kama kilitoka wizarani hakitakuwa fake ila kukamatwa sahau hii nchi ishauzwa kila kitu shaghalabaghala.......
si mara ya kwanza hata mie kusikia hizi habari ..ninacgojua hakuna mashine za kugundua hivyo vyeti huku mitaani na kama zipo ziko ofisi nyeti sana..Huu mchezo wizarani upo sana. kuna dada aliwahi uziwa cheti cha ualimu akapangiwa hadi kituo cha kazi.
Umenunua cheti 2nakuja huko kaa tayari
Kama mpaka leo hujui kwamba ni kosa kufoji cheti, bora ungeolewa uwe mother house. kwa sababu huko uliko hata ukimaliza (naamini pia utanunua cheti) utakuja kutuulia ndugu zetu .