Ninawaita kwa mara ya mwisho kabla mjadala haujafungwa. Ndungai, Prof Kabudi, Balozi Polepole na Dkt. Bashiru Kakuru

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,020
8,395
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nimewaita?
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa la Tanganyika isiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu Balozi Humphrey Polepole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafsi yetu.

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni Balozi na katibu mkuu wa CCM mstaafu tafadhari oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafsi zetu.

Nakuita tena.
Prof. Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa, tafadhali taifa limegawanyika ili.
 
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie Tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nikewaita?

Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazarendo wa kweli wa taifa la Tanganyika hisiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu MH Balozi Hamphrey PolePole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafisi yetu

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni MH Balozi na katibu mkuu wa CCM msitaafu tafadhli oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafis zetu.

Nakuita tena

Proffesa Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa tafadhali taifa limegawanyika ili.
Jibu kwa mjiga ni kunyamaza...
 
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazarendo wa kweli wa taifa la Tanganyika hisiyoonekana.
Hii kitu uzalendo haipo ndan ya CCM, tusipepese macho hakuna mzalendo mule!! Labda wazee wetu akina WARIOBA, BUTIKU, Hayati JKN na wachache mno waliopo!!!
 
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie Tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nikewaita?

Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazarendo wa kweli wa taifa la Tanganyika hisiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu MH Balozi Hamphrey PolePole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafisi yetu

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni MH Balozi na katibu mkuu wa CCM msitaafu tafadhli oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafis zetu.

Nakuita tena

Proffesa Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa tafadhali taifa limegawanyika ili.
Hao tangu wafanywe wa kawaida watakua chini ya uangalizi mkali sana!!
 
Ukiwa CCM unakuwa huru kuongea baada ya kustaafu siasa. Laiti wengi wangekuwa na ujasiri wa kuongea wakiwa active kwenye siasa basi tusingefika hapa.
 
Polepole kupelekwa visiw vya carrebean ilikuwa ni an offer he could not refuse. Au wewe hukusoma fundamentals za kijasusi kaka?
 
Iyo ndiyo inayotuponza watanzania... kudhan kwamba kutetea maslahi ya taifa n kazi ambayo akina flan wanatakiwa waifanye... Taifa lingepata hata asilimia tano tu ya watu ambao wanaamini katika wao kwenye kutetea maslahi ya taifa basi Tungekua mbali sana
 
Iyo ndiyo inayotuponza watanzania... kudhan kwamba kutetea maslahi ya taifa n kazi ambayo akina flan wanatakiwa waifanye... Taifa lingepata hata asilimia tano tu ya watu ambao wanaamini katika wao kwenye kutetea maslahi ya taifa basi Tungekua mbali sana
Naunga mkono hoja..yaani hata Profesa Tibaijuka amewashinda UJASIRI..semeni ili muwe HURU na nchi ikombolewe!
 
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nimewaita?
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa la Tanganyika isiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu Balozi Humphrey Polepole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafsi yetu.

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni Balozi na katibu mkuu wa CCM mstaafu tafadhari oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafsi zetu.

Nakuita tena.
Prof. Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa, tafadhali taifa limegawanyika ili.

Unawatakia maisha awa watu kweli au?. Ndugai alishazungumzia juu ya kuuzwa kwa nchi, akanyanga'ywa kiti na akavuliwa vazi la kifalme.
hao wengine walisha pigwa pin na waliokuwa karibu wakapelekwa nchi za mbali ili wasionekane kwa karibu.
 
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nimewaita?
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa la Tanganyika isiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu Balozi Humphrey Polepole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafsi yetu.

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni Balozi na katibu mkuu wa CCM mstaafu tafadhari oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafsi zetu.

Nakuita tena.
Prof. Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa, tafadhali taifa limegawanyika ili.
Hao Wajamaa na maprofesa wa majalalani ni zero impact kwenye jamii ni Bora wabakie huko huko waliko wafunge mdomo maana hawana Cha maana Cha kuonesha Hadi wameota mvi.
 
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nimewaita?
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa la Tanganyika isiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu Balozi Humphrey Polepole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafsi yetu.

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni Balozi na katibu mkuu wa CCM mstaafu tafadhari oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafsi zetu.

Nakuita tena.
Prof. Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa, tafadhali taifa limegawanyika ili.
Kwa nini nimewaita?
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa la Tanganyika isiyoonekana.

Uzalendo wa ccm ni unapokuwa jikoni tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
 
Utanzania ni uraia!

Nawaita hawa watu walau tusikie tu sauti zetu ili roho zetu zipoe na zipumue dhidi ya ili la Dp World na Bandari za Tanganyika.

Kwa nini nimewaita?
Hawa watu walijitanabai yakuwa ni wazalendo wa kweli wa taifa la Tanganyika isiyoonekana.

Narudia tena popote ulipo ndugu Balozi Humphrey Polepole njoo utoe neno dhidi ya treaty!

Popote ulipo ndugu Job Ndungai jitokeze utoe neno tafadhli Sana uiponye nafsi yetu.

Nakuita ndugu Bashiru Kakuru Mbunge wa vitu maalumu Ila wewe ni Balozi na katibu mkuu wa CCM mstaafu tafadhari oyetokeze ogambe akagambo kamwe uiponye nafsi zetu.

Nakuita tena.
Prof. Kabudi Mzee wa jalalani jitokeze useme neno uliponye taifa, tafadhali taifa limegawanyika ili.
Kuwa kimya haina maana dhamira zao haziongei.In fact Ndugai alitabiri nchi inauzwa.Halafu kilichofata sote tulishudia
 
Back
Top Bottom