tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
wadau, kwa wanaowajua wanawake wa kifipa plz plz naombeni mnipe japo kwa uchache sifa zao..................mwenzenu nimenasa nataka kutangaza ndoa. Sitanii.
mkuu unataka kuoa mtu au kabila? Stereotyping?wadau, kwa wanaowajua wanawake wa kifipa plz plz naombeni mnipe japo kwa uchache sifa zao..................mwenzenu nimenasa nataka kutangaza ndoa. Sitanii.
Naoa mtu, ila uzoefuunaonesha kuwa kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kabila (jamii) flani na tabia zao! mfano kabila flani wabahili, kabila flani wazinzi, kabila flani wana wivu sana n.k