moderator:
ila isije ukawa wewe ni she manake mbona kama jibu lako lina nipa hisia za kutoa cheo halali kwa mtu asiyehalali? kama ni ke niambie nikupe cheo stahiki mkuu na umuhimu ako utazingatiwa.:A S confused::A S confused::A S confused:
thank BADILI TABIA ila nahofia sana huyu mpenzi wako ntapata kesi mamii. huyu baki naye wewe tu
Jamani nikiwa mwenyewe kwa Asprin nitanyong'onyea plz kubali upendo huu....
Jamani nikiwa mwenyewe kwa Asprin nitanyong'onyea plz kubali upendo huu....
Unaweza kunisaidia kumwambia ili kina gfsonwin wakusikie na waelewe. Afu we si una deni langu? Unajua dawa ya deni ni nini?
Hehehe.....sifafanui zaidi ya hapo kama hawajaelewa shauri zao.........deni linakaribia kulipwa usiwe na khofu......sijakwambia likizo imesogezwa kwasababu zilizo nje ya uwezo?.....siku zinahesabika sasa!
Unaonaje ukiidiliti hii posti kabla wanga hawajaiona? Hawachelewi kuloga likizo ikasimamishwa kwa manufaa ya serikali inayoongozwa na wadhaifu. Source: Mnyika
Jamani nikiwa mwenyewe kwa Asprin nitanyong'onyea plz kubali upendo huu....
Hahahaha .....wazee wenzie sahizi wanacheza bao namshangaa huyu Asprin......sijui mzee gani anajua mambo ya dot com
naona an hamu ya kumkaliza mtu eda huyu.Ila
Kongosho ndio hatendi kazi vizuri manake naskia kamdiliti fasta akamwacha akijimwagia barafu yeye akaenda kwa ma janki damu full kuchemka chezya mavibration ya kongosho weye.
Asante bibie .. gfsonwinwana jf ni asbh kazi zinaenda na misuli inabana ila naona niwaletee wafuato na nafasi zao katika moyo wangu na maisha yangu,
Smile LEVEL Eiyer babe S hawa ni wadogo zangu wa moyoni nawapenda sana. and i will always be there for them. Preta charminglady CANtalisa Kaunga SIMilinggirl sweetlady Kipipi Roulette BADILI TABIA Mwanajamii one hawa ni my true female friends. mnanafasi kubwa moyoni mwangu
Zinduna huyu ni kungwi na nyakanga mwenzangu.
ASHA dii Mama Ngina hawa ni mama ushauri wenzangu
Kongosho Erotica hawa ni wazee wa site kama mimi so siri zetu tutaambiana chumbani.
Asprin Dark City cartura mito Speaker Mtambuzi BAK Bishanga( ila ingawa nilikusuta sana lkn unathamani sana kwangu) hawa niwazee wenzangu wa baraza.
@mr rock city Bazazi boss hawa ni male friends wangu. they are ma true brothers.
Maprucino MziziMkavu hawa ni madaktari wangu
Kaizer huyu ni wa moyo wangu
ambao sijawataja nawapenda sana so niambieni ninyi ni nani kwangu kila mtu kwa cheo chake ama ambaye kaona cheo chake kwangu siyo hicho naye pia aniambie. but real ilove jf.