sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,016
- 8,375
Mimi binafsi kama kijana wa kitanzania, ambaye utawala wa awamu ya Tano nusu unitoe roho Kwa presha pale nilipoenda TRA na kukutana na kikosi kazi kilichoundwa na Mh. Makamu wa Rais wa Sasa enzi hizo akiwa Waziri Wa fedha kwa kweli sifurahishwi na Matusi ya rejareja anayotukana Mh Waziri wa habari ndugu Nape Nnauye Dhidi ya Dkt. Bashiru sifurahishwi kamwe.
Ebu ona hii PANZI jamani inafanana na Dr Bashiru au Mh Balozi Polepole
Ebu ona hii PANZI jamani inafanana na Dr Bashiru au Mh Balozi Polepole