MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
Wapendwa kuna jambo linanikera sana.Ni tabia ya wenye magari kuwasha 'FOG LIGHTS' Sijui wanaona inapendesheza gari kwani nyingi ziko kwa chini.Lakini sijui wanajua kwamba kwanza hapa DAR hakuna Ukungu kwa hiyo uhitaji kuwasha hizo taa, pili gari nyingine zina taa za ukungu hata kwa nyuma sasa hizo zinaumiza macho ile mbaya kwa dereva anayekufuata nyuma.Wenye magari jamani mtumie hizo taa kwenye maeneo yenye ukungu unaokufanya usione mbele na si vinginevyo