huzo pesa ni zile zilizopatikana kwenya mkutano wa kumbukumbu ya kuwakumbuka hao marehemu,na pia wako wajane wa tatu.
Sikutegmea useme tofauti na hivi.
Na zile za wahanga wa mabomu ya mbagala na Gongo la mboto una zikumbuka!
Kageuza msiba kama mradi. Milioni 5 ni msingi tosha kwa mtu makini.kama hizo ameshindwa kufungua hata genge la nyanya basi hafai huyu !!
tuache ushabiki, mama akiwekwa sawa atasema sawa
chadema wasimdharau huyu mama hata kama anatumiwa
ila tuangalie serikali iliyomuua inabeba jukumu gani
na ccm kutumia marehemu ambaye familia yake inateseka sisahihi
ila naona kama ana nguo mpya, itakua kuna mtaalam anatumia karata za siasa kujipigia pande na siajabu akaishiwa kuwa hata sexually explored sababu ya desperate situation aliyonayo
chadema walitoa kauli ya kisiasa waandikwe vizuri kwenye vyombo vya habari kuwa wanajali sana wafuasi wao na waendelee kujitolea kufa ili mwisho wa siku chadema kikamate dola.
Kauli za kisiasa ni kawaida kwa vyama vyote vya siasa iwe ccm au cuf au chadema ndiyo maana wajanja kama mimi siwezi kujitolea kufa kukipa chama cha siasa umaarufu huku familia yangu nikiicha inateseka, ila kama nina mategemeo ya kunufaika kisiasa kama vile kupigania ubunge, kuukwaa uwaziri siku moja basi nitakuwa kimbele mbele kwa kila kitu.
Otherwise, kazi inayonipa mkate wangu wa kila siku na kunifanya mimi na familia yangu tuwe juuu ndiyo ninaisujudia na siyo kushinda juani nikisubiri wanasiasa kuja kunidanganya