MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
................Mwe!!Kacheck DNA (just a joke). Hivyo ndo walivyo.
................Mwe!!Kacheck DNA (just a joke). Hivyo ndo walivyo.
Sina hakika mkuu ingawa sio mpenzi wa Internet hata emails zake nyingi huwa namsaidia japo nimewahi kungusia juu ya hii site. Anyway tumezungumza nae na akaniambia hamna lolote ni hasira tuu zilimpata za kuona kwamba simwamini wakati yeye kwa miaka yato ameniamini na kuwa mwaminifu japo wakubwa wamekuwa wakimtaka kwa gharama kubwa. Hata hivyo mtoto nimezidi kumchunguza na mashaka yameongezeka japo nimemwonyesha wife i don care. Ntaenda kupima kwa siri tuu
Kweli kakwambia hivyo???Is she serious??????kwa maana hiyo anachojaribu kukwambia nini?Shemaji look very hoyo hatari?
Alishawahi klukwambia kuwa ku na maboss wake wanamtongoza na kumsumbua kabla ya hasira zake za juzi jioni?????
Jamani jamani kuwa makini na kengele ilie mara moja.
Kazi kwako ni yangu tu na mtazamao wangu
Asante