gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Kila mmoja anajua kwamba leo kulikua na mkutano kwenye uwanja wa furahisha jijini mwanza ili kumtambulisha kitibu mkuu mpya wa CDM ndugu Vicent Mashinje aliekuja kuziba pengo la aliekua kitubu mkuu wa chama hicho Dr W Slaa.
Ni utamaduni wa kawaida kuhabarishana kupitia picha kwakua si wote tutaweza kufika uwanjani kwani tanzania yetu ni kubwa.
Tafadhali kwa wenzetu mliofanikiwa kufika kwenye utambulisho wa katibu mkuu mpya wa CDM tupieni picha tafadhali tuone nyomi hapo furahisha
Ni utamaduni wa kawaida kuhabarishana kupitia picha kwakua si wote tutaweza kufika uwanjani kwani tanzania yetu ni kubwa.
Tafadhali kwa wenzetu mliofanikiwa kufika kwenye utambulisho wa katibu mkuu mpya wa CDM tupieni picha tafadhali tuone nyomi hapo furahisha