Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
- Thread starter
- #61
Mkuu mtoto darasa la pili na hakuna mdogo wake,mmmhhh kulikoni Mkuu? ni utashi au matatizo,maana..........
mipango ya maisha kaka, atakuja tuu kuna mambo ambayo tunafanya tukaona tuvute pumzi kidogo, hiyo ni mipango ya mwakani, itatimia tuu